Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
27 December 2024, 2:29 pm
Na Katalina Liombechi Mkuu wa Idara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Dkt Yuda mgeni amewataka wakulima wa kokoa kutumia Mbolea za asili husaidia kuongeza idadi ya viumbe hai kwenye udongo, kama vile bakteria na…
21 December 2024, 9:54 am
Na Katalina Liombechi Shirika la Six Rivers Africa limehitimisha zoezi la kukabidhi Miradi ya kujikwamua kiuchumi kwa awamu hii kwa Vikundi 13 kutoka vijiji vilivyopakana na Hifadhi ya Taifa ya Nyerere ikiwa ni miradi yenye thamani ya Tsh.Mil 45 na…
16 December 2024, 8:29 pm
Na Katalina Liombechi Shirika la six Rivers Afrika wamekabidhi Miradi ya kufuga nguruwe na Kuuza Unga wa Sembe yenye thamani ya shilingi Mil.7 kwa vikundi viwili kutoka Kata za Katindiuka na Kibaoni katika Halmashauri ya mji wa Ifakara ikiwa ni…
8 December 2024, 5:45 pm
Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya ametumia tamasha la Kilombero(Kilombero Festival)kuwaita wawekezaji kuwekeza kimkakati katika Wilaya hiyo yenye utajiri na urithi wa pekee kutokana na uwepo wa fursa nyingi za aina yake. Akizundua Tamasha hilo…
5 December 2024, 11:45 am
Na Katalina Liombechi Katika jitihada za kuendelea kuokoa na kulilinda Bonde la Kilombero Mfuko wa Uhifadhi wa Wanyamapori Afrika AWF Wakabidhi Mfano wa hundi zaidi ya Tsh.Mil 90 Kwa Vinara wa Uhifadhi kurejesha Mazingira ya asili kutangaza Utalii. Fedha hizo…
29 November 2024, 2:51 pm
Na Katalina Liombechi Wenyeviti wa Serikali za Mitaa katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu na kufuata miongozo ya Serikali ili kuepuka kwenda kinyume na kiapo chao katika kuwahudumia Wananchi.
21 November 2024, 2:13 pm
Na Katalina Liombechi
20 November 2024, 7:15 pm
Na Katalina Liombechi Wakati zoezi la Kampeni likizinduliwa leo Novemba 20,2024,Katika Halmashauri ya mji wa Ifakara imeelezwa bado kumekuwa na hali ya Sintofahamu kufuatia kile kilichoelezwa kuenguliwa kwa baadhi ya majina ya Wagombea. Wakizungumza mara baada ya Kikao cha kupitia…
20 November 2024, 5:10 pm
Na Katalina Liombechi Tumeona zao hili lina mchango mkubwa wa kiuchumi kwa pato la Halmashauri pia limeleta mabadiliko chanya kwa wakulima hivyo kusaidia Usalama wa chakula kwa ngazi ya kaya na Taifa kwa ujumla. Kufuatia tija ya Kiuchumi kupitia zao…
18 November 2024, 6:44 pm
Na Henry Bernad Mwakifuna Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya ameshauri Halmashauri ya Mji wa Ifakara kuwanunulia Pikipiki Watendaji wa Mitaa na Vijiji kwa ajili ya kuboresha Utendaji kazi zaidi katika Halmashauri hiyo. Taarifa hii inaripotiwa na Henry…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.