Recent posts
April 25, 2021, 4:41 pm
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP DEBORA MAGILIGIMBA amefanya ukaguzi kwa…
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP DEBORA MAGILIGIMBA leo Jumapili Aprili 25,2021 saa 11 alfajiri amefanya ukaguzi kwa mabasi yaendayo mikoani kutoka Kituo Cha Mabasi Kahama na kutoa elimu ya usalama barabarani kwa abiria na madereva wa magari hayo.…
April 23, 2021, 7:54 am
Madiwani Kishapu waazimia kumsimamisha kazi mweka hazina.
WIKI Kadhaa baada ya ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuipa hati ya mashaka Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, Madiwani wa halmashauri hiyo kwa kauli moja wameazimia kumsimamisha kazi Mweka hazina wa halmashauri hiyo, Deus…
April 21, 2021, 7:15 pm
Mkazi wa Nyasubi wilayani Kahama leo afikishwa katika Mahakama ya wilaya.
Mkazi wa Nyasubi wilayani Kahama mkoani Shinyanga JONATHANI JULIUS MANYAMA mzanaki (32) leo amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kahama kwa ajili ya kuendelea kusikilizwa kwa shauri lake la ubakaji Pamoja na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha nne wa…
April 19, 2021, 8:05 am
Babu wa miaka 53 Ambaka mjukuu wake wa miaka 7 wakati mkewe akiwa Hospitali.
WAKATI Taifa na wanaharakati mbalimbali wakiendeleza mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili kwa wanawake na watoto, matukio ya udhalilishaji na ukatili kwa watoto yameendelea kuripotiwa mkoani Shinyanga. Ambapo, Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Juma Emmanuel (53) mkazi wa…
April 18, 2021, 7:46 pm
Harakati za mwanamke katika kujikwamua kiuchumi.
Nchini Tanzania wanawake wako mstari wa mbele katika kujikwamua kiuchumi na kuleta mabadiliko katika jamii inayowazunguka, hususan kuondokana na dhana ya utegemezi. Miongoni mwa wanawake hao ni bi JANETH mkazi wa Shunu Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga ni mama pia…
April 15, 2021, 4:32 pm
Serikali Wilayani Kahama Yaipongeza Benki ya TPB Kwa kutoa madawati 92 Ushetu.
SERIKALI Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga imeishukuru Benki ya Posta Tanzania (TPB) Kwa kujali na kutumia faida yake waliopata kuirudisha kwenye jamii kwa kutoa jumla ya madawati 92 katika Shule ya Sekondari Ubagwe Halmashauri ya ushetu. Akizungumza mara baada ya kupokea…
April 15, 2021, 4:15 pm
Wadau Shinyanga walia na Shria ya ndoa ya Mwaka 1971 ya binti kuolewa akiwa na m…
SHERIA ya ndoa ya mwaka 1971 ambayo inaruhusu mtoto mwenye umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya wazazi, na 15 Mahakama, imetajwa kuwa tatizo kukomesha mimba na ndoa za utotoni. Mkurugenzi wa Shirika la Agape linalotetea haki za wanawake…
April 15, 2021, 4:14 pm
Waandishi wa habari wametakiwa kuandika kwa weledi, habari zinazohusu watu wen…
Waandishi wa habari mbalimbali nchini Tanzania wametakiwa kuandika na kuziwasilisha kwa weledi habari zinazohusu watu wenye ulemavu ili kupunguza unyanyapaa katika jamii. Hayo yameelezwa leo na mkufunzi ALLY MWADINI akiwa visiwani zanzibar kwenye mafunzo yanayohusu habari za watu wenye ulemavu…
April 15, 2021, 4:04 pm
Vijana walionzisha kiwanda cha chaki Shinyanga walia kukosa soko.
Kikundi cha vijana 15 ambao ni wakazi wa Manispaa ya Shinyanga, walioanzisha kiwanda cha kutengeneza Chaki kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi, wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Zainab Telack, kuwaunga mkono kwa kutoa maagizo kwa shule zote mkoani humo zinunue…
April 12, 2021, 6:57 am
Wawekezaji wa viwanda Shinyanga wapongeza maamuzi ya Rais Samia Kuhusu Kodi.
BAADHI ya wawekezaji wa viwanda katika Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa, wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa hotuba yake aliyoitoa hivi karibuni, wakati akiwapisha makatibu wakuu na manaibu kutoka wizara mbalimbali, na kuonyesha neema kwa wawekezaji hasa kwenye suala la…