Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
23 September 2025, 6:33 pm
Wakulima Ifakara wamefundishwa umuhimu wa kupima udongo na kutumia mbolea kulingana na mahitaji halisi ya udongo. Na; Isidory Mtunda Wakulima katika halmashauri ya mji wa Ifakara, wilaya ya Kilombero, wamepatiwa mafunzo juu ya kanuni bora za kilimo, hususan umuhimu wa…
19 September 2025, 10:32 am
Wananchi wa Kijiji cha Sululu wilayani Kilombero wameeleza kero ya tembo kuharibu mazao na mzigo wa kuchangia walimu wa kujitolea. Mkuu wa wilaya, Wakili Dunstan Kyobya ameahidi hatua za haraka kutatua changamoto hizo. Na: Kuruthum Mkata Wananchi wa Kijiji cha…
18 September 2025, 11:05 pm
SIDO yamaliza mafunzo ya siku 3 kwa wajasiriamali 250 Kilombero na kutunuku vyeti; DC atoa agizo la kufunguliwa kwa ofisi ya SIDO wilayani humo kusogeza huduma karibu na wananchi. Na; Isidory Mtunda Washiriki 250 wa semina ya wajasiriamali, wawekezaji na…
18 September 2025, 10:53 am
SIDO Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali imeendesha semina ya siku tatu kwa wajasiriamali, wawekezaji na wenye viwanda Ifakara, kwa lengo la kuwawezesha kupata ujuzi wa kukuza biashara na kuepuka migogoro ya kikodi na changamoto za usajili wa…
17 September 2025, 10:50 pm
TRA Mkoa wa Morogoro imeendelea kutoa elimu kwa wafanyabiashara wa Kilombero kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi, matumizi ya mashine za EFD, na umuhimu wa usajili wa TIN, ikiwa ni sehemu ya kuongeza uelewa na kuimarisha ukusanyaji wa mapato. Na;…
16 September 2025, 8:53 am
TRA Mkoa wa Morogoro imetoa elimu kwa wafanyabiashara wa Ifakara kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi na matumizi sahihi ya mashine za EFD, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhamasisha ulipaji wa kodi kwa hiari na kuongeza uelewa wa majukumu…
11 September 2025, 7:56 pm
Ushahidi uliotolewa na Jamhuri ulithibitisha bila kuacha shaka. Na Kuruthumu Mkata Mahakama kuu iliyoketi Ifakara Kilombero imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Elopi Kibolile Mwasuku (33) mkazi wa Kata ya Mchombe Halmashauri ya Mlimba baada ya kupatikana na hatia ya…
11 September 2025, 7:14 pm
‘Tuendelee kuhamasishana kushiriki kampeni za uchaguzi bila kusababisha taharuki wala kuvuruga amani’ Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, ameendelea kusisitiza umuhimu wa kudumisha amani na utulivu katika kipindi hiki cha kampeni za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa…
4 September 2025, 7:12 pm
Katika sheria ya gharama za uchaguzi kuna maadili na makatazo ambayo Chama,Mgombea au mtu yeyote anayeshiriki uchaguzi hapaswi kuyafanya kipindi cha uchaguzi Na Katalina Liombechi Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa nchini Tanzania imetoa mafunzo kwa viongozi wa vyama…
4 September 2025, 5:14 pm
Chama cha Ushirika TUSHIKAMANE AMCOS kilichopo kata ya Mwaya, wilayani Ulanga mkoani Morogoro, kimewalipa wakulima 14 zaidi ya shilingi milioni 66 walizokuwa wanadai kwa msimu wa kilimo 2024, kwa kushirikiana na serikali ya wilaya kupitia Idara ya Kilimo. Na: Isidory…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.