Pambazuko FM Radio
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
“Tunapenda kuisisitiza jamii maambukizi bado yapo kwahiyo waendelee kuchukua tahadhari, tuondoe unyanyapaa na tuwajali wengine” Na Amina Mrisho Kadiri dunia inavyokaribia kuadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani tarehe 1 Desemba, jamii imeshauriwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Virusi vya…
10 March 2026, 7:59 pm
”Ajenda ya dhana potofu ya meno ya plastiki, ukeketaji wa viungo kinywani ijadiliwe kwenye mikutano ,mashuleni na vikao mbalimbali” Na Katalina Liombechi Jamii Wilayani Kilombero imetakiwa kupinga vikali dhana potofu kuhusu uwepo wa meno ya plastiki pamoja na vitendo vya…
9 March 2026, 7:51 pm
Picha ya Wanawake Morogoro wakiwa wameshika bango kusherehekea siki yao(Picha na Kuruthumu Mkata) “Kuna watu watendaji wanaona mwanamke ananyang’anywa ardhi anabariki nikimsikia mtu anaangalia unyanyasaji wa namna hii ahame mkoa wangu” Na Amina Mrisho Watendaji wote wa serikali kuanzia ngazi…
7 March 2026, 11:59 am
Maadhimisho ya siku ya wanawake yanafanyika kwa ajili ya kutafakari mchango wa mwanamke katika jamii na kuhakikisha anajikomboa zaidi Na Amina Mrisho Mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto na mila potofu kwa watoto wa kike vimetajwa…
7 March 2026, 11:09 am
Mto Ikwambi ulikuwa hatarini kutoweka kutokana na uharibifu wa mazingira uliosababishwa na shughuli za kibinadamu Na Katalina Liombechi Shirika la Kilombero Organization for Community Development (KOCD) limefanikiwa kurejesha uhai wa Mto Ikwambi uliopo katika Kijiji cha Sululu, Kata ya Signali,…
7 March 2026, 10:11 am
Watu wengi hugundulika na magonjwa katika hatua za mwisho kutokana na kutojenga tabia ya kupima afya mapema Na Katalina Liombechi Jamii yahimizwa kuwa na utamaduni wa kupima afya mara kwa mara ili kujikinga na magonjwa na kuboresha afya zao kwa…
6 March 2026, 3:52 pm
Viongozi wa kijiji cha Mdindo wilayani Ulanga wanasema wakazi wote waliathiriwa na maandalizi ya mradi wa uchimbaji madini wamelipwa fidia, huku wananchi wakisisitiza umuhimu wa uelewa wa mikataba na msaada wa kisheria kwa jamii. Na; Isidory Mtunda Mwenyekiti wa Kijiji…
3 March 2026, 7:15 pm
Miradi hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi za serikali katika kuboresha sekta ya elimu, miundombinu jumuishi na rafiki kwa makundi yote. Na Katalina Liombechi Mbunge wa Jimbo la Kilombero, Mheshimiwa Abubakar Asenga, leo ametembelea Kata ya Lumemo katika Halmashauri…
2 March 2026, 1:52 pm
Kuna umuhimu wa kuongeza kasi ya usajili wa vikundi mbalimbali ili kuwezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika uchumi shindani na jumuishi Na Katalina Liombechi Katika kuhakikisha Dira ya taifa 2050 inatekelezwa kwa ufanisi, Mkoa wa Morogoro kupitia Idara ya Maendeleo ya…
20 February 2026, 7:37 pm
Uandikishaji wa darasa la awali umefikia asilimia 106, huku darasa la kwanza likifikia asilimia 136 ya lengo Na Katalina Liombechi Kata ya Viwanjasitini, Halmashauri ya Mji wa Ifakara, imevuka malengo ya uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la awali na la…
18 February 2026, 7:23 pm
Tukio hilo ni la kwanza kutokea katika kijiji hicho Na David Ngogolo/Nicolatha Mpaka Mtoto wa kike anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 15, mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Moonlight iliyopo kijiji cha madibila, kata ya Lupiro,…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.