Boma Hai FM

Recent posts

27 May 2025, 8:47 pm

Dkt Tulia ashiriki maziko ya Askofu Dkt Lazaro,atoa neno

 Askofu mstaafu wa kwanza wa  TAG Dkt Immanuel Lazaro  aliyefariki mei 17 2025 azikwa kijijini kwao Mudio wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro. Na Elizabeth Mafie. Hai-Kilimanjaro Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson amesema kuwa…

27 May 2025, 11:11 am

RC Babu akemea wanaodharau zao la kahawa

“Mazao ya kibiashara katika nchi yetu hususani zao la kahawa kwa mkoa wetu wa Kilimanjaro, tumedharau zao la kahawa, tunakata mikahawa na kujenga majumba lakini tukumbuke kwamba mikahawa hiyo ndio imewasomesha watoto wetu kufika chuo kikuu” Na Elizabeth Mafie-Moshi Kilimanjaro…

26 May 2025, 4:18 pm

Maziwa ya nyuki yawa dili

Imezoeleka kuwa nyuki hutupatia asali pekee,lakini nyuki hawa wana maziwa yanayopatikana kwa bei ya juu sana,Shirika la Floresta Tanzania wameweza kutubainishia hayo. Na Elizabeth Mafie-Moshi Kilimanjaro Wafugaji wa nyuki mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuchangamkia fursa za kiuchumi zitokanazo na mazao ya…

25 May 2025, 8:49 am

Mwenge wa Uhuru kuzindua daraja la upinde wa mawe Siha

“Ni kweli Mradi huu tunategemea utazinduliwa na mbio za  mwenge  wa uhuru mwaka huu, tunaishukuru serikali kwa kuona umuhimu wa kuleta mradi huu kwa  kushirikiana na wananchi wa Donyomurwa “ Na Elizabeth Mafie- Siha Kilimanjaro Ujenzi wa daraja la upinde…

24 May 2025, 5:22 pm

Milioni 300 zatolewa kwa vikundi 46 Siha

” Kama mnavyofahamu wilaya hii ipo kwenye wilaya kumi za majaribio katika utoaji mikopo,niwajibu wetu kufanya vizuri ili na wengine wa wilaya zingine waweze kuiga “ Na Elizabeth Mafie -Siha Kilimanjaro. Mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro Dkt Christopher Timbuka amevitaka…

22 May 2025, 11:32 pm

DC Hai ajibu swali la wafanyabiashara Bomang’ombe

Mkuu wa Wilaya ya Hai Hassan Bomboko amefanya mkutano na wafanyabiashara wa wilaya ya Hai baada ya wafanyabiashara hao kukiuka mikataba ya vibanda walivyokodishiwa na Halamsahauri kwa kuongeza kenop. Na Eliya Sabai Mkuu wa Wilaya ya Hai Mh. Hassan Bomboko…

21 May 2025, 12:50 pm

Bomang’ombe wamtwisha zigo la mbwa DC Bomboko

Katika kuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha bora na kupata huduma zote za kijamii, Mkuu wa Wilaya ya Hai Hassan Bomboko amefanya mkutano wa hadhara na kusikiliza kero zinazowakabili wananchi. Na Eliya Sabai –Hai Kilimanjaro. Mkuu wa Wilaya Hai Mh Hassan…

20 May 2025, 10:10 am

CCM yaibomoa CHADEMA Kingereka

Mapokezi ya mwenyekiti wa mtaa wa Kingereka aliyechaguliwa kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya kuhama chama hicho na kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Na Henry keto, Hai-Kilimanjaro Mwenyekiti wa mtaa wa Kingereka A Dastan kimaro…

18 May 2025, 10:38 am

Wahitimu VETA watakiwa kuleta mabadiliko kwa jamii

Mkuu wa wilaya ya Moshi Mkoani kilimanjaro Godfrey Mzanva akihutubia wakati wa mahafali ya 40 ya chuo cha VETA Mkoani Kilimanjaro (Picha na Furaha Hamad) Mkuu wa wilaya ya Moshi Godfrey Mzanva ameshiriki mahafali ya 40 ya chuo cha VETA…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha