Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
13 June 2025, 12:13
“Kuomba huku ni kitu kibaya sana nikaona bora nipambane“ Na Katalina Liombechi Inaelezwa kuwa katika jamii nyingi, watu wenye ulemavu hukumbana na mitazamo potofu ambayo huwakatisha tamaa katika maisha ya kila siku. Hayo yamebainika baada ya Pambazuko FM kuzungumza na…
11 June 2025, 18:49
Ili kukabiliana na vitendo vya wizi kunahitaji ushirikiano wa jamii nzima,uongozi wa mtaa, na hata vyombo vya usalama Na Katalina Liombechi Katika Mtaa wa Miembeni Kata na Halmashauri ya Mji wa Ifakara imetajwa kuibuka kwa tabia ya Wizi Mdogo mdogo…
11 June 2025, 18:34
Mapendekezo ya hoja hizo ni kuendelea kuomba watumishi wa sekta mbalimbali na kufanya ufuatiliaji wa namna ya kupunguza changamoto za miundombinu ya elimu na afya Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Adam Malima amesema hoja nyingi…
9 June 2025, 19:28
Nilikuwa napata malalamiko kuwa idara ya manunuzi ina shida Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Ripoti ya Mkaguzi mkuu wa Nje Mkoa wa Morogoro imebaini mapungufu kadhaa Katika hoja 18 zilizotolewa na Mkaguzi huyo katika ripoti yake ya ukaguzi wa fedha na…
7 June 2025, 18:33
Stendi hii inahudumia zaidi ya watu 400 kwa siku kwa sasa tunalazimika kuomba huduma za choo katika nyumba za jirani kitu ambacho si ustaarabu na inaleta usumbufu Na Katalina Liombechi Viongozi wa Stendi ya kwa makali iliyopo katika Halmashauri ya…
6 June 2025, 16:42
Tusikimbie majukumu yetu tusipowafuatilia na kuwasimamia vizuri ndio tunapata Wezi wa Mtandaoni(halo halo)muda mwingine hamkagui daftari kwa sababu tumeshindwa kutimiza wajibu wetu Na Katalina Liombechi Wazazi wametakiwa kuwajibika kwa watoto wao kufanikisha maendeleo ya kitaaluma na Malezi ili kukuza ufaulu…
6 June 2025, 14:57
Chadema tumesema yafanyike marekebisho ya sheria ndio tuingie kwenye uchaguzi 2025 Na Elias Maganga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kinaendelea na ziara yake Nchi nzima ya kuhamasisha Agenda ya kutoshiriki uchaguzi mkuu kama hakutakuwa na marekebisho makubwa ya mifumo na…
4 June 2025, 13:22
Maadhimisho ya siku ya mazingira ni nafasi nzuri ya kuhamasisha wananchi kuendelea kuchukua hatua madhubuti katika kudhibiti taka za plastiki na kuchangia katika ulinzi wa mazingira ya dunia nzima Na Katalina Liombechi Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, jamii imekuwa…
31 May 2025, 10:35
Bonde la Kilombero ni maarufu kwa shughuli za kilimo na ni eneo muhimu Kiikolojia hivyo AGCOT wanaendeleza kilimo cha Kibiashara kinachotunza na kuhifadhi mazingira Na Katalina Liombechi Taasisi ya Kuendeleza Shoroba za Kilimo Tanzania AGCOT kupitia kwa Meneja wake Mkoa…
28 May 2025, 19:23
Inaelezwa kuwa ndoto za vijana vimekuwa zikiishia njiani kutokana na kujihusisha na wizi wa mtandaoni Na Katalina Liombechi na David Ngogolo Katika wakati huu ambao teknolojia imeleta fursa ya matumizi mbalimbali watu wengi hasa vijana wamekuwa wakitumia fursa nyingi za…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.