

25 January 2025, 11:07 am
Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Tanzania kuja na mikakati ya miaka 20 kuendelea kutunza na kurejesha mandhari ya Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa kufanya dunia kuwa sehemu salama kwa maisha ya binadamu na viumbe hai kwa ujumla. Mikakati hiyo…
8 January 2025, 1:33 am
Picha ya hundi pesa zilizotolewa na halmashauri ya Mlimba kwa makundi ya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu – Picha na Isidory Mtunda Na: Isidory Mtunda Mkuu wa Wilaya ya Kilombero mkoani wa Morogoro, Wakili Danstan Kyobya, ametoa maagizo kwa…
3 January 2025, 2:08 pm
Na Katalina Liombechi Jamii imeshauriwa kutotumia maji yasiyotibiwa ili kuepuka magonjwa mbalimbali yanayotokana uchafu kama kipindupindu. Mbonja Kasembwa ni Afisa Afya katika Halmashauri ya Mlimba Wilaya ya Kilombero ameiambia Pambazuko FM kuwa kumekuwa na utamaduni wa baadhi ya watu kutumia…
28 December 2024, 7:22 pm
Na Katalina Liombechi Katika kukabiliana na changamoto za shughuli za kibinadamu zinazohatarisha upotevu wa Bionuwai na Mabadiliko ya tabianchi mashirika ya kimataifa na ya kikanda kama African Wildlife Foundation (AWF) yamejizatiti kutafuta suluhisho endelevu. Mchumi Kilimo kutoka AWF Alexander Mpwaga…
28 December 2024, 7:12 pm
Na Katalina Liombechi Wakulima wanaofanya kilimo cha umwagiliaji wameshauriwa kutumia teknolojia ya kilimo shadidi inayozingatia matumizi sahihi ya rasilimali maji ambayo haiathiri uendelevu wake. Mkuu wa Idara ya Kilimo Halmashauri ya Mlimba Mhandisi Romanus Myeye ameyasema hayo wakati akifanyiwa mahojiano…
27 December 2024, 4:15 pm
Na Katalina Liombechi Uwepo wa soko la uhakika wa zao la kokoa imeendelea kuleta mabadiliko makubwa ya kiuchumi kwa wakulima wa Halmashauri ya Mlimba kutokana na mfumo mzuri wa biashara katika zao hilo. Kwa mujibu wa Afisa Ushirika Halmashauri ya…
27 December 2024, 2:44 pm
Na Katalina Liombechi Wakulima wa Kokoa wameshauriwa kuzingatia uvunaji na uhifadhi mzuri wa Kokoa ili mazao yaweze kukubalika sokoni. Kwa mujibu wa Afisa Kilimo Mratibu wa zao la Kokoa Halmashauri ya Mlimba Dismas Charles Amri amesema katika kuvuna kokoa kuna…
27 December 2024, 2:29 pm
Na Katalina Liombechi Mkuu wa Idara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Dkt Yuda mgeni amewataka wakulima wa kokoa kutumia Mbolea za asili husaidia kuongeza idadi ya viumbe hai kwenye udongo, kama vile bakteria na…
21 December 2024, 9:54 am
Na Katalina Liombechi Shirika la Six Rivers Africa limehitimisha zoezi la kukabidhi Miradi ya kujikwamua kiuchumi kwa awamu hii kwa Vikundi 13 kutoka vijiji vilivyopakana na Hifadhi ya Taifa ya Nyerere ikiwa ni miradi yenye thamani ya Tsh.Mil 45 na…
16 December 2024, 8:29 pm
Na Katalina Liombechi Shirika la six Rivers Afrika wamekabidhi Miradi ya kufuga nguruwe na Kuuza Unga wa Sembe yenye thamani ya shilingi Mil.7 kwa vikundi viwili kutoka Kata za Katindiuka na Kibaoni katika Halmashauri ya mji wa Ifakara ikiwa ni…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.