Pambazuko FM Radio

Recent posts

20 June 2025, 2:06 pm

Shughuli za kiuchumi Kilombero zahitaji uangalizi kukwepa madhara

Picha ya washiriki wa mjadala wa matokeo ya awali ya utafiti unaofanyika kwenye Bonde la Kilombero(Picha na Elias Maganga) Shughuli zinazoongezeka za kiuchumi na kijamii katika Bonde la Kilombero zinaweza kuleta madhara makubwa zisipoangaliwa kwa umakini. Na Elias Maganga Shughuli…

19 June 2025, 8:19 pm

TANESCO Moro yabaini hujuma miundombinu ya umeme

Katika kuendelea kutoa huduma iliyo bora ya umeme Shirika la TANESCO limebaini changamoto ya kuhujumu miundombinu ya  umeme kwa makusudi au kwa bahati mbaya Na Katalina Liombechi Shirika la Umeme Tanzania—TANESCO Mkoa wa Morogoro limebaini kuwepo kwa changamoto kubwa ya…

18 June 2025, 7:29 pm

Diwani aguswa ugumu wa matibabu, akabidhi bima za afya CHF 170

Wanachama wa CHF hupata huduma haraka na kwa urahisi kwenye vituo vya afya vilivyoingia mkataba na bima hiyo hivyo hupunguza ucheleweshaji wa matibabu unaoweza kusababisha madhara makubwa kiafya Na Katalina Liombechi Jumla ya wahitaji 170 katika kata ya Lupiro Wilaya…

16 June 2025, 8:24 pm

DC Kyobya akemea vitendo vya ukatili dhidi ya watoto

“Lengo kubwa ni kumlinda mtoto aweze kutimiza ndoto zake,tunataka kila mtoto asome“ Na Katalina Liombechi Wazazi na Jamii Wilayani Kilombero wametakiwa kuzifanyia kazi changamoto zinazowakabili watoto kama vitendo vya ukatili na wazazi kutoa ushirikiano katika malezi na lishe ili waweze…

13 June 2025, 3:13 pm

Halmashauri Ifakara kukarabati choo cha stendi

Choo safi na salama husaidia kuzuia kuenea kwa magonjwa ya Mlipuko kama kipindupindu, kuhara, na minyoo hukinga uchafuzi wa mazingira unaoweza kusababishwa na kinyesi kuwa wazi au kutupwa hovyo Na Katalina Liombechi Halmashauri ya Mji wa Ifakara imeanza kuchukua hatua…

13 June 2025, 12:13 pm

Watu wenye ulemavu wasisitizwa kujishughulisha

“Kuomba huku ni kitu kibaya sana nikaona bora nipambane“ Na Katalina Liombechi Inaelezwa kuwa katika jamii nyingi, watu wenye ulemavu hukumbana na mitazamo potofu ambayo huwakatisha tamaa katika maisha ya kila siku. Hayo yamebainika baada ya Pambazuko FM kuzungumza na…

11 June 2025, 6:49 pm

Tabia ya wizi yaibuka Mtaa wa Miembeni

Ili kukabiliana na vitendo vya wizi kunahitaji ushirikiano wa jamii nzima,uongozi wa mtaa, na hata vyombo vya usalama Na Katalina Liombechi Katika Mtaa wa Miembeni Kata na Halmashauri ya Mji wa Ifakara imetajwa kuibuka kwa tabia ya Wizi Mdogo mdogo…

11 June 2025, 6:34 pm

CAG aibua hoja za kisera Mlimba

Mapendekezo ya hoja hizo ni kuendelea kuomba watumishi wa sekta mbalimbali na kufanya ufuatiliaji wa namna ya kupunguza changamoto za miundombinu ya elimu na afya Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Adam Malima amesema hoja nyingi…

9 June 2025, 7:28 pm

RC Malima: Hoja nyingi ripoti ya CAG Ifakara za kujitakia

Nilikuwa napata malalamiko kuwa idara ya manunuzi ina shida Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Ripoti ya Mkaguzi mkuu wa Nje Mkoa wa Morogoro imebaini mapungufu kadhaa Katika hoja 18 zilizotolewa na Mkaguzi huyo katika ripoti yake ya ukaguzi wa fedha na…

7 June 2025, 6:33 pm

Uongozi stendi Ifakara wafunga huduma ya choo

Stendi hii inahudumia zaidi ya watu 400 kwa siku kwa sasa tunalazimika kuomba huduma za choo katika nyumba za jirani kitu ambacho si ustaarabu na inaleta usumbufu Na Katalina Liombechi Viongozi wa Stendi ya kwa makali iliyopo katika Halmashauri ya…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.