Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
23 October 2025, 7:03 pm
Kwa kipindi kirefu wakulima katika bonde la kilombero wamekuwa wakiuza mpunga badala ya kuuza mchele kitu ambacho haishauriwi kwani kufanya hivyo kunapunguza thamani ya zao hilo Na Kuruthumu Mkata Serikali kupitia Idara ya Kilimo Halmashauri ya Mji wa Ifakara imeendelea…
22 October 2025, 5:27 pm
Wakulima wa kijiji cha Mhelule, kata ya Mwaya wilayani Kilombero wamelalamikia ukosefu wa msaada wa karibu kutoka kwa maafisa ugani, wakisema hawafiki mashambani kubaini changamoto zao. Maafisa wanasema idadi yao haitoshi kuwafikia wote, hivyo wakulima wanapaswa kuwafuata Na: Isidory Mtunda…
21 October 2025, 6:20 pm
“Nimeona fursa ya mimi kulipa fadhila kwa jamii iliyonikuza kwa mfumo wa Siasa kuhakikisha kunakuwa na maadili ya watoto wetu kwa mustakabali wa Taifa letu” Na Katalina Liombechi Mgombea udiwani Kata ya Viwanjasitini kupitia National League for Democracy NLD Abdallah…
21 October 2025, 6:08 pm
Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, kwa mujibu wa Kifungu cha 69(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya mwaka 2024 Na Amina Mrisho Katika kuelekea uchaguzi…
19 October 2025, 11:53 pm
Mafunzo hayo ambayo yametolewa na taasisi ya TESIFA Tanzania kwa kushirikiana na Swisscontact chini ya shirika la maendeleo nchini Uswiss (SDC) Kupitia ubalozi wa Uswiss Tanzania yamelenga kuwawezesha vijana hao kujipatia ujuzi utakaowasaidia kujitegemea, kujisimamia kimaisha, na pia kuwa mfano…
18 October 2025, 9:06 pm
Jitihada za jeshi la polisi zimeendelea kuzaa matunda ya kuwakamata watu wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu kwa kutumia njia za kuwashirikisha wananchi Na Katalina Liombechi Katika kuendeleza mikakati ya Usalama Mkoani Morogoro Jeshi la Polisi Mkoani humo kupitia Oparesheni zake…
18 October 2025, 8:23 pm
Mkutano huo katika kata ya Mwaya ulihudhuriwa pia na viongozi mbalimbali wa CCM wa kitaifa na mkoa, ambao walisisitiza mshikamano na amani katika kipindi chote cha kampeni na hata baada ya uchaguzi Na Katalina Liombechi Mgombea mwenza wa urais kupitia…
17 October 2025, 7:55 pm
“Naomba mnichague nitahakikisha watu wote wanapata mikopo bila kuonewa “ Na Katalina Liombechi Mgombea Udiwani Kata ya Viwanjasitini kupitia Chama cha Mapinduzi Flora Kwangu leo akizindua Kampeni zake amesema miongoni mwa mambo atakayoshughulikia ni pamoja na changamoto ya Miundombinu ya…
16 October 2025, 8:18 pm
sekta ya kilimo, ambayo ni uti wa mgongo wa uchumi wa Watanzania wengi, Mgombea urais kupitia chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Bi. Mwajuma Notty Mirambo, ameahidi kuboresha mazingira ya kilimo kwa kukifanya kuwa cha biashara na chenye tija…
16 October 2025, 6:52 pm
“Tuone ya kwamba mtoto wa mwenzako ni wako unaweza kumpa msaada” Na Nicolatha Mpaka Uongozi wa Shirika la Enlighten Development Organiozation EDO linalopatikana Ifakara Morogoro umempongeza Bw. Zeno Kakweche kwa kutimiza ahadi yake ya kumnunulia mashine ya kushonea binti Maria…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.