Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
24 May 2025, 13:57
Kupanda miti katika eneo hilo ni jitihada za kuhakikisha kuwa Mto Lumemo unasalia kuwa chanzo safi na salama kwa kizazi cha sasa na kijacho. Na Katalina Liombechi Katika jitihada za kutunza mazingira na kulinda vyanzo vya maji wananchi wa Kata…
20 May 2025, 18:47
Na Katalina Liombechi TFS Wilaya ya Kilombero wanaadhimisha Siku ya Nyuki wakisisitiza kuelimisha na kuhamasisha wananchi kufuga nyuki kwa wingi Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania TFS Wilaya ya Kilombero imesema itaendelea kusimamia na kufanya ulinzi shirikishi kulinda Hifadhi za…
16 May 2025, 20:30
Na Katalina Liombechi Zoezi la kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura awali lilifanyika mwezi Machi na kwa mwezi huu mei kuanzia leo tarehe 16 hadi 22 ni katika kuhakiki taarifa hizo na wengine kujiandikisha kwa wale walioshindwa kujiandikisha…
12 May 2025, 13:00
Katika kuendelea kulinda ardhi oevu ya Bonde la Kilombero vinara wa uhifadhi wakusudia kujielekeza katika mbinu za kuhakikisha bonde hilo linabaki salama Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya amefungua rasmi Mtandao wa Vinara wa Uhifadhi…
10 May 2025, 08:15
Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya amefungua rasmi Mtandao wa Vinara wa Uhifadhi wa Bonde la Kilombero (KNCC) kupitia warsha ya siku mbili iliyofanyika kuanzia Mei 8 hadi 9, 2025. Katika hotuba yake ya ufunguzi,…
8 May 2025, 07:38
Na Katalina Liombechi Wananchi wa Kijiji cha Kibaoni Halmashauri ya Mji wa Ifakara wametakiwa kutojichukulia sheria mkononi dhidi ya Bw. Thabiti Kapaulana anayedaiwa kufanya uharibifu wa mpunga uliopandwa na wanakijiji katika eneo la wazi la kijiji hicho kitongoji cha Stesheni…
6 May 2025, 15:32
Na Katalina Liombechi Mamba mmoja ameuwawa leo asubuhi baada ya kuonekana katika makazi ya watu katika Mtaa wa Jongo, Kata ya Viwanjasitini, Halmashauri ya Mji wa Ifakara, mkoani Morogoro. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, akiwemo Aikani Kikoti,Leopord Chogo…
18 April 2025, 19:52
“,Miradi yote 14 iliyopitiwa na mwenge imetekelezwa kwa ubora na kwa viwango vinavyotakiwa niwapongeze sana viongozi wa Wilaya ya Kilombero kwa kusimamamia vizuri”-Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Ndugu Ismail Ally Ussi, Na Elias Maganga Mwenge wa uhuru umekagua,kuzindua,kufungua na…
28 March 2025, 19:06
Wajumbe wa mkutano mkuu chama cha walimu CWT Kilombero – Picha na; Isidory Mtunda Na; Isidory Mtunda Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, ametoa wito kwa viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani humo kuhakikisha wanatatua kero…
22 March 2025, 17:24
Na; Isidory Mtunda Zaidi ya miche elfu ishirini imepandwa katika Shule ya Sekondari Njiwa, iliyopo Kata ya Njiwa, Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi pamoja na kuhamasisha elimu ya utunzaji…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.