Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
16 October 2024, 4:08 pm
”Tunawashukuru sana Six River Africa kwa kutupatia msaada wa kadi za bima ya afya bure huu ni msaada kwetu ni mkubwa unapozungumzia uhai wa binadamu kwanza uwe na afya njema hawa ndugu zetu wameona mbali sana tunawashukuru”-wanufaika Na Elias Maganga…
11 October 2024, 2:00 pm
”Mwananchi atakayejiandikisha kwenye Daftari atapata fursa ya kupiga kura kuchagua au kuchaguliwa na yule ambaye hatajiandikisha hatoshiriki ucahguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Nov 27 mwaka huu” -Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya Na Elias Maganga Mkuuwa Wilaya…
9 October 2024, 12:23 pm
Na Henry Bernad Mwakifuna Shirika linalojihusisha na Uhifadhi wa Tembo Kusini mwa Tanzania STEP limeendelea kuwahimiza Vijana kuona umuhimu wa uhifadhi na kuitumia Fursa ya uwepo wa Vivutio mbalimbali vilivyomo ndani ya Wilaya ya Kilombero ili waweze kunufaika Zaidi kupitia…
26 August 2024, 8:09 pm
Na Katalina Liombechi Wataalam wa kilimo wamewataka wakulima kutumia mbinu sahihi za uhifadhi wa taka sumu mashambani ili kuzuia athari katika udongo na bianuwai. Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Dkt Dunia…
26 August 2024, 7:41 pm
Na Katalina Liombechi Halmashauri ya Mji wa Ifakara katika Wilaya ya Kilombero imejipanga kuzalisha mbegu bora za mazao ya kimkakati na kugawa kwa wakulima ili kuhakikisha inapata mapato mazuri. Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi…
26 August 2024, 10:41 am
Na Katalina Liombechi Inaelezwa kuwa kulima kibiashara inategemea maandalizi mazuri ya shamba ili kufahamu afya na aina ya udongo wa shamba hali itakayosaidia kujua aina ya zao unalopaswa kulima na ni aina gani ya viuatilifu vitakavyohitajika. Elia Shemtoi ni Mkuu…
26 August 2024, 10:27 am
Na Katalina Liombechi Ufugaji wa Nyuki Kisasa umetajwa kuwa miongoni mwa njia bora ya kukabiliana na tembo sambamba na kuongeza kipato hali inayoweza kupunguza utegemezi wa rasilimali mbalimbali kutoka katika maeneo yaliyohifadhiwa. Kwa mujibu wa Diana Mahimbali Afisa Ufugaji Nyuki…
5 August 2024, 6:52 pm
“Tumewekwa viongozi ngazi mbalimbali ili tuwasaidie wananchi viongozi mnapo jiingiza kwenye biashara hii na kwenda kunyonya Jasho la mkulima hii sio Sawa haufanyi haki uwe ni Diwani,mwenyekiti sijui wa nini kiongozi ngazi yoyote ile kama unakwenda kudhulumu Jasho la mkulima…
25 July 2024, 12:40 pm
Na Katalina Liombechi Shirika linalojihusisha na Uhifadhi wa Tembo Kusini mwa Tanzania STEP kupitia kwa Mtafiti wa Shirika hilo Kepha Mwaviko limesema wanaendelea kujenga uhusiano kati ya binadamu na tembo kwa kutekeleza mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuandaa michezo…
23 July 2024, 4:41 pm
“wakati napata ubunge tatizo la upatikanaji wa maji katika jimbo la Mlimba lilikuwa kubwa sana ukilinganisha na sasa”Mbunge wa jimbo la mlimba godwine Kunambi N a Elias Maganga Kampeni ya kumtua mama ndoo kishwni KATIKA Jimbo la mlimba Wilayani kilombero…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.