Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
24 August 2021, 8:29 am
Na Katalina Liombechi Wakulima katika Wilaya ya Kilombero wametakiwa kuchukua Tahadhari ya kudhibiti Moto hasa kipindi hiki cha Maandalizi ya Mashamba ili Kuzuia kuchoma Rasilimali Za Misitu. Idd Hassan Liwiga ni Mhifadhi wa Misitu kutoka Wakala wa Huduma za Misitu…
1 July 2021, 6:20 am
Na: Vitalisi Magalitele Serikali ya Kijiji cha Lumemo kata ya Lumemo Wilayani Kilombero imeingiziwa fedha kiasi cha shilingi Milioni 15 kutoka Serikali ya Halmashauri ya mji wa Ifakara kwa ajiri ya kusaidia ujenzi wa Zahanati Kijijini humo Akizungumza na pambazuko…
1 July 2021, 6:11 am
Wavuvi katika Kambi ya Funga iliyopo katika kijiji cha Kivukoni Kata ya Minepa Halmashauri ya wilaya ya Ulanga wameuomba Uongozi wa Kijiji hicho kuwaacha waendelee kubaki katika Kambi hiyo kufanya shughuli za Uvuvi huku wakieleza kuwa wako Tayari kufuata taratibu…
29 June 2021, 6:13 am
Na: Katalina Liombechi Wakulima wa Mashamba ya Luhogi katika kata ya Minepa wamelalamikia Tembo kufanya uharibifu wa Mazao yao hali ambayo inaweza kuwapelekea kukumbwa na baa la njaa kwa Mwaka huu. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakulima hao akiwemo Costasia David,Athman…
25 June 2021, 6:14 am
Na; Katalina Liombechi Mkurugenzi msaidizi wa Elimu ya Msingi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Susana Nyarubamba amesema ili msichana aweze kuwa salama jamii na wazazi wanatakiwa kutengeneza utamaduni wa kuwa walinzi wa watoto wao kila wakati wawapo shuleni…
25 June 2021, 6:06 am
Na: Katalina Liombechi. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mathayo Masele ameyasema hayo wakati akizungumza na Radio Pambazuko kwa Njia ya Simu ilipotaka kujua ukubwa wa changamoto ya vitendo hivyo kwa watoto katika Wilaya hiyo. Masele amekiri kuwepo kwa changamoto hizo…
25 June 2021, 5:51 am
Na:Katalina Liombechi Wananchi wa Kata ya Igawa katika Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi wameombwa wawe na Utaratibu wa kuchangia michango ya Shule bila kujali kuwa ana au hana Mtoto anayesoma katika shule husika. Kauli hiyo imetolewa na Diwani wa Kata…
18 May 2021, 7:04 am
Na:Katalina Liombechi Mdau wa Kituo cha Sheria na haki za Binadamu Wilaya ya Kilombero Bashiri Kwahai amewataka walimu kutojichukulia sheria Mkononi kwa kuwaadhibu wanafunzi pasipo kufuata utaratibu kwani ni kinyume na haki za Binadamu. Hayo ameyasema alipofika katika Hospitali ya…
18 May 2021, 5:50 am
Wananchi wa Mtaa wa Jongo,Kata ya viwanja sitini katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wilayani Kilombero wamechanga mchango wa fedha kiasi cha shilingi milioni tatu na Elfu tisini kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya maadarasa katika shule ya sekondari…
18 May 2021, 5:36 am
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Mangwale Kata ya viwanja sitini katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wilayani Kilombero wameeleza wasiwasi wao juu ya vitendo vya kiuhalifu vinavyotokea kwenye mtaa huo. Wakizungumza na pambazukofm baadhi ya wakazi hao akiwemo Joyce …
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.