Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
17 October 2025, 7:55 pm
“Naomba mnichague nitahakikisha watu wote wanapata mikopo bila kuonewa “ Na Katalina Liombechi Mgombea Udiwani Kata ya Viwanjasitini kupitia Chama cha Mapinduzi Flora Kwangu leo akizindua Kampeni zake amesema miongoni mwa mambo atakayoshughulikia ni pamoja na changamoto ya Miundombinu ya…
16 October 2025, 8:18 pm
sekta ya kilimo, ambayo ni uti wa mgongo wa uchumi wa Watanzania wengi, Mgombea urais kupitia chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Bi. Mwajuma Notty Mirambo, ameahidi kuboresha mazingira ya kilimo kwa kukifanya kuwa cha biashara na chenye tija…
16 October 2025, 6:52 pm
“Tuone ya kwamba mtoto wa mwenzako ni wako unaweza kumpa msaada” Na Nicolatha Mpaka Uongozi wa Shirika la Enlighten Development Organiozation EDO linalopatikana Ifakara Morogoro umempongeza Bw. Zeno Kakweche kwa kutimiza ahadi yake ya kumnunulia mashine ya kushonea binti Maria…
14 October 2025, 8:26 pm
Wasichana hao waliozalishwa katika umri mdogo na kutelekezwa walifikiwa na Shirika la EDO na kupatiwa mafunzo ya ujuzi wa ushonaji na kilimo cha bustani ya mbogamboga na matunda hivyo kuwasaidia kujitegemea wao na familia zao. Na Nicolatha Mpaka Wakina mama…
11 October 2025, 11:08 am
ACT-Wazalendo kupitia Mgombea Udiwani wa Kata ya Mbasa amesema Mbasa sio sehemu ya kushindwa kupitika Na Katalina Liombechi Mgombea udiwani wa Kata ya Mbasa kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Goodluck Msowoya, amezindua rasmi kampeni zake kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29,…
11 October 2025, 10:38 am
TARURA imekuwa na dhima ya kupanga,kusanifu,kujenga na kufanya matengenezo ya mtandao wa barabara za wilaya kwa ajili ya matokeo endelevu ya kijamii na kiuchumi Na Katalina Liombechi Wakala wa Barabara mijini na Vijijini TARURA Mkoa wa Morogoro wameketi Ifakara kwa…
11 October 2025, 10:06 am
Benki ya CRDB ina asilimia 1 kwa ajili ya jamii kuchangia maendeleo ya serikali Na Katalina Liombechi Katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja Benki ya CRDB imewajibika kwa kukabidhi Viti na Meza 50 katika shule ya Sekondari Mahutanga Halmashauri…
6 October 2025, 7:12 pm
Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, utekelezaji wa mradi huu unafanyika katika kata za Katindiuka, Signali, Kiberege, na Kisawasawa, ambako vijana wanalengwa moja kwa moja kwa ajili ya kupata mafunzo, mitaji, na vifaa vya kuendeleza kilimo cha kisasa chenye tija…
3 October 2025, 12:21 pm
Wazazi waomba msaada wa kifedha kiasi cha Tsh.Mil 4 na laki tatu kwa ajili ya kufanikisha matibabu ya Mtoto anayetakiwa kufanyiwa upasuaji kutokana na changamoto nadra aliyozaliwa nayo jinsi inayoleta mkanganyiko Na Katalina Liombechi Katika kitongoji cha magoha Kata ya…
3 October 2025, 9:56 am
Wazee 300 na wajane 334 wa Ifakara wamepatiwa kadi za bima ya afya ya CHF ili kuboresha huduma za afya. Mkuu wa wilaya ameagiza maboresho ya huduma kwa wazee na kuwataka wawezeshwe mikopo ya asilimia 10. Na; Isidory Mtunda Wazee…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.