Boma Hai FM

Recent posts

7 December 2023, 2:05 pm

Siha yavuka lengo ukusanyaji mapato

Halmashauri Siha imevuka lengo la makusanyo ya mapato kwa kukusanya bilioni 8.24 robo ya mwaka. Na Elizabeth Mafie Halmashauri ya wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro imefanikiwa kuvuka lengo kwa kukusanya shilingi bilioni 8.24 katika robo ya Kwanza ya mwaka…

3 December 2021, 4:14 pm

Ujenzi wa madarasa

Serikali wilayani Hai yatoa siku 30 kujengwa madarasa matatu shule iliyokumbwa na tetemeko Na Salma Shaban HAI Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Juma Said Irando ameagiza kujengwa madarasa matatu katika shule ya msingi Nsongoro iliyopo kata ya Masama…

20 November 2021, 9:08 am

Semina ya wajasiriamali

Madiwani wasaidieni wananchi kuzitambua fursa za kiuchumi: Diwani kata ya Bomang’ombe Na Salma Shaban HAI Diwani wa kata ya Bomang’ombe wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Evod Njau amewaomba madiwani kote nchini kuwasaidia wananchi wakimemo wajasiriamali ikiwa ni pamoja na kutekeleza ahadi…