Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
5 August 2025, 7:34 pm
Matokeo ya kura za maoni ndani ya CCM ni baada ya kurudi kwa majina ya wagombea na kupitishwa kutambulishwa na Chama kwa wajumbe kwa siku nne na Agosti 5 2025 kupigiwa kura. Na Katalina Liombechi Katibu wa Chama cha Mapinduzi…
30 July 2025, 11:11 am
Wanachama wa UKICU wamelalamikia ucheleweshaji wa malipo ya mazao kwa zaidi ya saa 72, kinyume na utaratibu wa kawaida, katika mkutano mkuu uliofanyika mjini Ifakara – Morogoro. Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa UKICU – Picha na Katalina Liombechi…
24 July 2025, 8:14 pm
Licha ya mafanikio ya huduma ya mawasiliano kumekuwa na upotoshaji ambao unaendelea hivyo TCRA wamekuwa na kampeni mbalimbali kudhibiti huduma ya mawasiliano kwa kushirikiana na wadau Na Katalina Liombechi Katika kukabiliana na kudhibiti upotoshaji na uenezaji wa taarifa za uongo…
18 July 2025, 2:17 pm
“Kwa anayetaka kutia nia ya Ubunge nafasi iko wazi hatuna shaka na mtu yeyote anayetaka kutia nia kupitia chama chetu“ Na Kuruthumu Mkata Chama cha ACT-Wazalendo wilayani Ulanga kimetangaza kuanza rasmi mchakato wa uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi mbalimbali…
17 July 2025, 7:03 pm
Upelelezi zaidi wa kisayansi unaendelea kuhusiana na utambuzi vinasaba vya wanyama hawa maeneo ambayo wanyama wamepatikana Na Katalina Liombechi Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na maofisa wa wanyamapori wilaya ya Ulanga limefanikiwa kuwakamata watu wawili wakazi wa…
15 July 2025, 2:25 pm
Lengo la mbio za hisani ni kutangaza utalii na kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa kuhifadhi ILUMA Na Katalina Liombechi Katika kutangaza vivutio na kuendeleza bonde oevu la kilombero wadau na jamii inayounda hifadhi ya jamii ILUMA wanatarajia…
12 July 2025, 8:02 am
Kampuni ya Sun king licha ya kujihusisha na masuala ya nishati mbadala imekuwa ikitengeneza ajira kwa vijana kama njia ya kuiunga mkono serikali kukabiliana na changamoto ya ajira hapa Nchini Na Katalina Liombechi Kampuni ya Sun King, inayojishughulisha na huduma…
8 July 2025, 7:05 pm
Athari za mikopo isiyo rafiki hasa kwa wajasiriamali wadogo wengi hujikuta wakishindwa kulipa mikopo hiyo kwa wakati kutokana na viwango vya riba visivyodhibitika na hatimaye kudumaa zaidi kiuchumi Na Katalina Liombechi Imeelezwa kuwa Mikopo yenye riba kubwa maarufu kama chap…
7 July 2025, 11:12 am
Katika juhudi za kupunguza upotevu wa mazao kwa wakulima wadogo, Shirika la Farm Africa limeendesha mafunzo ya kilimo bora kwa wakulima wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara. Kupitia ushirikiano na wadau wa teknolojia ya kilimo, mafunzo haya yamelenga kuwajengea wakulima…
5 July 2025, 9:38 am
“Klipu hiyo ni ya kutengenezwa yenye lengo la kunichafua hasa kipindi hiki cha mchakato wa uchaguzi ambacho kinakuwa na chuki na fitina zisizo za msingi kutoka kwa watu wenye nia mbaya ili nishindwe kusimamia uchaguzi wa kura za maoni kwa…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.