

8 December 2024, 5:45 pm
Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya ametumia tamasha la Kilombero(Kilombero Festival)kuwaita wawekezaji kuwekeza kimkakati katika Wilaya hiyo yenye utajiri na urithi wa pekee kutokana na uwepo wa fursa nyingi za aina yake. Akizundua Tamasha hilo…
5 December 2024, 11:45 am
Na Katalina Liombechi Katika jitihada za kuendelea kuokoa na kulilinda Bonde la Kilombero Mfuko wa Uhifadhi wa Wanyamapori Afrika AWF Wakabidhi Mfano wa hundi zaidi ya Tsh.Mil 90 Kwa Vinara wa Uhifadhi kurejesha Mazingira ya asili kutangaza Utalii. Fedha hizo…
29 November 2024, 2:51 pm
Na Katalina Liombechi Wenyeviti wa Serikali za Mitaa katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu na kufuata miongozo ya Serikali ili kuepuka kwenda kinyume na kiapo chao katika kuwahudumia Wananchi.
21 November 2024, 2:13 pm
Na Katalina Liombechi
20 November 2024, 7:15 pm
Na Katalina Liombechi Wakati zoezi la Kampeni likizinduliwa leo Novemba 20,2024,Katika Halmashauri ya mji wa Ifakara imeelezwa bado kumekuwa na hali ya Sintofahamu kufuatia kile kilichoelezwa kuenguliwa kwa baadhi ya majina ya Wagombea. Wakizungumza mara baada ya Kikao cha kupitia…
20 November 2024, 5:10 pm
Na Katalina Liombechi Tumeona zao hili lina mchango mkubwa wa kiuchumi kwa pato la Halmashauri pia limeleta mabadiliko chanya kwa wakulima hivyo kusaidia Usalama wa chakula kwa ngazi ya kaya na Taifa kwa ujumla. Kufuatia tija ya Kiuchumi kupitia zao…
18 November 2024, 6:44 pm
Na Henry Bernad Mwakifuna Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya ameshauri Halmashauri ya Mji wa Ifakara kuwanunulia Pikipiki Watendaji wa Mitaa na Vijiji kwa ajili ya kuboresha Utendaji kazi zaidi katika Halmashauri hiyo. Taarifa hii inaripotiwa na Henry…
21 October 2024, 1:28 pm
AWF wamekuwa wakishirikana na Jumuiya za watumia maji kufanya tathmini ili kuona njia bora ya kufanya ubora wa Mto unaongezeka. Na Katalina Liombechi Mfuko wa Uhifadhi wa Wanyamapori Afrika AWF wameshirikiana na Jumuiya ya Watumia Maji Bonde Dogo la Mto…
21 October 2024, 1:15 pm
Na Katalina Liombechi Wakulima wa kokoa wanashauriwa kuzingatia kanuni bora za kilimo kwa kupanda na kufanya palizi kwa wakati ili kuvuna kwa tija. Kwa mujibu wa Afisa Kilimo Kijiji cha Mbingu Sister Eusebia Punduka, kupanda kokoa kwa wakati ni muhimu…
16 October 2024, 4:08 pm
”Tunawashukuru sana Six River Africa kwa kutupatia msaada wa kadi za bima ya afya bure huu ni msaada kwetu ni mkubwa unapozungumzia uhai wa binadamu kwanza uwe na afya njema hawa ndugu zetu wameona mbali sana tunawashukuru”-wanufaika Na Elias Maganga…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.