Boma Hai FM

Recent posts

27 April 2025, 8:51 pm

Bodi ya maji yarudisha kwa jamii, Saashisha apongeza

Katika kuendelea kuchochea maendeleo hapa nchini Bodi ya maji Uroki Bomang’ombe yajenga matundu nane ya choo katika shule ya msingi Kiselu. Na Gasper Mushi. Hai-Kilimajaro  Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe ameipongeza bodi ya maji Uroki Bomang’ombe kwa kutoa…

22 April 2025, 11:46 am

Samia Legal Aid kuondoa migogoro ya ardhi Rombo

Mkuu wa wilaya ya Rombo Raymond Mwangwala akizungumza na waandishi wa habari. Kutokana na wilaya ya Rombo kuwa na migogoro mingi itokanayo na ardhi kampeni ya  msaada wa kisheria ya Samia Legal Aid imetajwa kutatua changamoto hiyo. Na Elizabeth Mafie…

14 April 2025, 12:25 pm

DC Bomboko aungana na wadau wa maji Hai kumpongeza Rais Samia

Kutokana na mafanikio ya sekta ya maji kwa wilaya ya Hai, Mkuu wa wilaya hiyo pamoja na wadau wampongeza Rais Samia. Na James Gasindi Hai-Kilimanjaro. Wadau wa maji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, kwa kauli moja, wamepitisha azimio la…

9 April 2025, 9:55 am

Wananchi Hai watakiwa kutumia mvua zinazoendelea kunyesha kupanda miti

Ikiwa ni wiki ya upandaji miti iliyoanza rasmi Aprili mosi mwaka huu,halmashauri ya wilaya ya Hai imeendelea kupanda miti sehemu mbali mbali kwa ajili ya kuendelea kutunza mazingira. Na oliver  Joel Diwani wa kata ya Masama Kusini Cedrick Pangani amewataka…

8 April 2025, 11:27 am

Walioacha shule watakiwa kurudi kuendelea na masomo

Mkuu wa shule ya Sekondari Keni Renatus Lyimo( picha na Salma Sephu) Katika mahafali ya kwanza ya kidato cha sita ya shule ya sekondari Keni iliyopo wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wazazi na walezi wamekumbushwa kuwarejesha shule wanafunzi wote walioacha…

5 April 2025, 8:29 am

Katibu mpya CCM Hai akabidhiwa ofisi

Katibu mpya CCM Hai apokelewa kwa matarajio makubwa ya mageuzi ya kisiasa Na James Gasindi. Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Hai,  tarehe 4 Aprili 2025, imeshuhudia tukio muhimu la makabidhiano rasmi ya ofisi ya Katibu…

30 March 2025, 8:40 am

Pad. Dkt. Aidan aadhimisha siku ya kuzaliwa kwa kugawa miche ya miti

Padre Dkt Aidan aliyevaa kofia akiwa na wadau mbali mbali wa mazingira katika shule ya sekondari Mawenzi katika siku yake ya Kuzaliwa(picha na Elizabeth Mafie) Wakati baadhi ya watu duniani wakisheherekea siku zao za kuzaliwa kwa kukata keki,imekuwa tofauti kwa…

27 March 2025, 8:36 pm

Bodaboda Hai wapatiwa elimu

Kutokana na kuwepo kwa ajali nyingi zinazotokana na waendesha bodaboda, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Jimbo la Hai wamekutana na kuzungumza na waendesha bodaboda hao kwa lengo la kuhakikisha wanabaki salama. Na Elizabeth Mafie Maafisa wasafirishaji…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha