Pambazuko FM Radio

Recent posts

20 February 2024, 11:51 am

TAWA: Pori la akiba Kilombero lazima lilindwe kwa nguvu zote

Pori la akiba la Kilombero ni chanzo kikubwa cha maji katika mradi mkubwa wa kufua umeme katika Bwawa la Mwalimu Nyerere hivyo kuna kila sababu ya kulilinda ili mradi huo wa kimkakati uweze kukamilika Na Elias Maganga Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori…

5 December 2023, 12:49 pm

Kituo cha kupooza umeme Ifakara chawashwa, wilaya tatu kunufaika

Wilaya tatu za mkoa wa Morogoro zimenufaika na umeme wa vijijini- REA, baada ya kituo cha kupozea umeme kilichopo Ifakara kata ya Kibaoni kuwashwa na kuanza kazi. Na; Isidory Mtunda Wilaya za Kilombero, Malinyi na Ulanga mkoani Morogoro kunufaika na…

15 October 2023, 10:11 am

Wakazi wa Mlimba wapokea huduma za kibingwa za afya kwa furaha

Baadhi ya wagonjwa wakisubiri huduma za kibingwa -Picha na Isidory Matandula Madaktari bingwa wa mfumo wa mkojo na  ENT (Ear, Norse and Throat) kutoka hospitali ya rufaa ya Mtakatifu Fransisko, Ifakara, wiki hii wametoa huduma za kibingwa katika Kituo cha…

4 October 2023, 12:12 am

Wilaya tatu Morogoro zanufaika na elimu ya msaada wa kisheria

wananchi wakifuatilia mafundisho kutoka kwa mwezeshaji wa Morogoro Paralegal Center – Picha Isidory Kituo cha msaada wa kisheria Morogoro Paralegal Center(MPLC), katika ziara ya uhamasishaji (outreach) kimebaini changamoto za kisheria kwa wakazi wilaya za Kilombero, Malinyi na Ulanga, ambao wanakabiliwa…

14 August 2023, 6:55 pm

Jamii imetakiwa kutohusisha Majukwaa ya wanawake na Siasa

Jamii ya Kata ya Usangule Wilayani Malinyi wametakiwa kutohusisha Majukwaa ya wanawake na mambo ya kisiasa kwani majukwaa hayo yapo kwa ajili ya kuwawezesha wanawake kiuchumi Na Katalina Liombechi Wanawake wa Jukwaa la uwezeshwaji kiuchumi Kata ya Usangule Wilayani Malinyi…

7 July 2023, 5:09 pm

Timu ya Msolwa Station yaibuka bingwa-Tembo cup

Na Katalina Liombechi Mashindano ya Kilombero Tembo Cup yamemalizika kwa Msimu huu wa Mwaka 2023 baada ya Fainali iliyokutanisha Timu ya Msolwa Station kuibuka na Ushindi wa Mabao 5-4 dhidi ya Mang’ula B ushindi ambao umepatikana kwa Mikwaju ya Penati.…

29 June 2023, 10:45 pm

Waganga tiba asili, mbadala waagizwa kuzingatia maadili

Waganga wa tiba asili na tiba mbadala mji wa Ifakara – Picha na; Isidory Mtunda Waganga wa tiba asili na tiba mbadala halmashauri ya mji wa Ifakara, wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wameagizwa kufanya huduma ya kuponya wagonjwa na kuachana…

17 June 2023, 12:39 pm

Sheria: Mwanamke kupata talaka kisheria inawezekana bila mamlaka za dini

Wanancnchi wakimsikiliza msaidizi wa kisheria kutoka Morogoro Chediele Senzighe katika moja ya mikutano katika kata ya Mkula – Ifakara Kilombero – Picha Isidory Mtunda. Wanawake wengi wametengana kutokana na sheria za dini zao zinazoeleza kuwa hakuna kuachana mpaka kifo kitakapowatenganisha,…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.