Pambazuko FM Radio

Recent posts

15 March 2026, 16:39

Jamii Kilombero yakumbushwa kujali makundi yenye uhitaji

Tumekutana na wenzetu ambao mara nyingi hawakumbukwi na hawapewi ushirikiano, tukumbushane kama jamii kuwaombea na kushirikiana nao wanapohitaji msaada. Na Nicolatha Mpaka Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, wakili Dustan Kyobya, amewaalika na kushiriki futari na makundi maalum yenye uhitaji katika…

14 March 2026, 09:12

DC Kyobya apongeza maboresho St. Francis Hospital

Kwasasa tunaona mabadiliko ya huduma bora katika hospitali hii kwa wateja,vifaa,majengo na mahusiano Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya amepongeza juhudi zinazoendelea kufanyika katika kuleta mabadiliko chanya katika Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Fransisko Ifakara…

14 March 2026, 08:33

Jamii yakumbushwa misingi ya ufugaji nyuki

Wanaotaka kufuga nyuki ndani ya misitu inayosimamiwa na TFS wanapaswa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa ili kulinda misitu na kuhakikisha shughuli hiyo inafanyika kwa usalama. Na Katalina Liombechi Ufugaji wa nyuki imetajwa kuwa miongoni mwa shughuli muhimu zinazochangia uhifadhi…

13 March 2026, 19:47

Polisi wanawake Moro wachangia matibabu mtoto mwenye ulemavu

Polisi wanawake mkoa wa Morogoro wamefanya harambee ya kupata kiasi cha fedha Tsh.630,000 kusaidia matibabu  baada ya kuona uhitaji kwa mtoto Zuhaira mara baada ya kumtembelea Machi 6, 2026 wakiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Na Katalina Liombechi Mtandao wa Polisi…

12 March 2026, 19:24

Wagonjwa wa figo 40 huonwa kwa wiki Ifakara

Ndani ya siku mbili za wiki Hospitali ya St.Francis huona wagonjwa 30-40 kwa wiki huku wengi wao wakiwa na changamoto ya kifedha kushindwa kugharamia matibabu ya ugonjwa huo Na Kuruthumu Mkata Takribani wagonjwa 15 hadi 20 wa figo hupatiwa matibabu…

11 March 2026, 22:53

Maarifa ya biashara yaongeza mafanikio

Wajasiriamali wa Ifakara wamehimizwa kupata elimu ya biashara, kuweka kumbukumbu sahihi za mapato na matumizi pamoja na kujenga utamaduni wa kuweka akiba ili kuimarisha biashara zao na kuongeza kipato cha familia. Na: Isidory Mtunda Wajasiriamali katika mji wa Ifakara wilayani…

11 March 2026, 20:21

Watendaji 61 wapatiwa mafunzo kupinga ukeketaji kinywani

Mafunzo hayo yanatolewa katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Ifakara lengo ni kuwafikia viongozi wa mitaa/vijiji na kata 817 Na Kuruthumu Mkata Zaidi ya watendaji 61 kutoka kata za Lumemo na Michenga katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara…

11 March 2026, 20:08

Mil. 44 kujenga madarasa mawili sekondari Mabukula

Fedha hizo zimetolewa ili kupunguza changamoto ya uhaba wa vyumba vya madarasa inayoikabili shule hiyo. Na Katalina Liombechi Kata ya Kibaoni imepokea kiasi cha shilingi milioni 44 kutoka katika fedha za ndani za Halmashauri ya mji wa Ifakara kwa ajili…

10 March 2026, 19:59

Kilombero waaswa kuacha ukeketaji kinywani kwa watoto

”Ajenda ya dhana potofu ya meno ya plastiki, ukeketaji wa viungo kinywani ijadiliwe kwenye mikutano ,mashuleni na vikao mbalimbali” Na Katalina Liombechi Jamii Wilayani Kilombero imetakiwa kupinga vikali dhana potofu kuhusu uwepo wa meno ya plastiki pamoja na vitendo vya…

9 March 2026, 19:51

RC Malima awaonya wanaofumbia macho unyanyasaji dhidi ya wanawake

Picha ya Wanawake Morogoro wakiwa wameshika bango kusherehekea siki yao(Picha na Kuruthumu Mkata) “Kuna watu watendaji wanaona mwanamke ananyang’anywa ardhi anabariki nikimsikia mtu anaangalia unyanyasaji wa namna hii ahame mkoa wangu” Na Amina Mrisho Watendaji wote wa serikali kuanzia ngazi…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.