Recent posts
19 April 2024, 9:20 pm
Semina ya kuwawezesha wakulima kielimu ili kuongeza tija katika mazao
Picha ni wakulima na wadau wa kilimo halmashauri ya mji wa Ifakara walioshiriki semina mjini Ifakara. Picha na; Isidory Mtunda Wakulima wa halmaashauri ya mji wa Ifakara, wamepatiwa semina, ili waongeze tija katika kilimo, na kuacha kilimo cha mazooea ,…
19 April 2024, 8:28 pm
Maisha ya Mwanadamu yanategemea Bionuai iliyohifadhiwa
Ufahamu kuhusu Bionuai Na Katalina Liombechi Imeelezwa kuwa Utunzaji wa Bionuai unasadia Uendelevu wa maisha ya Binadamu na Viumbe hai kwa Ujumla. Mhifadhi Kutoka Shirika linalojihusisha na Urejeshaji wa Misitu Afrika(Reforest Africa) Helman Lyatuu amesema hayo Wakati akizungumza na Pambazuko…
17 April 2024, 11:31 pm
Waathirika wa mafuriko Kilombero wapokea mssaada wa chakula tani 6
mifuko ya chakula – Picha na; Katalina Liombechi Kufuatia Adha ya Mafuriko katika Maeneo mbalimbali Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro,Kampuni ya Sukari Kilombero imekabidhi tani 6 za Vyakula zenye thamani zaidi ya Sh Mil 14 kusaidia Waathirika wa Mafuriko. Na:…
10 April 2024, 11:37 pm
Waathirika wa mafuriko Ifakara wapata msaada
Picha ya waathiriika wakiwa kwenye moja ya kambi – Picha na Katalina Liombechi Na Katalina Liombechi Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh Aboubakar Asenga Ametoa Msaada wa vyakula kwa Waathirika wa Mafuriko 135 walioweka kambi katika Shule ya Msingi Kiyongwile…
9 April 2024, 2:09 pm
Kila wiki mtoto mmoja anazaliwa kabla ya muda wa ujauzito kukamilika
Na Elias Maganga Matatizo ya maradhi ya kuambukiza na maradhi ya kudumu kwa muda mrefu kwa mama mjamzito inatajwa kuwa ndicho chanzo cha mtoto kuzaliwa kabla ya muda wa ujauzito kukamilika {Mtoto njiti} Dkt. Samwel William Msomba kutoka kituo cha…
8 April 2024, 6:02 pm
Ulanga: Shule ya msingi Kivukoni yaendelea kufungwa kutokana na mafuriko
“Kama maji yatakauka kabla ya April 15 mwaka huu shule ifunguliwe na kama hayatakauka shule isifunguliwe” Ni maagizo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Ulanga Saida Mahugu. Na Elias Maganga Wakati shule zote zikifunguliwa baada ya mapumziko ya…
8 April 2024, 4:42 pm
Mbunge Asenga aiomba Serikali msaada wa dharura wa chakula kwa Wahanga wa Mafuri…
“Mpaka sasa Mh Naibu spika zaidi ya wananchi 300 wamehifadhiwa katika baadhi ya Shule,Je serikali na Wizara inamsaidiaje kupata chakula cha dharula kwa wananchi wa Jimbo la Kilombero?“-Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh,Abubakar Asenga Na Elias Maganga Mbunge wa Jimbo…
3 April 2024, 5:06 pm
Jamii yatakiwa kupima magonjwa yasiyoambukiza
Magonjwa yasiyoambukiza ni magonjwa yasiyo na vimelea vinavyoweza kusambazwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, Baadhi ya magonjwa hayo ni pamoja na Magonjwa ya Moyo, mishipa ya damu, Magonjwa sugu ya njia ya hewa, Shinikizo la Juu la Damu,…
3 April 2024, 1:37 pm
Vijana Ifakara wanatakiwa kupambana kwa kufanya kazi na wasikate tamaa.
Na Elias Maganga Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Peter Lijualikali ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kilombero amewataka vijana kupambana kwa kufanya kazi ili kuzikamilisha ndoto zao. Mh, Lijualikali ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na Pambazukofm kupitia Kipindi cha jioni…
3 April 2024, 11:58 am
Ujenzi wa Mabwawa ya kuvuna maji ya mvua yatasaidia kuondoa Mafuriko- Ifakara
“Maelekezo ya Mh Rais Samia Suluhu Hassani kwa Wizara ya maji na sekta zake ni kuhakikisha wanajenga mabwawa ya kimkakati ya kuvuna maji ya mvua ili kuzuia mafuriko”=Waziri wa Maji Mh,Juma Aweso Na Elias Maganga Wizara ya maji imesema leo…