Recent posts
6 March 2026, 4:33 pm
Wakabidhi jengo la baba, mama na mtoto Hai
Katika kuendelea kuboresha huduma za afya hapa nchini wadau wa maendeleo kutoka taasisi ya Tumbili Foundation kwa kushirikiana na Holcim Foundation kutoka nchini Switzerland wamejenga jengo la baba, mama na mtoto katika zahanati ya Nkweshoo na kulikabidhi kwa serikali. Na…
6 March 2026, 2:13 pm
Wananchi watakiwa kuwa waaminifu kurejesha mikopo
Katika kuendelea kuwawezesha wananchi kiuchumi na kukuza kipato cha familia,wananchi hao wameaswa kurejesha mikopo wanayopatiwa na serikali. Na Oliva Joel Hai – Kilimanjaro Imeelezwa kuwa kukosekana kwa uaminifu wa kurejesha mikopo inayotolewa na halmashauri na ile ya mtu mmoja mmoja…
6 March 2026, 1:20 pm
Tutasikiliza kero za wananchi tarafa kwa tarafa-Dc Bomboko
Ikiwa zimepita siku kumi na mbili pekee tangu ziara ya waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba, mkuu wa wilaya ya Hai Hassan Bomboko ameendelea kusikiliza kero za wananchi wa wilaya ya Hai na kuzitatua. Na…
5 March 2026, 9:10 am
Walimu wapongezwa
Mkuu wa wilaya ya Hai Hassan Omar Bomboko, amesisitiza umuhimu wa kuandaliwa kwa mpango kazi madhubuti wa kitaaluma ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari, akitaja nidhamu, ubunifu na matumizi ya TEHAMA kuwa nguzo muhimu za…
5 March 2026, 7:44 am
Migogoro katika familia yatajwa chanzo ukatili wa kijinsia
Kutokana na migogoro mbalimbali katika baadhi ya familia hapa nchini ,migogoro hiyo imetajwa kuwa sababu kuu ya ukatili wa kijinsia. Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Migogoro baina ya wanandoa imetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazochochea vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia…
4 March 2026, 1:39 pm
Hai wakaribishwa kushiriki Siku ya Wanawake
Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yanayotarajiwa kufanyika machi 9 2026 katika viwanja vya shule ya sekondari Mailisita. Na Salma Mgosso Hai-Kilimanjaro Mratibu wa Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani wilaya…
3 March 2026, 3:39 pm
Wanawake kutumia siku ya wanawake duniani kukuza uchumi
Pichani ni mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya siku ya wanawake duniani wilaya ya Hai Andogwitse Ndelwa(picha na Salma Mgosso) Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka machi 8 kote duniani,wilaya ya Hai imejipanga…
1 March 2026, 12:18 pm
Usajili walowezi chanzo cha upatikanaji wa haki za kijamii
Afisa uhamiaji wilaya ya Hai ametoa wito kwa walowezi wanaoishi katika wilaya ya Hai na maeneo mengine kujitokeza kusajiliwa kwa hiari ili kusaidia kupatikana kwa haki za kijamii Na James Gasindi, Hai-Kiliamnjaro Walowezi wanaoishi katika Wilaya ya Hai mkoa wa…
26 February 2026, 1:20 pm
Baraza la madiwani Hai lapitisha bajeti ya zaidi ya bilioni 52,vipaumbele vyataj…
Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro limepitisha bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni hamsini na mbili kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Na Elizabeth Mafie Hai – Kilimanjaro Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai mkoa wa…
12 February 2026, 5:19 pm
Wazazi kushirikiana na waalimu kukuza taaluma shule ya sekondari Lemira
Katika kuwapa motisha wanafunzi wa shule ya sekondari Lemira iliyopo wilayani Hai ,Mkoani Kilimanjaro wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya kidato cha nne mwaka 2025 wapewa zawadi. Na Oliva Joel Hai- Kilimanjaro Wazazi na walezi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa…