Boma Hai FM
Boma Hai FM
9 March 2024, 12:04 pm
Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewataka baadhi ya wanawake wanaokopa mikopo katika taasisi mbalimbali kuacha mara moja kwani mikopo hiyo inaleta athari kwa familia pamoja na jamii. Na Edwin Lamtey Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewaasa…
8 March 2024, 8:45 am
Katika kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo Machi 8 kila mwaka NSSF wilaya ya Hai wametoa msaada kwa wenye uhitaji. Na Stanley Christian Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Shirika la Taifa la…
7 March 2024, 5:22 pm
Hai Kuelekea kuashwa kwa mwenge kitaifa mkoani Kilimanjaro tarehe 2 April wafanyabiashara wadogowadogo maarufu machinga wilayan Hai wameaanda maonyesho makubwa ya bidhaa mbalimbali za utamaduni sanaa na utalii Na Janeth Joachim Kuelekea kuashwa kwa mwenge kitaifa mkoani Kilimanjaro tarehe 2…
5 March 2024, 1:33 pm
Wanawake wilayani Hai wametakiwa kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani inayotarajiwa kuadhimishwa Machi 8 mwaka huu. Na Elizabeth Mafie Wanawake wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujitokeza kushiriki…
23 February 2024, 10:06 am
Vikundi vya vijana ,wanawake na watu wenye ulemavu wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kurejesha mikopo waliyochukua katika halmashauri ya wilaya hiyo kama utaratibu unavyoelekeza. Na Janeth Joachim Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kurejesha fedha za mikopo ya halmashauri zinazotolewa…
22 February 2024, 12:37 pm
Kutokana na jitihada za Mkurugenzi mtendaji pamoja na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya siha za ukosanyaji wa mapato,baraza la madiwani wa halmashauri hiyo latoa pongezi. Na Elizabeth Mafie Baraza la madiwani wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro limempongeza mkurugenzi…
7 February 2024, 5:57 pm
Kutokana na baadhi ya wananchi kutumia vilevi mbalimbali wakati wa kazi imetajwa kuwa sababu ya vitendo vya uhalifu pamoja na ukatili. Na Janeth Joackimu Wananchi wa kijiji cha Nronga Kilichopo kata ya Machame Magharibi wametakiwa kuacha tabia ya unywaji wa…
6 February 2024, 8:26 am
Soko la Mbuyuni limeteketea kwa moto na kuwasababisha hasara kwa wafanyabiashara wa soko hilo huku chanzo cha moto huo kikiwa hakijulikani. Na Elizabeth Mafie Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amefika soko la Mbuyuni lililoteketea kwa moto usiku huu…
5 February 2024, 12:23 pm
Chama cha mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro kimewataka baadhi ya wanachama ambao wamekuwa wakikiuka taratibu za chama kwa kuomba kura kwa wananchi kabla ya uchaguzi kuacha mara moja. Na Elizabeth Mafie Chama cha Mapinduzi (CCM ) mkoa wa Kilimanjaro kimetoa onyo…
29 January 2024, 1:04 pm
Bodi ya maji Bonde la Pangani kwa kushirikiana na Jumuiya ya watumia maji mto Kware wamewataka wananchi katika kata ya Masama Magharibi wanaoharibu vyanzo vya maji kwa kukata miti kuacha mara moja na badala yake watunze vyanzo hivyo. Na Elizabeth…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha