Pambazuko FM Radio

Recent posts

3 February 2025, 8:02 pm

DC Kyobya ataka Udhibiti Mawakili Vishoka wanaotapeli wananchi-Kilombero

Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa wilaya ya kilombero wakili Dunstan Kyobya ameliagiza jeshi la polisi wilayani humo kuhakikisha mawakili vishoka  wanaotapeli wananchi wanakamatwa mara moja ,huku akisisitiza ushirikiano kwenye jambo hilo Hayo amezungumza katika hafla za kilele cha wiki ya…

3 February 2025, 7:41 pm

TCRA kutoa mafunzo udhibiti uhalifu mtandaoni Kilombero

Na Katalina Liombechi Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imesema itaendelea kushirikiana na wadau kushughulikia changamoto za kimawasilino ili kuhakikisha huduma hiyo inakuwa salama kwa watumiaji. Meneja kitengo cha watumia huduma ya mawasiliano TCRA Mhandisi Kadaya Baluhye ameyasema hayo February 2,2025…

31 January 2025, 6:49 pm

TRA watatua changamoto za wafanyabiashara Kilombero

Na Katalina Liombechi Serikali yetu imeweka mifumo rahisi ya ulipaji kodi nasi tumekuwa tukisikiliza changamoto za wafanyabiashara  na kuzitatua kwa wakati. Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilaya ya Kilombero Imesema itaendelea kutatua changamoto za wafanyabishara na kuweka Mazingira rafiki ya…

25 January 2025, 11:07 am

Mikakati miaka 20 kuokoa, kutunza hifadhi ya Udzungwa

Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Tanzania kuja na mikakati ya miaka 20 kuendelea kutunza na kurejesha mandhari ya Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa kufanya dunia kuwa sehemu salama kwa maisha ya binadamu na viumbe hai kwa ujumla. Mikakati hiyo…

8 January 2025, 1:33 am

DC Kilombero aagiza halmashauri kuharakisha mikopo ya vikundi

Picha ya hundi pesa zilizotolewa na halmashauri ya Mlimba kwa makundi ya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu – Picha na Isidory Mtunda Na: Isidory Mtunda Mkuu wa Wilaya ya Kilombero mkoani wa Morogoro, Wakili Danstan Kyobya, ametoa maagizo kwa…

3 January 2025, 2:08 pm

Hatari ya maji yasiyotibiwa kwa binadamu-Kipindi

Na Katalina Liombechi Jamii imeshauriwa kutotumia maji yasiyotibiwa ili kuepuka magonjwa mbalimbali yanayotokana uchafu kama kipindupindu. Mbonja Kasembwa ni Afisa Afya katika Halmashauri ya Mlimba Wilaya ya Kilombero ameiambia Pambazuko FM kuwa kumekuwa na utamaduni wa baadhi ya watu kutumia…

28 December 2024, 7:22 pm

Ushirikiano AWF, wadau kuhamasisha uwekezaji kimkakati Kilombero

Na Katalina Liombechi Katika kukabiliana na changamoto za shughuli za kibinadamu zinazohatarisha upotevu wa Bionuwai na Mabadiliko ya tabianchi mashirika ya kimataifa na ya kikanda kama African Wildlife Foundation (AWF) yamejizatiti kutafuta suluhisho endelevu. Mchumi Kilimo kutoka AWF Alexander Mpwaga…

28 December 2024, 7:12 pm

Matumizi ya teknolojia ya kilimo shadidi

Na Katalina Liombechi Wakulima wanaofanya kilimo cha umwagiliaji wameshauriwa kutumia teknolojia ya kilimo shadidi inayozingatia matumizi sahihi ya rasilimali maji ambayo haiathiri uendelevu wake. Mkuu wa Idara ya Kilimo Halmashauri ya Mlimba Mhandisi Romanus Myeye ameyasema hayo wakati akifanyiwa mahojiano…

27 December 2024, 4:15 pm

Yafahamu masoko ya kokoa

Na Katalina Liombechi Uwepo wa soko la uhakika wa zao la kokoa imeendelea kuleta mabadiliko makubwa ya kiuchumi kwa wakulima wa Halmashauri ya Mlimba kutokana na mfumo mzuri wa biashara katika zao hilo. Kwa mujibu wa Afisa Ushirika Halmashauri ya…

27 December 2024, 2:44 pm

Mavuno na hifadhi ya kokoa-Kipindi

Na Katalina Liombechi Wakulima wa Kokoa wameshauriwa kuzingatia uvunaji na uhifadhi mzuri wa Kokoa ili mazao yaweze kukubalika sokoni. Kwa mujibu wa Afisa Kilimo Mratibu wa zao la Kokoa Halmashauri ya Mlimba Dismas Charles Amri amesema katika kuvuna kokoa kuna…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.