Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
7 February 2026, 5:20 pm
Na; Isidory Mtunda Kampuni ya Moto Max Energies inayozalisha mkaa mbadala katika kijiji cha Mahutanga, Halmashauri ya Mji wa Ifakara mkoani Morogoro, imekabidhiwa mashine ya kisasa ya kuzalisha kuni mbadala yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 130, kupitia mradi…
7 February 2026, 9:26 am
“Tumeamua kutoa elimu ya ufugaji nyuki wasiouma baada ya kuona asali ya nyuki hawa ina gharama kubwa kuliko nyuki wa kawaida“ Na Katalina Liombechi Katika jitihada za kupunguza utegemezi wa rasilimali za asili na kuongeza kipato cha jamii, Shirika la…
6 February 2026, 8:02 pm
“Suala la lishe tumekubalina kwenye vikao na mikutano hivyo tunaendelea kukumbushana na kuhimizana” Na Katalina Liombechi Viongozi na Wananchi kata ya Lumemo katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wameendelea kuhamasishana kuchangia lishe mashuleni ili kuwasaidia watoto kujifunza bila vikwazo. Hayo…
6 February 2026, 11:07 am
“Tunachotakiwa ni kulinda vyanzo vya maji ili vizazi vijavyo viweze kunufaika na huduma ya maji” Na Kuruthumu Mkata Meneja Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) mkoa wa Morogoro, Mhandisi Sospeter Lutonja, amewataka wananchi kuhakikisha wanatunza na kulinda…
30 January 2026, 8:14 pm
Kabla ya Mradi kufanya maboresho Hospitali ilikuwa inarekodi wastani wa vifo vya watoto wachanga hadi 175 kwa mwaka hali iliyochangiwa na upungufu wa huduma maalum na miundombinu stahiki Na Katalina Liombechi Vifo vya watoto wachanga katika Hospitali ya Rufaa ya…
29 January 2026, 7:23 pm
Ziara hiyo imelenga kuwezesha wakulima kujifunza moja kwa moja kutoka kwa wakulima bora waliopiga hatua, kwa kubadilishana uzoefu, kuuliza maswali na kuona kwa vitendo mbinu zinazotumika shambani. Na Katalina Liombechi Katika kuendeleza utekelezaji wa shughuli za mradi wa Sustain Eco…
28 January 2026, 1:59 pm
Jumla ya shilingi milioni 600 zimetolewa kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye mahitaji maalum ndani ya Halmashauri ya Mji wa Ifakara kupitia mikopo ya asilimia kumi, ikiwa ni sehemu ya jitihada za serikali za kuwawezesha wananchi kiuchumi. Akizungumza…
20 January 2026, 5:55 pm
Wakazi wa kijiji cha Epanko wilayani Ulanga wamelalamikia kucheleweshwa kwa fidia ya ardhi yao kwa zaidi ya miaka kumi kupisha mradi wa uchimbaji madini, wakitaka haki zao za ardhi na mazingira zilindwe kabla ya kuondolewa. Na: Isidory Mtunda Wakazi wa…
28 December 2025, 4:00 pm
Waumini wa Kanisa la Calvary Assemblies of God (C.A.G) Ifakara wameungana kusherehekea Noeli kwa kula pamoja, ikiwa ni sehemu ya utamaduni wa kuimarisha mshikamano wa kiroho na kijamii miongoni mwao. Na: Isidory Mtunda Kanisa la Calvary Assemblies of God (C.A.G)…
24 December 2025, 7:28 pm
Watoto yatima na wenye mahitaji maalum bado ni jukumu la jamii kuhakikisha mahitaji mbalimbali Na Katalina liombechi/Kuruthumu Mkata Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba amekabidhi msaada wa vyakula na mahitaji mbalimbali wenye thamani ya shilingi milioni 2 kwa watoto…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.