Boma Hai FM

Recent posts

21 December 2023, 9:52 pm

HRT watoa msaada kwa wanafunzi wenye uhitaji

Chama cha ushirika wa akiba na mikopo Hai Rural Teachers SACCOS (HRT) wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kimetoa msaada wa sare za shule kwa wanafunzi wenye uhitaji kutoka shule 16 za wilaya ya Siha. Na Elizabeth Mafie Chama cha Ushirika wa …

20 December 2023, 10:03 pm

Maafisa ugani Hai wakabidhiwa pikipiki

Kwa upande wake kaimu wa idara ya mifugo,kilimo na uvuvi ndugu Fraiten Mtika amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia suluhu Hassan kwa kuwaletea pikipiki hizo mpya ambazo ni vitendea kazi muhimu kwaajili ya kuwafikia wananchi na…

19 December 2023, 7:42 pm

JKCI wasogeza matibabu ya kibingwa Kilimanjaro

Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete ( JKCI ) yaanza kutoa huduma za matibabu ya kibingwa katika mkoa wa Kilimanjaro. Na Elizabeth Mafie Wananchi mkoa wa Kilimanjaro na mikoa jirani wameanza kupatiwa huduma na  matibabu ya kibingwa ya ugonjwa wa moyo…

16 December 2023, 9:36 pm

KCMC yasherehekea sikukuu na watoto wenye saratani

Katika kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka, KCMC imefanya hafla kwa ajili ya kusherehekea na watoto wenye changamoto ya saratani pamoja na wazazi wao. Na Elizabeth Mafie Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) iliyopo Moshi mkoani Kilimanjaro kupitia…

15 December 2023, 9:45 pm

Wananchi Siha wahimizwa kujitokeza kupata huduma za kibingwa

Wananchi wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro wahimizwa kujitokeza kwa wingi kupata huduma za kibingwa na matibabu ya ugonjwa wa moyo . Na Elizabeth Mafie Mganga mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya Siha Dkt Nsubili Mwakapeje amewataka wananchi na wakaazi wa wilaya…

14 December 2023, 1:24 pm

Dc Mkalipa awataka vijana kuacha ulevi uliopitiliza

Mkuu wa wilaya ya Hai Amir Mkalipa amewataka vijana katika vijiji vya kata ya Machame Magharibi kuacha unywaji wa pombe uliopitiliza kwani vijana ni nguvu kazi ya Taifa. Na Elizabeth Mafie. Serikali Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro imewataka vijana kuacha tabia…

13 December 2023, 10:30 pm

Jamii yatakiwa kuwasaidia watoto wenye uhitaji

Diwani awaandalia tafrija fupi watoto wenye uhitaji. Na Latifa Boto Diwani wa kata ya Masama Magharibi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Mashoya Natai ameitaka jamii kuwasaidia watoto wenye mahitaji mbalimbali hususani katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka ili…

12 December 2023, 9:12 pm

Wananchi Hai watakiwa kuandaa mazingira ya kudhibiti ukatili

Wananchi Hai wametakiwa kuwajibika kuzuia ukatili wa kijinsia katika jamii. Na Anasta Urio Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa  kuandaa mazingira ya kudhibiti  vitendo vya ukatili katika jamii  bila kujali siasa, dini pamoja na ukabila  ili kuhakikisha kila mtu anawajibika …

10 December 2023, 6:20 pm

Diwani awatuliza wananchi wenye hasira kali

Wananchi wa kijiji cha mkombozi wataka kubomoa nyumba ya mwananchi mmoja anayedaiwa kuvamia eneo la kijiji. Na Elizabeth Mafie Diwani wa kata ya Masama Kusini Cedrick Pangani amewataka wananchi wa kijiji cha Mkombozi Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro  kusitisha zoezi la…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha