Pambazuko FM Radio

Recent posts

28 August 2025, 11:44

DC Kyobya aagiza vitambulisho 10 kwa maafisa

Mkuu wa wilaya ya Kilombero, Wakili Danstan Kyobya, ameagiza maafisa maendeleo ya jamii katika halmashauri zote kuhakikisha kila mmoja anakata vitambulisho 10 vya wajasiriamali ndani ya mwezi Septemba, ili kuhamasisha shughuli za ujasiriamali na kuwezesha wananchi kiuchumi. Na; Isidory Mtunda…

16 August 2025, 10:17

AWF yakabidhi mil.48 miradi ya uhifadhi

AWF wamekuwa wakitumia mbinu ya kushirikisha wadau wengine kuhifadhi Bonde la Kilombero wakiamini jitihada za pamoja ndizo zinaweza kusaidia kufikia malengo ya kurejesha mazingira ya asili katika eneo hilo muhimu Na Katalina Liombechi Mkoa wa Morogoro umeendelea kuonyesha dhamira na…

14 August 2025, 19:02

Teknolojia ya mkaa mbadala yazinduliwa Kilombero

Katika semina iliyoandaliwa kupitia mradi wa UNIDO kwa ufadhili wa Serikali ya Japan na utekelezaji wa SIDO, wadau mbalimbali wa maendeleo wamekutana mjini Ifakara kujadili na kuelimishwa juu ya teknolojia ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia pumba za mpunga Katika…

14 August 2025, 16:05

AGRICOM mshindi maonesho ya Nane Nane

Kampuni ya AGRICOM Africa Limited imeibuka mshindi wa pili katika Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane 2025 kanda tya Mashariki, yaliyofanyika mkoani Morogoro kwa makampuni yanayojishughulisha na uuzaji wa zana za kilimo, kutokana na mchango wake mkubwa katika kuhamasisha matumizi…

11 August 2025, 19:27

Bil 2.5 kusaidia uchumi, nishati ya kupikia

Serikali ya Tanzania imekuwa ikihamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kukabiliana na uharibifu wa mazingira na kuchochea uchumi kwa wananchi Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mradi wa teknolojia ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia mabaki ya kilimo cha mpunga wenye…

5 August 2025, 19:34

Asenga, Rwakatare waongoza kura za maoni CCM Kilombero

Matokeo ya kura za maoni ndani ya CCM ni baada ya kurudi kwa majina ya wagombea na kupitishwa kutambulishwa na Chama kwa wajumbe kwa siku nne na Agosti 5 2025 kupigiwa kura. Na Katalina Liombechi Katibu wa Chama cha Mapinduzi…

24 July 2025, 20:14

TCRA yaonya upotoshaji kwenye mitandao

Licha ya mafanikio ya huduma ya mawasiliano kumekuwa na upotoshaji ambao unaendelea hivyo TCRA wamekuwa na kampeni mbalimbali kudhibiti huduma ya mawasiliano kwa kushirikiana na wadau Na Katalina Liombechi Katika kukabiliana na kudhibiti upotoshaji na uenezaji wa taarifa za uongo…

18 July 2025, 14:17

ACT Wazalendo Ulanga waeleza utaratibu uchukuaji fomu

“Kwa anayetaka kutia nia ya Ubunge nafasi iko wazi hatuna shaka na mtu yeyote anayetaka kutia nia kupitia chama chetu“ Na Kuruthumu Mkata Chama cha ACT-Wazalendo wilayani Ulanga kimetangaza kuanza rasmi mchakato wa uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi mbalimbali…

17 July 2025, 19:03

Meno sita ya tembo yakamatwa Ulanga

Upelelezi zaidi wa kisayansi unaendelea kuhusiana na utambuzi vinasaba vya wanyama hawa maeneo ambayo wanyama wamepatikana Na Katalina Liombechi Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na maofisa wa wanyamapori wilaya ya Ulanga limefanikiwa kuwakamata watu wawili wakazi wa…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.