Boma Hai FM

Recent posts

10 June 2025, 9:48 pm

Mbunge Hai aomba matengenezo barabara ya Rundugai-Simanjiro

Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe ameuliza swali bungeni kuhusu lini serikali itachukua hatua ya ukarabati wa barabara ya Rundugai-Simanjiro inayounganisha wilaya ya Hai na Simanjiro Na Henry Keto.Hai-Kilimanjaro Mbunge wa Jimbo la Hai, Mheshimiwa Saashisha Mafue, ameonyesha wasiwasi…

9 June 2025, 12:51 pm

Miradi ya maendeleo inatekelezwa na ilani ya chama-CPA Makala

Chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Hai kimempokea mwenezi wa chama hicho CPA Amosi Makala katika ziara yake kwenye mikoa ya Kaskazini na kuzungumza na wananchi wa wilaya ya Hai. Na Oliver Joel, Hai-Kilimanjaro Katibu mkuu mwenezi wa CCM Taifa…

6 June 2025, 12:30 am

Hai waaswa kurudisha uoto wa asili

Maadhimisho ya kilele cha wiki ya Mazingira Duniani ambayo kwa mkoa wa kilimanjaro yamefanyika wilaya ya Hai Na Henry Keto,Hai-Kilimanjaro Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu ametoa wito kwa Wananchi kupanda miti na kuitunza na kuhakikisha mazingira yanakuwa…

5 June 2025, 9:36 pm

Saashisha azindua zahanati ya milioni 121

Wananchi wa kata ya Bondeni kijiji cha Lerai waipongeza serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe kwa kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya…

4 June 2025, 4:23 pm

Hai waaswa kuleta uhai wa mazingira

Katika kuelekea maadhimisho ya kilele cha wiki ya Mazingira Duniani Wilaya ya Hai imepanda miti zaidi ya elfu moja katika maeneo mbalimbali ndani ya wilaya hiyo. Na Henry Keto Afisa Tawala Wilaya ya Hai Marry Mnyawi amewaasa wananchi wa wilaya…

2 June 2025, 9:16 pm

Saashisha: Hili shamba ni letu na hilo halina mjadala

Hatimaye mgogoro wa shamba uliodumu kwa miaka 26 kati ya mwekezaji   Elizabeth  Stegmaier na chama cha  msingi cha ushirika Uduru Makoa  lenye ukubwa wa hekari 358 unatarajiwa kumalizika mara baada ya hatua za kisheria kukamilika. Na Elizabeth Mafie-Hai Kilimanjaro. Mbunge…

29 May 2025, 2:18 pm

Bweni la Machame sekondari kukamilika ndani ya siku 19

Pichani ni bweni la shule wa wasichana Machame sekondari likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi(picha na Faraja Ulomi) Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wananfunzi kote na nchini,hii inaadhihirika wazi kutokana na miradi mbalimbali ya ujenzi inayoendelea huko mashuleni…

28 May 2025, 10:07 pm

Vijana wapewa elimu ya matumizi bora ya mbegu za maharage ya lishe

Mafunzo ya udhibiti ubora wa mbegu za kilimo yanayotolewa na taasisi ya (TOSCI) kwenye mradi wa Youth Enterprenuership for the future of food and agriculture (YEFA) Na Henry keto, Hai-kilimanjaro Kaimu mkurugenzi wilaya ya Hai ambaye pia ni Afisa Kilimo…

28 May 2025, 9:21 pm

Ajenga nyumba ukweni, atengana na mkewe aichoma moto

Wahenga walisema hasira hasara,na ndivyo ilivyotokea kwa Edwin Kileo baada ya kushindwa kuzizuia hasira zake na kuchoma nyumba aliyojenga huko ukweni. Na Elizabeth Mafie.Siha-Kilimanjaro Mahakama Wilayani Siha mkoani  Kilimanjaro,imemuhukumu Edwin Kileo mkazi wa Kijijii cha Naibili (32)ambaye ni mwinjilisti wa…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha