30 November 2025, 16:40

10,424 wana maambukizi ya VVU Ifakara

“Tunapenda kuisisitiza jamii maambukizi bado yapo kwahiyo waendelee kuchukua tahadhari, tuondoe unyanyapaa na tuwajali wengine” Na Amina Mrisho Kadiri dunia inavyokaribia kuadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani tarehe 1 Desemba, jamii imeshauriwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Virusi vya…

Offline
Play internet radio

Recent posts

29 March 2026, 09:17

Wanawake Ifakara wahimizwa kuchangamkia mikopo

Hata hivyo, baadhi ya wanawake wamesema bado wameshindwa kunufaika na mikopo hiyo kutokana na kupata usumbufu,ukosefu wa uelewa na wengine hushindwa kufikia vigezo vinavyohitajika. Na Katalina Liombechi Wanawake Katika Halmashauri ya mji wa Ifakara wametakiwa kuendelea kuchangamkia fursa za uwezeshwaji…

27 March 2026, 20:57

DC Kyobya akagua miradi ya mwenge 2026 Ifakara

Miradi hii inatarajiwa kupitiwa na mwenge wa uhuru ikilenga kuboresha huduma za kijamii na miundombinu kwa wananchi wa eneo hilo Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya ameongoza Kamati ya Usalama ya Wilaya leo katika ziara…

26 March 2026, 16:39

AWF, IUCN wapunguza migogoro ya tembo Udzungwa

Jitihada hizo zimefanikiwa kwa kuungwa mkono na (AWF) kupitia mradi wa Sustain-Eco wanaoutekeleza kwa kushirikiana na IUCN Na Hospice lipipa/Kuruthumu Mkata Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa imendelea kuchukua hatua za kupunguza mwingiliano kati ya binadamu na tembo kwa…

25 March 2026, 19:33

Moro yazindua ugawaji miche bora ya korosho

Lengo ni kuinua kipato cha wakulima kuchangia kukuza uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla. Na Katalina Liombechi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mheshimiwa Adam Malima, amezindua rasmi zoezi la ugawaji wa miche bora ya mikorosho kwa wakulima wa mkoa…

25 March 2026, 11:20

Udzungwa yaimarisha uhifadhi kwa jamii

Kupitia Mradi wa Sustain-Eco, unaotekelezwa kwa ushirikiano wa AWF na IUCN chini ya ufadhili wa serikali ya Sweden, ulitoa zaidi ya shilingi milioni 25 mwezi Oktoba 2025 kusaidia juhudi hizo. Na Hospice Lipipa/Kuruthumu Mkata Hifadhi ya Taifa ya Milima ya…

24 March 2026, 18:41

Kaya 100 zakumbwa na mafuriko Kilombero

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea na juhudi za uokoaji pamoja na kuhakikisha wananchi wanapatiwa msaada na kubaki salama wakati huu Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Kaya zaidi 100 katika Wilaya ya Kilombero zimeathiriwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa kuamkia leo,…

21 March 2026, 11:43

Uvamizi wa msitu Kilombero wabainika

Doria ya pamoja ya maafisa wa mazingira na kamati ya kijiji imebaini uharibifu wa msitu wa hifadhi wa Kilombero (KNFR), huku mamlaka zikitoa onyo kali dhidi ya vitendo vya ukataji miti na uchomaji mkaa. Na Isidory Mtunda Maafisa kutoka Kitengo…

20 March 2026, 20:03

Urithishaji maarifa ya asili kusaidia uhifadhi

Afisa maendeleo ya jamii amesisitiza umuhimu wa kuendeleza urithishaji wa maarifa hayo kwa vijana ili yasipotee kutokana na mabadiliko ya maisha ya kisasa Na Katalina Liombechi Katika juhudi za kuimarisha uhifadhi wa mazingira na wanyamapori, wataalamu na wanajamii wameendelea kusisitiza…

19 March 2026, 19:00

Wito watolewa na TFS Kilombero kulinda misitu

TFS imekuwa ikichukua jitihada kadhaa kuendelea kutoa elimu,kuhamasisha upandaji wa miti kwa kugawa bure miche ya miti ya mbao na matunda kama mkakati wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi Na Katalina Liombechi Wakati Dunia ikitarajia kuadhimisha Siku ya…

16 March 2026, 18:51

Ifakara yawatahadharisha wanaokaidi suala la usafi

Licha ya uwepo wa kampeni mbalimbali za kuhamasisha usafi, uongozi wa kata hiyo pia unasimamia utekelezaji wa sheria ndogo walizojiwekea ili kuhakikisha wale wanaokaidi kanuni za usafi wanachukuliwa hatua stahiki. Na Katalina Liombechi/David Ngogolo Uongozi wa Kata ya Ifakara umesema…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.