Pambazuko FM Radio

Recent posts

13 June 2025, 12:13

Watu wenye ulemavu wasisitizwa kujishughulisha

“Kuomba huku ni kitu kibaya sana nikaona bora nipambane“ Na Katalina Liombechi Inaelezwa kuwa katika jamii nyingi, watu wenye ulemavu hukumbana na mitazamo potofu ambayo huwakatisha tamaa katika maisha ya kila siku. Hayo yamebainika baada ya Pambazuko FM kuzungumza na…

11 June 2025, 18:49

Tabia ya wizi yaibuka Mtaa wa Miembeni

Ili kukabiliana na vitendo vya wizi kunahitaji ushirikiano wa jamii nzima,uongozi wa mtaa, na hata vyombo vya usalama Na Katalina Liombechi Katika Mtaa wa Miembeni Kata na Halmashauri ya Mji wa Ifakara imetajwa kuibuka kwa tabia ya Wizi Mdogo mdogo…

11 June 2025, 18:34

CAG aibua hoja za kisera Mlimba

Mapendekezo ya hoja hizo ni kuendelea kuomba watumishi wa sekta mbalimbali na kufanya ufuatiliaji wa namna ya kupunguza changamoto za miundombinu ya elimu na afya Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Adam Malima amesema hoja nyingi…

9 June 2025, 19:28

RC Malima: Hoja nyingi ripoti ya CAG Ifakara za kujitakia

Nilikuwa napata malalamiko kuwa idara ya manunuzi ina shida Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Ripoti ya Mkaguzi mkuu wa Nje Mkoa wa Morogoro imebaini mapungufu kadhaa Katika hoja 18 zilizotolewa na Mkaguzi huyo katika ripoti yake ya ukaguzi wa fedha na…

7 June 2025, 18:33

Uongozi stendi Ifakara wafunga huduma ya choo

Stendi hii inahudumia zaidi ya watu 400 kwa siku kwa sasa tunalazimika kuomba huduma za choo katika nyumba za jirani kitu ambacho si ustaarabu na inaleta usumbufu Na Katalina Liombechi Viongozi wa Stendi ya kwa makali iliyopo katika Halmashauri ya…

6 June 2025, 16:42

Wazazi kukwama kwenye malezi, wasiwasi kupatikana vijana wasiofaa

Tusikimbie majukumu yetu tusipowafuatilia na kuwasimamia vizuri ndio tunapata Wezi wa Mtandaoni(halo halo)muda mwingine hamkagui daftari kwa sababu tumeshindwa kutimiza wajibu wetu Na Katalina Liombechi Wazazi wametakiwa kuwajibika kwa watoto wao kufanikisha maendeleo ya kitaaluma na Malezi ili kukuza ufaulu…

6 June 2025, 14:57

Ajenda ya no reforms no election yatua Bonde la Kilombero

Chadema tumesema yafanyike marekebisho ya sheria ndio tuingie kwenye uchaguzi 2025 Na Elias Maganga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kinaendelea na ziara yake Nchi nzima ya kuhamasisha Agenda ya kutoshiriki uchaguzi mkuu kama hakutakuwa na marekebisho makubwa ya mifumo na…

4 June 2025, 13:22

Jamii ya Ifakara yajizatiti kudhibiti taka za plastiki

Maadhimisho ya siku ya mazingira ni nafasi nzuri ya kuhamasisha wananchi kuendelea kuchukua hatua madhubuti katika kudhibiti taka za plastiki na kuchangia katika ulinzi wa mazingira ya dunia nzima Na Katalina Liombechi Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, jamii imekuwa…

31 May 2025, 10:35

AGCOT yaendeleza jitihada kudhibiti kilimo, taka za plastiki

Bonde la Kilombero ni maarufu kwa shughuli za kilimo na ni eneo muhimu Kiikolojia hivyo AGCOT wanaendeleza kilimo cha Kibiashara kinachotunza na kuhifadhi mazingira Na Katalina Liombechi Taasisi ya Kuendeleza Shoroba za Kilimo Tanzania AGCOT kupitia kwa Meneja wake Mkoa…

28 May 2025, 19:23

Ndoto za vijana zinavyoishia njiani kwa kujihusisha na wizi mtandaoni

Inaelezwa kuwa ndoto za vijana vimekuwa zikiishia njiani kutokana na kujihusisha na wizi wa mtandaoni Na Katalina Liombechi na David Ngogolo Katika wakati huu ambao teknolojia imeleta fursa ya matumizi mbalimbali watu wengi hasa vijana wamekuwa wakitumia fursa nyingi za…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.