Pambazuko FM Radio

Recent posts

21 February 2023, 3:07 pm

Watafiti waja na drones kutokomeza mazalia ya mbu

Na Rifat Jumanne Watafiti kutoka Taasisi ya utafiti wa Afya Ifakara wameanzisha program maalum ya kutumia ndege zisizo na rubani {Drones} ambazo zitakuwa na uwezo wa kuzunguka na kunyunyizia dawa ili kudhibiti ugonjwa wa malaria katika Mji wa Ifakara. Hayo…

19 February 2023, 4:13 pm

Andaeni mikakati ya usafi ili itekelezwe

Na Rifati Jumanne Katika kuhakikisha Halmashauri ya Mji wa Ifakara inarejea katika usafi wa mazingira,mashirika yasiyo ya kiserikali Wilayani Kilombero imewaomba Halmashauri ya Wilaya kuandaa mikakati maalumu ili wao waitekeleze kama ilivyo azma yao ya kusaidiana na serikali katika kila…

18 February 2023, 1:18 pm

Wanufaika wa Tasaf walia kuondolewa kwa ruzuku-Ifakara

Na Elias Maganga Wanufaika wa mfuko wa maendeleo ya Jamii Tasaf awamu ya tatu Kata ya Mbasa katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamekuwa na hali ya sintofahamu juu ya ruzuku ya msingi na utekelezaji wa mradi wa barabara huku …

11 February 2023, 4:14 pm

Mikakati ya kuondokana na uchafu wa mazingira yaanza kutekelezwa-Ifakara

Na Elias Maganga Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wilayani Kilombero wameshauriwa kuunga mkono kampeni ya usafi wa mazingira inayojulikana Usafi wangu mita tano na mita tano usafi wangu,kwa kufanya hivyo watakuwa wanajikinga dhidi ya  magonjwa mbalimbali ya maambukizi.…

10 February 2023, 4:24 pm

Zoezi la uondoaji Mifugo limeanza katika Bonde la Mto Kilombero

Na Kuruthum Mkata Operesheni ya kuondoa Mifugo ndani ya Bonde la Mto Kilombero, limeanza kutokana na maagizo ya Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Dominick Kyobya imeanza katika Kijiji cha Merera,Kata ya Chita ,Tarafa ya Mngeta, Halmashauri ya Wilaya…

10 February 2023, 3:07 pm

Wazazi wamekubaliana kuchangia lishe shuleni

Na Katalina Liombechi Wazazi wa watoto wanaosoma katika Shule ya msingi Ifakara katika Kata ya Viwanjasitini Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamekubaliana kuchangia lishe kwa watoto pindi wanapokuwa Shuleni ikiwa ni njia ya kukuza Ufaulu Shuleni hapo. Katika Makubaliano hayo…

8 February 2023, 2:37 pm

Ufugaji wa Nyuki huzuia uharibifu wa rasilimali Misitu na Mazingira

Na Katalina Liombechi Ufugaji Nyuki Wilayani Kilmbero imetajwa kuwa shughuli Mojawapo rafiki kwa uhifadhi endelevu wa Rasilimali za Misitu na Mazingira kwa Ujumla. Afisa Nyuki Halmashauri ya Mlimba Wilayani Kilombero bwana John Mlulu ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa…

7 February 2023, 2:49 pm

Kituo cha Polisi Ifakara ni chakavu-Dc Kyobya

Na Kuruthum Mkata Uchakavu wa Jengo na miundo mbinu mibovu ya umeme katika   Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Kilombero kilichopo Ifakara ,imepelekea Mkuu wa Wilaya ya Kilombero wakili Dunstan Kyobya kuagiza kufanya marekebisho ikiwa ni pamoja na kupaka rangi…

31 January 2023, 12:07 pm

Rc Mwasa azuia utolewaji wa vibali vya uchomaji wa mkaa

“Kutokana na mabadiliko ya tabianchi ambayo inaikumba nchi yetu na Dunia kwa ujamla Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Bi Fatma Mwasa amepiga marufuku uchomaji wa mkaa na kuwataka wanaofanya shughuli hizo ,watafute shughuli zingine za kufanya” By Elias Maganga/Isdory Mtunda…

31 January 2023, 8:33 am

Wazazi wasiowapeleka watoto shule kukiona

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Bwana Dunstan Kyobya amewaagiza maafisa Watendaji wa Vijiji na Kata kuwachukulia hatua za kisheria wazazi ambao watoto wao hawajaripoti shuleni. Bwana kyobya ametoa agizo hilo wakati akizungumza na watumishi wa umma,viongozi wa dini pamoja na…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.