Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
28 August 2025, 11:44
Mkuu wa wilaya ya Kilombero, Wakili Danstan Kyobya, ameagiza maafisa maendeleo ya jamii katika halmashauri zote kuhakikisha kila mmoja anakata vitambulisho 10 vya wajasiriamali ndani ya mwezi Septemba, ili kuhamasisha shughuli za ujasiriamali na kuwezesha wananchi kiuchumi. Na; Isidory Mtunda…
16 August 2025, 10:17
AWF wamekuwa wakitumia mbinu ya kushirikisha wadau wengine kuhifadhi Bonde la Kilombero wakiamini jitihada za pamoja ndizo zinaweza kusaidia kufikia malengo ya kurejesha mazingira ya asili katika eneo hilo muhimu Na Katalina Liombechi Mkoa wa Morogoro umeendelea kuonyesha dhamira na…
14 August 2025, 19:02
Katika semina iliyoandaliwa kupitia mradi wa UNIDO kwa ufadhili wa Serikali ya Japan na utekelezaji wa SIDO, wadau mbalimbali wa maendeleo wamekutana mjini Ifakara kujadili na kuelimishwa juu ya teknolojia ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia pumba za mpunga Katika…
14 August 2025, 16:05
Kampuni ya AGRICOM Africa Limited imeibuka mshindi wa pili katika Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane 2025 kanda tya Mashariki, yaliyofanyika mkoani Morogoro kwa makampuni yanayojishughulisha na uuzaji wa zana za kilimo, kutokana na mchango wake mkubwa katika kuhamasisha matumizi…
11 August 2025, 19:27
Serikali ya Tanzania imekuwa ikihamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kukabiliana na uharibifu wa mazingira na kuchochea uchumi kwa wananchi Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mradi wa teknolojia ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia mabaki ya kilimo cha mpunga wenye…
5 August 2025, 19:34
Matokeo ya kura za maoni ndani ya CCM ni baada ya kurudi kwa majina ya wagombea na kupitishwa kutambulishwa na Chama kwa wajumbe kwa siku nne na Agosti 5 2025 kupigiwa kura. Na Katalina Liombechi Katibu wa Chama cha Mapinduzi…
30 July 2025, 11:11
Wanachama wa UKICU wamelalamikia ucheleweshaji wa malipo ya mazao kwa zaidi ya saa 72, kinyume na utaratibu wa kawaida, katika mkutano mkuu uliofanyika mjini Ifakara – Morogoro. Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa UKICU – Picha na Katalina Liombechi…
24 July 2025, 20:14
Licha ya mafanikio ya huduma ya mawasiliano kumekuwa na upotoshaji ambao unaendelea hivyo TCRA wamekuwa na kampeni mbalimbali kudhibiti huduma ya mawasiliano kwa kushirikiana na wadau Na Katalina Liombechi Katika kukabiliana na kudhibiti upotoshaji na uenezaji wa taarifa za uongo…
18 July 2025, 14:17
“Kwa anayetaka kutia nia ya Ubunge nafasi iko wazi hatuna shaka na mtu yeyote anayetaka kutia nia kupitia chama chetu“ Na Kuruthumu Mkata Chama cha ACT-Wazalendo wilayani Ulanga kimetangaza kuanza rasmi mchakato wa uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi mbalimbali…
17 July 2025, 19:03
Upelelezi zaidi wa kisayansi unaendelea kuhusiana na utambuzi vinasaba vya wanyama hawa maeneo ambayo wanyama wamepatikana Na Katalina Liombechi Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na maofisa wa wanyamapori wilaya ya Ulanga limefanikiwa kuwakamata watu wawili wakazi wa…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.