Pambazuko FM Radio

Recent posts

6 June 2025, 4:42 pm

Wazazi kukwama kwenye malezi, wasiwasi kupatikana vijana wasiofaa

Tusikimbie majukumu yetu tusipowafuatilia na kuwasimamia vizuri ndio tunapata Wezi wa Mtandaoni(halo halo)muda mwingine hamkagui daftari kwa sababu tumeshindwa kutimiza wajibu wetu Na Katalina Liombechi Wazazi wametakiwa kuwajibika kwa watoto wao kufanikisha maendeleo ya kitaaluma na Malezi ili kukuza ufaulu…

6 June 2025, 2:57 pm

Ajenda ya no reforms no election yatua Bonde la Kilombero

Chadema tumesema yafanyike marekebisho ya sheria ndio tuingie kwenye uchaguzi 2025 Na Elias Maganga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kinaendelea na ziara yake Nchi nzima ya kuhamasisha Agenda ya kutoshiriki uchaguzi mkuu kama hakutakuwa na marekebisho makubwa ya mifumo na…

4 June 2025, 1:22 pm

Jamii ya Ifakara yajizatiti kudhibiti taka za plastiki

Maadhimisho ya siku ya mazingira ni nafasi nzuri ya kuhamasisha wananchi kuendelea kuchukua hatua madhubuti katika kudhibiti taka za plastiki na kuchangia katika ulinzi wa mazingira ya dunia nzima Na Katalina Liombechi Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, jamii imekuwa…

31 May 2025, 10:35 am

AGCOT yaendeleza jitihada kudhibiti kilimo, taka za plastiki

Bonde la Kilombero ni maarufu kwa shughuli za kilimo na ni eneo muhimu Kiikolojia hivyo AGCOT wanaendeleza kilimo cha Kibiashara kinachotunza na kuhifadhi mazingira Na Katalina Liombechi Taasisi ya Kuendeleza Shoroba za Kilimo Tanzania AGCOT kupitia kwa Meneja wake Mkoa…

28 May 2025, 7:23 pm

Ndoto za vijana zinavyoishia njiani kwa kujihusisha na wizi mtandaoni

Inaelezwa kuwa ndoto za vijana vimekuwa zikiishia njiani kutokana na kujihusisha na wizi wa mtandaoni Na Katalina Liombechi na David Ngogolo Katika wakati huu ambao teknolojia imeleta fursa ya matumizi mbalimbali watu wengi hasa vijana wamekuwa wakitumia fursa nyingi za…

24 May 2025, 1:57 pm

Wakazi wa Viwanjasitini wapanda miti 2,000 kando ya mto Lumemo

Kupanda miti katika eneo hilo ni jitihada za kuhakikisha kuwa Mto Lumemo unasalia kuwa chanzo safi na salama kwa kizazi cha sasa na kijacho. Na Katalina Liombechi Katika jitihada za kutunza mazingira na kulinda vyanzo vya maji wananchi wa Kata…

20 May 2025, 6:47 pm

TFS watumia mbinu shirikishi kutunza mazalia ya nyuki

Na Katalina Liombechi TFS Wilaya ya Kilombero wanaadhimisha Siku ya Nyuki wakisisitiza kuelimisha na kuhamasisha wananchi kufuga nyuki kwa wingi Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania TFS Wilaya ya Kilombero imesema itaendelea kusimamia na kufanya ulinzi shirikishi kulinda Hifadhi za…

16 May 2025, 8:30 pm

Kilombero haitamani dosari zoezi la uhakiki taarifa za mpiga kura

Na Katalina Liombechi Zoezi la kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura awali lilifanyika mwezi Machi na kwa mwezi huu mei kuanzia leo tarehe 16 hadi 22 ni katika kuhakiki taarifa hizo na wengine kujiandikisha kwa wale walioshindwa kujiandikisha…

12 May 2025, 1:00 pm

Vinara wa uhifadhi kuja na mikakati ya kulinda Bonde la Kilombero

Katika kuendelea kulinda ardhi oevu ya Bonde la Kilombero vinara wa uhifadhi wakusudia kujielekeza katika mbinu za kuhakikisha bonde hilo linabaki salama Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya amefungua rasmi Mtandao wa Vinara wa Uhifadhi…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.