Pambazuko FM Radio

Recent posts

7 March 2026, 11:59

Mila potofu,ukatili vikwazo kwa wasichana Ifakara

Maadhimisho ya siku ya wanawake yanafanyika kwa ajili ya kutafakari mchango wa mwanamke katika jamii na kuhakikisha anajikomboa zaidi Na Amina Mrisho Mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto na mila potofu kwa watoto wa kike vimetajwa…

7 March 2026, 11:09

Kilombero warejesha mto uliotoweka

Mto Ikwambi ulikuwa hatarini kutoweka kutokana na uharibifu wa mazingira uliosababishwa na shughuli za kibinadamu Na Katalina Liombechi Shirika la Kilombero Organization for Community Development (KOCD) limefanikiwa kurejesha uhai wa Mto Ikwambi uliopo katika Kijiji cha Sululu, Kata ya Signali,…

7 March 2026, 10:11

Jamii Ifakara yahimizwa kupima afya mara kwa mara

Watu wengi hugundulika na magonjwa katika hatua za mwisho kutokana na kutojenga tabia ya kupima afya mapema Na Katalina Liombechi Jamii yahimizwa kuwa na utamaduni wa kupima afya mara kwa mara ili kujikinga na magonjwa na kuboresha afya zao kwa…

6 March 2026, 15:52

Hakuna mkazi Mdindo asiyelipwa fidia

Viongozi wa kijiji cha Mdindo wilayani Ulanga wanasema wakazi wote waliathiriwa na maandalizi ya mradi wa uchimbaji madini wamelipwa fidia, huku wananchi wakisisitiza umuhimu wa uelewa wa mikataba na msaada wa kisheria kwa jamii. Na; Isidory Mtunda Mwenyekiti wa Kijiji…

3 March 2026, 19:15

Wenye mahitaji maalum wakumbukwa Kilombero

Miradi hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi za serikali katika kuboresha sekta ya elimu, miundombinu jumuishi na rafiki kwa makundi yote. Na Katalina Liombechi Mbunge wa Jimbo la Kilombero, Mheshimiwa Abubakar Asenga, leo ametembelea Kata ya Lumemo katika Halmashauri…

2 March 2026, 13:52

Maafisa maendeleo watajwa chachu kufikia Uchumi jumuishi

Kuna umuhimu wa kuongeza kasi ya usajili wa vikundi mbalimbali ili kuwezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika uchumi shindani na jumuishi Na Katalina Liombechi Katika kuhakikisha Dira ya taifa 2050 inatekelezwa kwa ufanisi, Mkoa wa Morogoro kupitia Idara ya Maendeleo ya…

20 February 2026, 19:37

Viwanjasitini yavuka lengo uandikishaji wanafunzi

Uandikishaji wa darasa la awali umefikia asilimia 106, huku darasa la kwanza likifikia asilimia 136 ya lengo Na Katalina Liombechi Kata ya Viwanjasitini, Halmashauri ya Mji wa Ifakara, imevuka malengo ya uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la awali na la…

18 February 2026, 19:23

Mwanafunzi darasa la sita ajinyonga Ulanga

Tukio hilo ni la kwanza kutokea katika kijiji hicho Na David Ngogolo/Nicolatha Mpaka Mtoto wa kike anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 15, mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Moonlight iliyopo kijiji cha madibila, kata ya Lupiro,…

13 February 2026, 20:18

Ushirikiano unavyosaidia kuripoti uhalifu Kilombero

Polisi Kupitia maadhimisho ya siku ya familia ya polisi,Jeshi hilo hujipima na kuhakikisha linatimiza wajibu wake wa kulinda raia na mali zao. Na Katalina Liombechi Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi yamefanyika leo katika viwanja vya Kiungani, vilivyopo Halmashauri…

13 February 2026, 15:06

Miaka 70 ya ubunifu Ihi

Ifakara Health Institute (IHI) imeadhimisha miaka 70 tangu kuanzishwa kwake, ikiendelea kujijenga kama taasisi kinara katika utafiti wa afya barani Afrika. Katika kipindi hicho, taasisi imeimarisha miundombinu ya maabara, kuongoza tafiti za malaria na chanjo, pamoja na kuzalisha wataalamu wa…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.