Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
8 May 2025, 7:38 am
Na Katalina Liombechi Wananchi wa Kijiji cha Kibaoni Halmashauri ya Mji wa Ifakara wametakiwa kutojichukulia sheria mkononi dhidi ya Bw. Thabiti Kapaulana anayedaiwa kufanya uharibifu wa mpunga uliopandwa na wanakijiji katika eneo la wazi la kijiji hicho kitongoji cha Stesheni…
6 May 2025, 3:32 pm
Na Katalina Liombechi Mamba mmoja ameuwawa leo asubuhi baada ya kuonekana katika makazi ya watu katika Mtaa wa Jongo, Kata ya Viwanjasitini, Halmashauri ya Mji wa Ifakara, mkoani Morogoro. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, akiwemo Aikani Kikoti,Leopord Chogo…
18 April 2025, 7:52 pm
“,Miradi yote 14 iliyopitiwa na mwenge imetekelezwa kwa ubora na kwa viwango vinavyotakiwa niwapongeze sana viongozi wa Wilaya ya Kilombero kwa kusimamamia vizuri”-Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Ndugu Ismail Ally Ussi, Na Elias Maganga Mwenge wa uhuru umekagua,kuzindua,kufungua na…
28 March 2025, 7:06 pm
Wajumbe wa mkutano mkuu chama cha walimu CWT Kilombero – Picha na; Isidory Mtunda Na; Isidory Mtunda Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, ametoa wito kwa viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani humo kuhakikisha wanatatua kero…
22 March 2025, 5:24 pm
Na; Isidory Mtunda Zaidi ya miche elfu ishirini imepandwa katika Shule ya Sekondari Njiwa, iliyopo Kata ya Njiwa, Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi pamoja na kuhamasisha elimu ya utunzaji…
21 March 2025, 4:35 pm
Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Wakala wa huduma za Misitu Tanzania TFS Wilaya ya Kilombero Wajielekeza katika kuokoa bonde la Kilombero kwa kutunza misitu ya asili na kurithisha utamaduni wa Kupanda miti kwa uendelevu wa Rasilimali mbalimbali. Mhifadhi Misitu Wilaya hiyo…
19 March 2025, 3:46 pm
Na Elias Maganga Taasisi ya International Rainforest Agriculture Development Limited (IRAD) imetoa miche 5,000 ya mikarafuu kwa wakulima wa Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuhamasisha kilimo cha mazao ya viungo. Akizungumza wakati wa makabidhiano…
22 February 2025, 7:43 pm
“Sisi Watu wenye ulemavu kwa muda mrefu hatujakumbukwa ila tunashukuru kwa huyu mdau Issa Vitus Lipagila kwa kutushika mkono sasa tutafanikisha shughuli zetu kwa kuepuka kupata ajali zisizokuwa za lazima[“Walemavu wasioona Na Elias Maganga Walemavu wasioona Kilombero wamepatiwa msaada wa…
13 February 2025, 9:38 pm
Na Katalina Liombechi Wakala wa huduma za Misitu Tanzania TFS Wilaya ya Kilombero imesema kuwa Radio imekuwa na Mchango mkubwa katika kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia nchi. Hayo ni kwa Mujibu wa Mhifadhi Daraja la Kwanza Kutoka mamlaka hiyo Shukrani…
13 February 2025, 9:28 pm
Na Katalina Liombechi Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara Mh.Kasim Nakapala ameiagiza Ofisi ya Mkurugenzi kumaliza mchakato wa Ukaguzi wa Jengo la shule ya Sekondari na Amali ya Mpanga Iliyopo Kata ya Kisawasawa ili watoto waanze kuripoti kuanza masomo.…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.