Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
2 July 2025, 7:20 pm
Kama taasisi tunafuatilia vitendo vyote vinavyokatazwa na sheria zetu na zile za uchaguzi Na Katalina Liombechi Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU Wilaya ya Kilombero imesema inaendelea kufuatilia vitendo vyote ambavyo vimekatazwa na Sheria za Taasisi hiyo pamoja…
30 June 2025, 10:19 am
Maendeleo ya wananchi yanaaza na wao wenyewe kuonyesha utayari na kujitoa na serikali inaunga mkono jitihada zao Na Katalina Liombechi Wananchi wa Kitongoji cha Uwanja wa Ndege, kilichopo katika Kata ya Kibaoni ndani ya Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamefanya…
29 June 2025, 6:28 pm
Kuna miiko ambayo imetajwa na chama kwa wanachama kutotumia midundiko,ngoma,tarumbeta anatakiwa mwanachama kwenda kuchukua fomu na kurudisha yeyote atakayevunja kanuni atachukuliwa hatua Na Katalina Liombechi Ikiwa mchakato wa Uchukuaji wa Fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge na Udiwani ndani ya…
26 June 2025, 10:44 pm
Kwa eneo hili Ifakara wengi wamekwishalipa kodi tunaendelea kuwahimiza Na Katalina Liombechi Timu ya Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia Makao Makuu kwa kushirikiana na ofisi ya TRA mkoa wa Morogoro, imeendelea na ziara yake maalum katika mji…
26 June 2025, 7:44 pm
Mradi huu kuletwa Kilombero katika Halmashauri ya Mlimba unastahili kutokana na umuhimu wa bonde hili Kiuchumi na upekee wake kiikolojia Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mradi wenye thamani ya Tsh.Bil 6 wa Kuboresha Mifumo Jumuishi ya Usimamizi wa Chakula, Ardhi na…
23 June 2025, 8:24 pm
Ulipaji wa kodi siyo tu wajibu wa kisheria, bali ni jukumu la kizalendo katika kuchangia maendeleo ya nchi Na Katalina Liombechi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Morogoro imeendelea kuwatembelea walipakodi kwa lengo la kuwakumbusha kulipa kodi kwa hiari…
21 June 2025, 9:35 am
“Michezo haijabagua nani acheze nani asicheze, ushirikishaji wa watu wenye ulemavu changamoto tunayoipata ni miundombinu sio rafiki” Na Katalina Liombechi Afisa Utamaduni wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara Majaliwa Mbugi amesema kuwa juhudi kubwa zinaendelea kufanyika kuhamasisha ushiriki wa wananchi…
20 June 2025, 8:07 pm
Uwepo wenu ni chachu kubwa ya maendeleo tunazo NGO’s zisizopungua 48 zingine hazitambuliwi. Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mashirika yasiyo ya kiserikali Wilaya ya Kilombero wamekutana leo katika kikao cha Jukwaa hilo kujadili tathmini ya mchango wao kwa Serikali na jamii,…
20 June 2025, 2:06 pm
Picha ya washiriki wa mjadala wa matokeo ya awali ya utafiti unaofanyika kwenye Bonde la Kilombero(Picha na Elias Maganga) Shughuli zinazoongezeka za kiuchumi na kijamii katika Bonde la Kilombero zinaweza kuleta madhara makubwa zisipoangaliwa kwa umakini. Na Elias Maganga Shughuli…
19 June 2025, 8:19 pm
Katika kuendelea kutoa huduma iliyo bora ya umeme Shirika la TANESCO limebaini changamoto ya kuhujumu miundombinu ya umeme kwa makusudi au kwa bahati mbaya Na Katalina Liombechi Shirika la Umeme Tanzania—TANESCO Mkoa wa Morogoro limebaini kuwepo kwa changamoto kubwa ya…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.