Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
2 December 2025, 21:47
Inapofikia maadhimisho ya Siku ya Watu wenye Ulemavu wadau wanahimizwa kuendelea kuwekeza katika huduma jumuishi ili kuhakikisha kuwa watu wote, wakiwemo wenye ulemavu, wanapata huduma bora na stahiki bila vikwazo. Na Katalina Liombechi Katika kuelekea maadhimisho ya Siku ya Watu…
30 November 2025, 16:40
“Tunapenda kuisisitiza jamii maambukizi bado yapo kwahiyo waendelee kuchukua tahadhari, tuondoe unyanyapaa na tuwajali wengine” Na Amina Mrisho Kadiri dunia inavyokaribia kuadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani tarehe 1 Desemba, jamii imeshauriwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Virusi vya…
18 November 2025, 19:14
Picha ya jengo la afya linalojengwa Hospitali ya Halmashauri ya Mlimba. Picha na Kuruthum Mkata Nimeridhishwa na jitihada mnazofanya katika kuboresha huduma za afya; miradi inaendelea kwa kasi na kwa ubora unaotakiwa,” alisema Profesa Tumain Nagu.Naibu katibu mkuu Wizara ya…
10 November 2025, 19:42
Huduma hizi kiafya zmbazo zimetolewa ni sehemu ya maandalizi kuelekea maadhimisho ya miaka 15 ya kuanzishwa kwa Chuo cha SFUCHAS, kinachoendelea kuwa nguzo muhimu katika kutoa elimu na huduma bora za afya nchini Na Katalina Liombechi Kuelekea kumbukizi ya kuanzishwa…
26 October 2025, 14:28
“Uchaguzi ni Mchakato unaojumuisha hatua na taratibu mbalimbali za kikatiba na kisheria ambazo hupaswa kufuatwa hatua hizo ni msingi wa uchaguzi huru na wa haki” Na Katalina Liombechi Wasimamizi wa vituo kutoka kata 19 katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara…
25 October 2025, 13:45
Mfugaji mmoja, Mahela Kahamba Mwanzalima (40), amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na walinzi wa hifadhi ya wanyamapori ya Iluma, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro. Tukio hilo limetokea wakati marehemu na wenzake walipokuwa wakijaribu kuchukua mifugo yao iliyokuwa imekamatwa kwa kuchungia…
25 October 2025, 10:01
TANAPA yafunga tembo kola ya GPS katika Hifadhi ya Nyerere ili kudhibiti uharibifu wa mazao na kupunguza migogoro kati ya wanavijiji na wanyamapori. Na; Isidory Mtunda Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) imefanikiwa kumfunga kifaa maalumu cha kufuatilia mienendo…
24 October 2025, 19:23
“Tukahamasishe utulivu na pale kwenye viashiria vyovyote msisite kutoa taarifa,muwasisitize watu wakapige kura amani ndio msingi wa kila kitu“ Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, leo ameongoza kikao maalum na viongozi wa dini pamoja na…
23 October 2025, 19:03
Kwa kipindi kirefu wakulima katika bonde la kilombero wamekuwa wakiuza mpunga badala ya kuuza mchele kitu ambacho haishauriwi kwani kufanya hivyo kunapunguza thamani ya zao hilo Na Kuruthumu Mkata Serikali kupitia Idara ya Kilimo Halmashauri ya Mji wa Ifakara imeendelea…
22 October 2025, 17:27
Wakulima wa kijiji cha Mhelule, kata ya Mwaya wilayani Kilombero wamelalamikia ukosefu wa msaada wa karibu kutoka kwa maafisa ugani, wakisema hawafiki mashambani kubaini changamoto zao. Maafisa wanasema idadi yao haitoshi kuwafikia wote, hivyo wakulima wanapaswa kuwafuata Na: Isidory Mtunda…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.