Pambazuko FM Radio
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
“Tunapenda kuisisitiza jamii maambukizi bado yapo kwahiyo waendelee kuchukua tahadhari, tuondoe unyanyapaa na tuwajali wengine” Na Amina Mrisho Kadiri dunia inavyokaribia kuadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani tarehe 1 Desemba, jamii imeshauriwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Virusi vya…
18 February 2026, 7:23 pm
Tukio hilo ni la kwanza kutokea katika kijiji hicho Na David Ngogolo/Nicolatha Mpaka Mtoto wa kike anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 15, mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Moonlight iliyopo kijiji cha madibila, kata ya Lupiro,…
13 February 2026, 8:18 pm
Polisi Kupitia maadhimisho ya siku ya familia ya polisi,Jeshi hilo hujipima na kuhakikisha linatimiza wajibu wake wa kulinda raia na mali zao. Na Katalina Liombechi Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi yamefanyika leo katika viwanja vya Kiungani, vilivyopo Halmashauri…
13 February 2026, 3:06 pm
Ifakara Health Institute (IHI) imeadhimisha miaka 70 tangu kuanzishwa kwake, ikiendelea kujijenga kama taasisi kinara katika utafiti wa afya barani Afrika. Katika kipindi hicho, taasisi imeimarisha miundombinu ya maabara, kuongoza tafiti za malaria na chanjo, pamoja na kuzalisha wataalamu wa…
12 February 2026, 9:01 pm
“Wakulima wengi wameamua kutoa zao la muwa na kupanda mpunga kutokana na kupungua kwa bei ambapo kipindi cha nyuma walikuwa wakiuza gari moja la miwa Tsh Mil.3 lakini kwa sasa gari hilo linauzwa hadi chini ya Laki 8” Na Katalina…
12 February 2026, 8:21 pm
Pamoja na mambo mengine Jeshi la Polisi limeendelea kuikumbusha jamii kutotelekeza familia zao kwani hali hiyo inaathiri malezi ya watoto Na Katalina Liombechi Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi “Police Family Day” yanayofanyika Februari 13, kila mwaka,…
11 February 2026, 8:29 pm
Mkandarasi alipata changamoto ya vifaa kuharibika. Na Amina Mrisho Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) wilaya ya Kilombero umeeleza sababu za kuchelewa kusambaza vifusi katika barabara za halmashauri ya mji wa Ifakara. Akizungumza na Pambazuko FM, Februari 9,2026…
11 February 2026, 8:12 pm
Kupitia juhudi hizi, GECA na washirika wake wanaendelea kuweka msingi imara wa kizazi kipya cha wanawake wanasayansi watakaobadilisha dunia. Na Katalina Liombechi Wakati Dunia ikiadhimisha Siku ya Wasichana na Wanawake katika sayansi leo Februari 11,2026 Chini ya shirika la UNESCO,Shirika…
10 February 2026, 8:38 pm
“Baadhi ya wagonjwa wanaofika hospitalini wanadai wapo wengine mitaani lakini hawajapata ujasiri wa kujitokeza kutokana na mitazamo potofu” Na Katalina Liombechi Mratibu wa Kudhibiti Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, Hamis Ngayungwa, ameitaka jamii kuacha imani…
9 February 2026, 8:09 pm
“Tunawakaribisha wawekezaji kuja kulima mazao ya kimkakati katika wilaya ya Kilombero” Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, amewataka wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kuja kuwekeza katika Wilaya ya Kilombero kutokana na uwepo wa…
9 February 2026, 5:36 pm
Wakazi wa kijiji cha Ijia, kata ya Mchombe halmashauri ya wilayani ya Mlimba, wamelalamikia uvamizi wa mashamba yao na mifugo ya wafugaji, wakidai hali hiyo imesababisha vurugu, majeruhi na kuongezeka kwa migogoro ya kijamii, huku wakimuomba mkuu wa Wilaya kuingilia…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.