Pambazuko FM Radio

Recent posts

3 September 2025, 8:39 pm

Polisi Kilombero yawaambia watoto kabla hawajaharibiwa

Jeshi la Polisi licha ya kuwa na jukumu la kuhakikisha ulinzi na usalama wa raia bado linahitaji usaidizi na ushirikiano wa jamii hasa kwenye uangalizi wa watoto Na Katalina Liombechi Katika kukabiliana na vitendo vya ukatili Jeshi la Polisi Wilaya…

3 September 2025, 3:42 pm

Wadau kuja na mkakati elimu jumuishi Ifakara

Kongamano la elimu jumuishi ambalo limewakutanisha wadau mbalimbali kwa pamoja, wameahidi kuendeleza juhudi za kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa watoto wote, bila ubaguzi. Na Katalina Liombechi Katika kuhakikisha elimu inawafikia watoto wote bila ubaguzi, kongamano la elimu jumuishi limefanyika leo…

2 September 2025, 3:18 pm

CHAUMA wazindua kampeni kilombero wataja vipaumbele

Kwa mujibu wa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi, kampeni za uchaguzi zilianza tarehe 28 Agosti, 2025 hadi tarehe 28 Oktoba, 2025 kwa Tanzania Bara Na Katalina liombechi Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA leo kimezindua kampeni zake katika Wilaya ya…

28 August 2025, 11:44 am

DC Kyobya aagiza vitambulisho 10 kwa maafisa

Mkuu wa wilaya ya Kilombero, Wakili Danstan Kyobya, ameagiza maafisa maendeleo ya jamii katika halmashauri zote kuhakikisha kila mmoja anakata vitambulisho 10 vya wajasiriamali ndani ya mwezi Septemba, ili kuhamasisha shughuli za ujasiriamali na kuwezesha wananchi kiuchumi. Na; Isidory Mtunda…

16 August 2025, 10:17 am

AWF yakabidhi mil.48 miradi ya uhifadhi

AWF wamekuwa wakitumia mbinu ya kushirikisha wadau wengine kuhifadhi Bonde la Kilombero wakiamini jitihada za pamoja ndizo zinaweza kusaidia kufikia malengo ya kurejesha mazingira ya asili katika eneo hilo muhimu Na Katalina Liombechi Mkoa wa Morogoro umeendelea kuonyesha dhamira na…

14 August 2025, 7:02 pm

Teknolojia ya mkaa mbadala yazinduliwa Kilombero

Katika semina iliyoandaliwa kupitia mradi wa UNIDO kwa ufadhili wa Serikali ya Japan na utekelezaji wa SIDO, wadau mbalimbali wa maendeleo wamekutana mjini Ifakara kujadili na kuelimishwa juu ya teknolojia ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia pumba za mpunga Katika…

14 August 2025, 4:05 pm

AGRICOM mshindi maonesho ya Nane Nane

Kampuni ya AGRICOM Africa Limited imeibuka mshindi wa pili katika Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane 2025 kanda tya Mashariki, yaliyofanyika mkoani Morogoro kwa makampuni yanayojishughulisha na uuzaji wa zana za kilimo, kutokana na mchango wake mkubwa katika kuhamasisha matumizi…

11 August 2025, 7:27 pm

Bil 2.5 kusaidia uchumi, nishati ya kupikia

Serikali ya Tanzania imekuwa ikihamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kukabiliana na uharibifu wa mazingira na kuchochea uchumi kwa wananchi Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mradi wa teknolojia ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia mabaki ya kilimo cha mpunga wenye…

5 August 2025, 7:34 pm

Asenga, Rwakatare waongoza kura za maoni CCM Kilombero

Matokeo ya kura za maoni ndani ya CCM ni baada ya kurudi kwa majina ya wagombea na kupitishwa kutambulishwa na Chama kwa wajumbe kwa siku nne na Agosti 5 2025 kupigiwa kura. Na Katalina Liombechi Katibu wa Chama cha Mapinduzi…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.