25 November 2025, 11:59 am

DC Bomboko akagua miradi Hai, asisitiza amani

Mkuu wa Wilaya ya Hai Hassan Bomboko akiwa kwenye ziara ya kukagua miradi ya maji na barabara wilayani Hai, amewataka wananchi kuilinda amani ili miradi hiyo ikamilike na kuleta maendeleo. Na Elizabeth Mafie Hai-Kilimanjaro. Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa…

On air
Play internet radio

Recent posts

12 February 2026, 5:19 pm

Wazazi kushirikiana na waalimu kukuza taaluma shule ya sekondari Lemira

Katika kuwapa motisha wanafunzi wa shule ya sekondari Lemira iliyopo wilayani Hai ,Mkoani Kilimanjaro wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya kidato cha nne mwaka 2025 wapewa zawadi. Na Oliva Joel Hai- Kilimanjaro Wazazi na walezi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa…

12 February 2026, 4:06 pm

Jamii yatakiwa kuwathamini wenye mahitaji maalum

Kutokana na baadhi ya jamii kutowajali, kuwathamini watu wenye mahitaji maalumu taasisi ya New Life Foundation kwa kushirikiana na Tim Tebow Foundation imekusudia kurejesha tabasamu kwa kuwakutanisha kupitia sherehe maalumu. Na Elizabeth Mafie Jamii imetakiwa kuendelea kuwapa kipaumbele watu wenye…

5 February 2026, 3:22 pm

Diwani Romu aongoza upandaji miti shule ya msingi Tolu

Viongozi katika ngazi mbalimbali wameendelea kuhamasisha uhifadhi na utunzaji wa mazingira kwa kushiriana na wananchi kwa kupanda miti sehemu mbalimbali. Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Wananchi wa  kata ya Romu wilaya ya Hai  mkoa wa Kilimanjaro wamehimizwa kupanda miti katika maeneo…

5 February 2026, 3:00 pm

Romu, Masama Kusini kuondokana na adha ya maji ya umwagiliaji

Wananchi wa kata ya Masama Kusini na kata ya Romu wameiomba serikali ya kata kutatua changamoto za maji ya umwahiliaji iliyodumu kwa muda mrefu. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa Kata za Romu na Masama Kusini wilaya ya Hai mkoa…

5 February 2026, 1:21 pm

Diwani Trael, Machame Kaskazini waadhimisha miaka 49 ya CCM

Katika kuadhimisha miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wananchi,wanachama pamoja na Diwani wa Kata ya Machame Kaskazini wameadhimisha siku hiyo kwa kupanda miti pamoja na kutembelea wagonjwa kituo cha afya Kisiki. Na Bahati Chume Hai -Kilimanjaro Wananchi wa Kata…

4 February 2026, 2:14 pm

Wiki ya sheria yatoa wito wa ushirikiano kwa mahakama

Wananchi wilaya ya Hai wamehimizwa kushirikiana na Mahakama kwa kufuata sheria na taratibu, jambo litakalosaidia kuhakikisha haki, usawa, amani na maendeleo ya jamii,Maadhimisho ya wiki ya sheria yameangazia umuhimu wa mahakama kama muhimili huru wa dola unaotoa haki kwa usawa,…

2 February 2026, 6:59 pm

Diwani alipia matibabu kuadhimisha miaka 49 ya CCM Hai

Katika kuadhimisha miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi, kata ya Masama Kati imepanda miti katika kituo cha Afya Masama kati pamoja na kutembelea jengo la wamama wajawazito na kuwalipia gharama za matibabu. Na Oliver Joel, Hai-Kilimanjaro Katika kuadhimisha miaka 49…

2 February 2026, 4:58 pm

‘Maendeleo ya kijiji yanaletwa na wananchi wenyewe’ – Edwine L…

Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa kijiji cha kwasadala kata ya Masama Kusini, Wilaya ya Hai Mkoani Kilimajaro wamejitokeza kwa wingi kusikiliza bajeti ya mapato na matumizi ya kijiji pamoja na kujadili maendeleo ya kijiji chao. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro…

2 February 2026, 12:16 pm

Wananchi, wanafunzi wapatiwe elimu ya lishe bora-DC Bomboko

Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Hai imefanya kikao cha robo kwaajili yakutathmini hali ya lishe na upatikanaji wake katika kata kumi na saba za wilaya ya Hai zikihusisha wataalamu wa lishe pamoja na maafisa watendaji wa kata. Na Henry…

30 January 2026, 1:15 pm

Makubaliano ya wazazi kuimarisha taaluma Hai Day Sekondari

Shule ya Sekondari Hai Day ni miongoni mwa shule za serikali zinazofanya vizuri kitaaluma kutokana na makubaliano ya wazazi kushiriki mchango wa chakula, kufuatilia kwa karibu maendeleo ya wanafunzi, kudhibiti utoro ,kushirikiana na walimu katika kuboresha mazingira ya kujifunzia ili…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha