Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
21 October 2024, 1:28 pm
AWF wamekuwa wakishirikana na Jumuiya za watumia maji kufanya tathmini ili kuona njia bora ya kufanya ubora wa Mto unaongezeka. Na Katalina Liombechi Mfuko wa Uhifadhi wa Wanyamapori Afrika AWF wameshirikiana na Jumuiya ya Watumia Maji Bonde Dogo la Mto…
21 October 2024, 1:15 pm
Na Katalina Liombechi Wakulima wa kokoa wanashauriwa kuzingatia kanuni bora za kilimo kwa kupanda na kufanya palizi kwa wakati ili kuvuna kwa tija. Kwa mujibu wa Afisa Kilimo Kijiji cha Mbingu Sister Eusebia Punduka, kupanda kokoa kwa wakati ni muhimu…
16 October 2024, 4:08 pm
”Tunawashukuru sana Six River Africa kwa kutupatia msaada wa kadi za bima ya afya bure huu ni msaada kwetu ni mkubwa unapozungumzia uhai wa binadamu kwanza uwe na afya njema hawa ndugu zetu wameona mbali sana tunawashukuru”-wanufaika Na Elias Maganga…
11 October 2024, 2:00 pm
”Mwananchi atakayejiandikisha kwenye Daftari atapata fursa ya kupiga kura kuchagua au kuchaguliwa na yule ambaye hatajiandikisha hatoshiriki ucahguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Nov 27 mwaka huu” -Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya Na Elias Maganga Mkuuwa Wilaya…
9 October 2024, 12:23 pm
Na Henry Bernad Mwakifuna Shirika linalojihusisha na Uhifadhi wa Tembo Kusini mwa Tanzania STEP limeendelea kuwahimiza Vijana kuona umuhimu wa uhifadhi na kuitumia Fursa ya uwepo wa Vivutio mbalimbali vilivyomo ndani ya Wilaya ya Kilombero ili waweze kunufaika Zaidi kupitia…
26 August 2024, 8:09 pm
Na Katalina Liombechi Wataalam wa kilimo wamewataka wakulima kutumia mbinu sahihi za uhifadhi wa taka sumu mashambani ili kuzuia athari katika udongo na bianuwai. Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Dkt Dunia…
26 August 2024, 7:41 pm
Na Katalina Liombechi Halmashauri ya Mji wa Ifakara katika Wilaya ya Kilombero imejipanga kuzalisha mbegu bora za mazao ya kimkakati na kugawa kwa wakulima ili kuhakikisha inapata mapato mazuri. Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi…
26 August 2024, 10:41 am
Na Katalina Liombechi Inaelezwa kuwa kulima kibiashara inategemea maandalizi mazuri ya shamba ili kufahamu afya na aina ya udongo wa shamba hali itakayosaidia kujua aina ya zao unalopaswa kulima na ni aina gani ya viuatilifu vitakavyohitajika. Elia Shemtoi ni Mkuu…
26 August 2024, 10:27 am
Na Katalina Liombechi Ufugaji wa Nyuki Kisasa umetajwa kuwa miongoni mwa njia bora ya kukabiliana na tembo sambamba na kuongeza kipato hali inayoweza kupunguza utegemezi wa rasilimali mbalimbali kutoka katika maeneo yaliyohifadhiwa. Kwa mujibu wa Diana Mahimbali Afisa Ufugaji Nyuki…
5 August 2024, 6:52 pm
“Tumewekwa viongozi ngazi mbalimbali ili tuwasaidie wananchi viongozi mnapo jiingiza kwenye biashara hii na kwenda kunyonya Jasho la mkulima hii sio Sawa haufanyi haki uwe ni Diwani,mwenyekiti sijui wa nini kiongozi ngazi yoyote ile kama unakwenda kudhulumu Jasho la mkulima…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.