Pambazuko FM Radio

Recent posts

24 May 2024, 1:15 pm

Bonde la Kilombero kurejeshewa mazingira ya asili, uchumi

Baadhi ya Wadau walioshiriki Warsha hiyo akiwemo Mebo Kanyabua Kutoka Kampuni ya Sukari Kilombero,Saleh Shebe Afisa Usimamizi wa Mazingira kutoka Wilaya ya Kilosa na Irene Mushi kutoka TCRS Mkoa wa Morogoro wameshukuru kwa Warsha hiyo ambayo imewajengea uwezo wa Kushirikiana…

19 May 2024, 4:47 pm

Zifahamu mamlaka zinazosimamia utunzaji wa vyanzo vya maji

Jamii imekuwa na Ufahamu Mdogo wa Mamlaka zinazosimamia Utunzaji wa Vyanzo vya Maji. Hayo yamebainika baada ya Pambazuko Fm kuwauliza Baadhi ya Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara namna wanavyozifahamu Mamlaka hizo. KIPINDI-KUHUSU MAANA,AINA ZA VYANZO VYA MAJI NA…

3 May 2024, 12:27 am

Kikokotoo  bado fumbo kwa watumishi wastaafu

Bango la shirika la Posta katika maandamano ya Mei Mosi – Picha na Isidory Matandula Mishahara duni, miundo mbinu mibovu, mikataba mibovu ya ajira, kuchelewa posho za uhamisho na kikokotoo cha wastaafu ni msalaba unaowaelemea watumishi . Na: Isidory Matandula…

2 May 2024, 7:30 pm

Kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ni kubadili tabia-Kipindi

Jamii imetakiwa kubadili tabia katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ili kuzuia athari zitokanazo na uharibifu wa mazingira ya asili. Afisa Mazingira kutoka Idara ya Mazingira na Maliasili Halmashauri ya Mji wa Ifakara Salome Mayenga ameyasema hayo wakati akizungumza na…

2 May 2024, 7:23 pm

Ujangili unakuingiza kwenye makosa ya jinai-Kipindi

Jamii katika Bonde la Kilombero imetakiwa kufuata sheria zilizowekwa katika kuvuna rasilimali mbalimbali badala ya kufanya ujangili hali ambayo watajikuta wakiangukia kwenye makosa ya jinai. Mhifadhi Pori la Akiba Kilombero Kamanda Bigilamungu Kagoma amesema ili mtu aweze kuvuna rasilimali zinazosimamiwa…

2 May 2024, 7:17 pm

Jamii yatakiwa kukabiliana na uharibifu wa bioanuai-Kilombero

Matumizi ya Nishati Mbadala na Majiko Banifu vimetajwa kusaidia Kupunguza utegemezi wa Mazao ya Misitu na kuelezwa kuwa njia moja wapo ya kukabiliana na Uharibifu wa Bianoai. Isack Shonga ni Afisa Mazingira Kutoka Shirika la Association Maingira ameyasema hayo wakati…

2 May 2024, 7:08 pm

Bioanuai hatarini kutokana na shughuli za kibinadamu-Kilombero

Shughuli za Kibinadamu  katika Bonde la Kilombero zimetajwa kuhatarisha uhifadhi wa Bionuai. Mratibu kutoka Shirika la Association Mazingira amezitaja shughuli hizo wakati akizungumza Na Radio pambazuko Fm kutokana na Uwepo wa Watu wanaolima kwa kuhama hama na Kuandaa mashamba kwa…

2 May 2024, 12:00 pm

Wadau wa mazingira kushirikisha jamii utunzaji endelevu wa maliasili

Changamo za kibinadamu zinavyohatarisha usalama wa Maliasili Ikiwa ni pamoja na Kilimo holela,Ufugaji kwenye maeneo ya Hifadhi,Makazi holela na Utegemezi wa Rasilimali Zilizohifadhiwa kwani watu hukata miti kwa matumizi ya kuni na Mkaa Isivyo halali. Na Katalina Liombechi Katika kukabiliana…

1 May 2024, 7:30 pm

Waandishi wa habari mjitofautishe na watoa habari

Waandishi wa habari wa Redio Pambazuko wamepigwa msasa wa mafunzo ya kuandika habari kwa kufuata maadili na misingi ya habari. Na Katalina Liombechi Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu 2025, waandishi wa habari wametakiwa kujitofautisha na watoa…

1 May 2024, 12:11 am

Wafanyakazi Morogoro walia kwa kutopandishwa madaraja

Wajumbe wa halmashauri za  mkoa wa MIorogooro wameketi kikao cha mwisho mjini Ifakara, kupanga na kuweka sawabajeti kuelekea maadhimisho ya Mei Mosi 2024 Na: Isidory Matanddula Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani katika mkoa wa Morogoro yatafanyika katika halmashauri ya…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.