Boma Hai FM
Boma Hai FM
24 July 2025, 3:35 pm
“Lengo la msingi ndugu zetu wa Kenya na Tanzania wameweza kuangalia ni wapi maji yanakotoka, wapi yanatakiwa yasafiri na watumiaji ni wapi. Safari hii itakuwa ya siku tatu na katika siku hizo watu watakuwa na nafasi ya kujifunza, kuangalia vyanzo…
22 July 2025, 8:40 pm
“Mhe mkuu wa wilaya kila mwaka chama kinatekeleza msingi wa saba wa ushirika kwa kuendelea kuijali jamii,na mwaka huu Mh mkuu wa wilaya tumetembelea shule hii ya msingi Ngare Mji na tunatoa madawati ambayo thamani yake ni shilingi milioni 4…
21 July 2025, 6:54 pm
Kupitia mradi wa BOOST shule mbalimbali za msingi katika wilaya ya Hai zinategemea kunufaika katika ujenzi. Na Elizabeth Noel Hai-Kilimanjaro Wananchi wa Kata za Masama Rundugai na Machame Mashariki wametakiwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya BOOST iliyotambulishwa na…
20 July 2025, 9:34 am
Chama cha akiba na mikopo Hai Rural Teachers Saccos (HRT) kimefanya Bonanza la aina yake katika viwanja vya Taasisi ya Charllote katika kuelekea miaka 25 tangu kuanzishwa kwake. Na Elizabeth Noel Siha-Kilimanjaro Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa…
19 July 2025, 9:01 am
Katika kuendelea kumtukuza Mungu kupitia muziki wa injili mkurugenzi wa tuzo za East Africa Gospel Music Awards apandisha tuzo hiyo kilele cha mlima Kilimanjaro. Na Elizabeth Noel. Moshi -Kilimanjaro Tuzo ya Afrika Mashariki ya Muziki wa injili ( East Africa…
18 July 2025, 9:09 am
“Mtoto huyo alikuwa akiishi na bibi yake na kusoma darasa la kwanza mara nyingi akirudi nyumbani anakuwa peke yake kwa kuwa bibi yake anakuwa katika shughuli za kujitafutia riziki hivyo mshitakiwa kwa kuwa walikuwa majirani, alitumia nafasi hiyo kutenda unyama…
18 July 2025, 8:10 am
Lengo letu ni kuhakikisha wafugaji wanapata elimu sahihi na vifaa muhimu kama chanjo ili waweze kufuga kwa tija hii itasaidia kuongeza pato la taifa na la mtu mmoja mmoja”amesema Lekei. Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Zaidi ya kuku 300 wamechanjwa katika…
1 July 2025, 8:34 pm
Mikopo ya Shilingi milioni 220 imetolewa kwenye vikundi 31 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, zaidi ya Bilioni moja milioni mia tisa sitini na nane zimetolewa wilayani hai kwa kipindi cha miaka minne. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mkuu wa…
20 June 2025, 10:42 pm
Pichani ni mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Elinikyo Mafuwe akizindua shule ya msingi Muungano(picha na Salma Sefu) Mbunge wa jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe, ameweka jiwe la msingi katika shule mbili mpya ,Shule ya Msingi Muungano na Shule ya…
11 June 2025, 10:37 am
Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yamefanya mkutano wa pamoja katika kuweka mikakati yakufanya kazi kwa pamoja na kubainisha changamoto zao kwenye uongozi wa wilaya ya Hai Na Henry Keto. Hai-Kilimanjaro Mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kukaa pamoja kuweka mikakati yakufanya…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha