Pambazuko FM Radio

Recent posts

25 October 2025, 1:45 pm

Tukio la mauaji hifadhi ya iluma

Mfugaji mmoja, Mahela Kahamba Mwanzalima (40), amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na walinzi wa hifadhi ya wanyamapori ya Iluma, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro. Tukio hilo limetokea wakati marehemu na wenzake walipokuwa wakijaribu kuchukua mifugo yao iliyokuwa imekamatwa kwa kuchungia…

25 October 2025, 10:01 am

Tembo afungwa kola ya GPS kudhibiti madhara

TANAPA yafunga tembo kola ya GPS katika Hifadhi ya Nyerere ili kudhibiti uharibifu wa mazao na kupunguza migogoro kati ya wanavijiji na wanyamapori. Na; Isidory Mtunda Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) imefanikiwa kumfunga kifaa maalumu cha kufuatilia mienendo…

24 October 2025, 7:23 pm

DC Kyobya awaonya watakaohatarisha amani

“Tukahamasishe utulivu na pale kwenye viashiria vyovyote msisite kutoa taarifa,muwasisitize watu wakapige kura amani ndio msingi wa kila kitu“ Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, leo ameongoza kikao maalum na viongozi wa dini pamoja na…

23 October 2025, 7:03 pm

Wakulima watakiwa kuongeza thamani zao la mpunga

Kwa kipindi kirefu wakulima katika bonde la kilombero wamekuwa wakiuza mpunga badala ya kuuza mchele kitu  ambacho haishauriwi kwani kufanya hivyo kunapunguza thamani ya zao hilo Na Kuruthumu Mkata Serikali kupitia Idara ya Kilimo Halmashauri ya Mji wa Ifakara imeendelea…

22 October 2025, 5:27 pm

Huduma ugani yawapa changamoto wakulima

Wakulima wa kijiji cha Mhelule, kata ya Mwaya wilayani Kilombero wamelalamikia ukosefu wa msaada wa karibu kutoka kwa maafisa ugani, wakisema hawafiki mashambani kubaini changamoto zao. Maafisa wanasema idadi yao haitoshi kuwafikia wote, hivyo wakulima wanapaswa kuwafuata Na: Isidory Mtunda…

21 October 2025, 6:20 pm

Mgombea Udiwani NLD aamini kwenye Maadili 

“Nimeona fursa ya mimi kulipa fadhila kwa jamii iliyonikuza kwa mfumo wa Siasa kuhakikisha kunakuwa na maadili ya watoto wetu kwa mustakabali wa Taifa letu” Na Katalina Liombechi Mgombea udiwani Kata ya Viwanjasitini kupitia National League for Democracy  NLD Abdallah…

21 October 2025, 6:08 pm

Vitambulisho Mbadala kutumika kupiga kura

Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, kwa mujibu wa Kifungu cha 69(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya mwaka 2024 Na Amina Mrisho Katika kuelekea uchaguzi…

19 October 2025, 11:53 pm

TESIFA yawapa matumaini mapya vijana 144

Mafunzo hayo ambayo yametolewa na taasisi ya TESIFA Tanzania kwa kushirikiana na Swisscontact chini ya shirika la maendeleo nchini Uswiss (SDC) Kupitia ubalozi wa Uswiss Tanzania yamelenga kuwawezesha vijana hao kujipatia ujuzi utakaowasaidia kujitegemea, kujisimamia kimaisha, na pia kuwa mfano…

18 October 2025, 9:06 pm

Wanne waponzwa na meno ya tembo Moro

Jitihada za jeshi la polisi zimeendelea kuzaa matunda ya kuwakamata watu wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu kwa kutumia njia za kuwashirikisha wananchi Na Katalina Liombechi Katika kuendeleza mikakati ya Usalama Mkoani Morogoro Jeshi la Polisi Mkoani humo kupitia Oparesheni zake…

18 October 2025, 8:23 pm

Dkt. Nchimbi: Wakulima watarajie kilimo chenye tija

Mkutano huo katika kata ya Mwaya ulihudhuriwa pia na viongozi mbalimbali wa CCM wa kitaifa na mkoa, ambao walisisitiza mshikamano na amani katika kipindi chote cha kampeni na hata baada ya uchaguzi Na Katalina Liombechi Mgombea mwenza wa urais kupitia…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.