28 March 2025, 7:06 pm

DC Kilombero awataka CWT kutatua kero za walimu, kuboresha mahusiano

Wajumbe wa mkutano mkuu chama cha walimu CWT Kilombero – Picha na; Isidory Mtunda Na; Isidory Mtunda Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, ametoa wito kwa viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani humo kuhakikisha wanatatua kero…

On air
Play internet radio

Recent posts

28 March 2025, 7:06 pm

DC Kilombero awataka CWT kutatua kero za walimu, kuboresha mahusiano

Wajumbe wa mkutano mkuu chama cha walimu CWT Kilombero – Picha na; Isidory Mtunda Na; Isidory Mtunda Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, ametoa wito kwa viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani humo kuhakikisha wanatatua kero…

22 March 2025, 5:24 pm

Miche 20,000 yapandwa Malinyi kuhimiza uhifadhi wa mazingira

Na; Isidory Mtunda Zaidi ya miche elfu ishirini imepandwa katika Shule ya Sekondari Njiwa, iliyopo Kata ya Njiwa, Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi pamoja na kuhamasisha elimu ya utunzaji…

21 March 2025, 4:35 pm

TFS kuokoa bonde la Kilombero kwa kutunza misitu ya asili, upandaji miti

Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Wakala wa huduma za Misitu Tanzania TFS Wilaya ya Kilombero Wajielekeza katika kuokoa bonde la Kilombero kwa kutunza misitu ya asili na kurithisha utamaduni wa Kupanda miti kwa uendelevu wa Rasilimali mbalimbali. Mhifadhi Misitu Wilaya hiyo…

19 March 2025, 3:46 pm

IRAD yakabidhi miche 5,000 ya mikarafuu Kilombero

Na Elias Maganga Taasisi ya International Rainforest Agriculture Development Limited (IRAD) imetoa miche 5,000 ya mikarafuu kwa wakulima wa Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuhamasisha kilimo cha mazao ya viungo. Akizungumza wakati wa makabidhiano…

22 February 2025, 7:43 pm

Walemavu wasioona kilombero wakumbukwa

“Sisi Watu wenye ulemavu kwa muda mrefu hatujakumbukwa ila tunashukuru kwa huyu mdau Issa Vitus Lipagila kwa kutushika mkono sasa tutafanikisha  shughuli zetu kwa kuepuka  kupata ajali zisizokuwa za lazima[“Walemavu wasioona Na Elias Maganga Walemavu wasioona Kilombero wamepatiwa msaada wa…

3 February 2025, 8:02 pm

DC Kyobya ataka Udhibiti Mawakili Vishoka wanaotapeli wananchi-Kilombero

Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa wilaya ya kilombero wakili Dunstan Kyobya ameliagiza jeshi la polisi wilayani humo kuhakikisha mawakili vishoka  wanaotapeli wananchi wanakamatwa mara moja ,huku akisisitiza ushirikiano kwenye jambo hilo Hayo amezungumza katika hafla za kilele cha wiki ya…

3 February 2025, 7:41 pm

Uhalifu wa Kimtandao Ifakara Mbunge Asenga afadhili Mafunzo ya TCRA kudhibiti ny…

Na Katalina Liombechi Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imesema itaendelea kushirikiana na wadau kushughulikia changamoto za kimawasilino ili kuhakikisha huduma hiyo inakuwa salama kwa watumiaji. Meneja kitengo cha watumia huduma ya mawasiliano TCRA Mhandisi Kadaya Baluhye ameyasema hayo February 2,2025…

31 January 2025, 6:49 pm

TRA watatua changamoto za wafanyabiashara Kilombero

Na Katalina Liombechi Serikali yetu imeweka mifumo rahisi ya ulipaji kodi nasi tumekuwa tukisikiliza changamoto za wafanyabiashara  na kuzitatua kwa wakati. Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilaya ya Kilombero Imesema itaendelea kutatua changamoto za wafanyabishara na kuweka Mazingira rafiki ya…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.