Pambazuko FM Radio
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
“Tunapenda kuisisitiza jamii maambukizi bado yapo kwahiyo waendelee kuchukua tahadhari, tuondoe unyanyapaa na tuwajali wengine” Na Amina Mrisho Kadiri dunia inavyokaribia kuadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani tarehe 1 Desemba, jamii imeshauriwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Virusi vya…
28 December 2025, 4:00 pm
Waumini wa Kanisa la Calvary Assemblies of God (C.A.G) Ifakara wameungana kusherehekea Noeli kwa kula pamoja, ikiwa ni sehemu ya utamaduni wa kuimarisha mshikamano wa kiroho na kijamii miongoni mwao. Na: Isidory Mtunda Kanisa la Calvary Assemblies of God (C.A.G)…
24 December 2025, 7:28 pm
Watoto yatima na wenye mahitaji maalum bado ni jukumu la jamii kuhakikisha mahitaji mbalimbali Na Katalina liombechi/Kuruthumu Mkata Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba amekabidhi msaada wa vyakula na mahitaji mbalimbali wenye thamani ya shilingi milioni 2 kwa watoto…
5 December 2025, 1:12 pm
Kituo cha The Orbiti Day Care chafanya mahafali ya tatu; wazazi watakiwa kushiriki kikamilifu na kuboresha mazingira ya elimu kwa watoto. Na; Isidory Mtunda Kituo cha kulea watoto The Orbit Day Care, kilichopo kitongoji cha Uwanja wa Ndege, kata ya…
5 December 2025, 12:01 pm
Baadhi ya wafugaji wa mbwa katika halmashauri ya mji wa Ifakara wamehoji sababu za vifo vya baadhi ya Mbwa baada ya chanjo ya kichaa cha Mbwa, huku wengine wakisisitiza chanjo hiyo kuwa salama. Idara ya Mifugo imefafanua kuwa hakuna madhara…
4 December 2025, 9:50 pm
Uzinduzi wa tovuti ya KNCC unatarajiwa kuongeza ufanisi katika utoaji wa taarifa,uhamasishaji wa jamii, na ushirikiano baina ya wadau wa uhifadhi, huku ikirahisisha upatikanaji wa taarifa za miradi, tafiti, na shughuli mbalimbali za mtandao huo Na Katalina Liombechi Tovuti rasmi…
2 December 2025, 9:47 pm
Inapofikia maadhimisho ya Siku ya Watu wenye Ulemavu wadau wanahimizwa kuendelea kuwekeza katika huduma jumuishi ili kuhakikisha kuwa watu wote, wakiwemo wenye ulemavu, wanapata huduma bora na stahiki bila vikwazo. Na Katalina Liombechi Katika kuelekea maadhimisho ya Siku ya Watu…
30 November 2025, 4:40 pm
“Tunapenda kuisisitiza jamii maambukizi bado yapo kwahiyo waendelee kuchukua tahadhari, tuondoe unyanyapaa na tuwajali wengine” Na Amina Mrisho Kadiri dunia inavyokaribia kuadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani tarehe 1 Desemba, jamii imeshauriwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Virusi vya…
18 November 2025, 7:14 pm
Picha ya jengo la afya linalojengwa Hospitali ya Halmashauri ya Mlimba. Picha na Kuruthum Mkata Nimeridhishwa na jitihada mnazofanya katika kuboresha huduma za afya; miradi inaendelea kwa kasi na kwa ubora unaotakiwa,” alisema Profesa Tumain Nagu.Naibu katibu mkuu Wizara ya…
10 November 2025, 7:42 pm
Huduma hizi kiafya zmbazo zimetolewa ni sehemu ya maandalizi kuelekea maadhimisho ya miaka 15 ya kuanzishwa kwa Chuo cha SFUCHAS, kinachoendelea kuwa nguzo muhimu katika kutoa elimu na huduma bora za afya nchini Na Katalina Liombechi Kuelekea kumbukizi ya kuanzishwa…
26 October 2025, 2:28 pm
“Uchaguzi ni Mchakato unaojumuisha hatua na taratibu mbalimbali za kikatiba na kisheria ambazo hupaswa kufuatwa hatua hizo ni msingi wa uchaguzi huru na wa haki” Na Katalina Liombechi Wasimamizi wa vituo kutoka kata 19 katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.