Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
12 February 2026, 21:01
“Wakulima wengi wameamua kutoa zao la muwa na kupanda mpunga kutokana na kupungua kwa bei ambapo kipindi cha nyuma walikuwa wakiuza gari moja la miwa Tsh Mil.3 lakini kwa sasa gari hilo linauzwa hadi chini ya Laki 8” Na Katalina…
12 February 2026, 20:21
Pamoja na mambo mengine Jeshi la Polisi limeendelea kuikumbusha jamii kutotelekeza familia zao kwani hali hiyo inaathiri malezi ya watoto Na Katalina Liombechi Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi “Police Family Day” yanayofanyika Februari 13, kila mwaka,…
11 February 2026, 20:29
Mkandarasi alipata changamoto ya vifaa kuharibika. Na Amina Mrisho Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) wilaya ya Kilombero umeeleza sababu za kuchelewa kusambaza vifusi katika barabara za halmashauri ya mji wa Ifakara. Akizungumza na Pambazuko FM, Februari 9,2026…
11 February 2026, 20:12
Kupitia juhudi hizi, GECA na washirika wake wanaendelea kuweka msingi imara wa kizazi kipya cha wanawake wanasayansi watakaobadilisha dunia. Na Katalina Liombechi Wakati Dunia ikiadhimisha Siku ya Wasichana na Wanawake katika sayansi leo Februari 11,2026 Chini ya shirika la UNESCO,Shirika…
10 February 2026, 20:38
“Baadhi ya wagonjwa wanaofika hospitalini wanadai wapo wengine mitaani lakini hawajapata ujasiri wa kujitokeza kutokana na mitazamo potofu” Na Katalina Liombechi Mratibu wa Kudhibiti Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, Hamis Ngayungwa, ameitaka jamii kuacha imani…
9 February 2026, 20:09
“Tunawakaribisha wawekezaji kuja kulima mazao ya kimkakati katika wilaya ya Kilombero” Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, amewataka wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kuja kuwekeza katika Wilaya ya Kilombero kutokana na uwepo wa…
9 February 2026, 17:36
Wakazi wa kijiji cha Ijia, kata ya Mchombe halmashauri ya wilayani ya Mlimba, wamelalamikia uvamizi wa mashamba yao na mifugo ya wafugaji, wakidai hali hiyo imesababisha vurugu, majeruhi na kuongezeka kwa migogoro ya kijamii, huku wakimuomba mkuu wa Wilaya kuingilia…
7 February 2026, 17:20
Na; Isidory Mtunda Kampuni ya Moto Max Energies inayozalisha mkaa mbadala katika kijiji cha Mahutanga, Halmashauri ya Mji wa Ifakara mkoani Morogoro, imekabidhiwa mashine ya kisasa ya kuzalisha kuni mbadala yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 130, kupitia mradi…
7 February 2026, 09:26
“Tumeamua kutoa elimu ya ufugaji nyuki wasiouma baada ya kuona asali ya nyuki hawa ina gharama kubwa kuliko nyuki wa kawaida“ Na Katalina Liombechi Katika jitihada za kupunguza utegemezi wa rasilimali za asili na kuongeza kipato cha jamii, Shirika la…
6 February 2026, 20:02
“Suala la lishe tumekubalina kwenye vikao na mikutano hivyo tunaendelea kukumbushana na kuhimizana” Na Katalina Liombechi Viongozi na Wananchi kata ya Lumemo katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wameendelea kuhamasishana kuchangia lishe mashuleni ili kuwasaidia watoto kujifunza bila vikwazo. Hayo…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.