25 November 2025, 11:59 am

DC Bomboko akagua miradi Hai, asisitiza amani

Mkuu wa Wilaya ya Hai Hassan Bomboko akiwa kwenye ziara ya kukagua miradi ya maji na barabara wilayani Hai, amewataka wananchi kuilinda amani ili miradi hiyo ikamilike na kuleta maendeleo. Na Elizabeth Mafie Hai-Kilimanjaro. Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa…

Offline
Play internet radio

Recent posts

27 January 2026, 4:43 pm

Wananchi watakiwa kutunza mazingira kwa kupanda miti

Machame Magharibi wameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupanda miti pembezoni mwa Barabara kata ya Machame Magharibi Na Vivian Kweka, Hai-Kilimanjaro Diwani wa kata ya Machame Magharibi  Martin Munisi amewataka wananchi kuacha kukata…

26 January 2026, 2:36 pm

Rutaraka asisitiza madiwani uwajibikaji na usimamizi wa miradi

Madiwani wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wamehimizwa kusimamia kwa karibu shughuli za serikali za mitaa ili kuhakikisha uwajibikaji na matumizi sahihi ya rasilimali za umma ,Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, Edmund Rutaraka, wakati…

25 January 2026, 8:49 am

Madiwani Hai wanolewa maadili na sheria

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai wamepewa mafunzo maalum ya siku mbili yaliyolenga kuwajengea uwezo katika utendaji kazi, hususan kuzingatia sheria, maadili ya uongozi na uwajibikaji. Mafunzo hayo yaliyofanyika Januari 23, 2026 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya…

22 January 2026, 5:56 pm

Diwani masama kusini kujenga jiko jipya shule ya Msingi Nkwamaku

Diwani wa kata ya Masama Kusini akerwa na ubovu wa jiko la kupikia chakula cha wanafunzi katika shule ya Msingi Nkwamakuu, ameahidi kuvunja na kujenga jiko jingine. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa kitongoji cha Nkwamakuu kata ya masama kusini…

20 January 2026, 12:13 pm

DC Bomboko, wadau na miradi ya maendeleo

DC Bomboko ametembelea miradi mbali mbali inayoendelea kutekelezwa Wilaya ya Hai akiwa na viongozi wa dini, makundi ya kijamii ikiwemo wamachinga, Baraza la Wazee, maofisa wasafirishaji pamoja na viongozi wa Halmashauri, kwa lengo la kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali ya…

18 January 2026, 8:11 am

Wananchi Siha waomba usajili wa haraka shule ya sekondari Mondo Memusi

Pichani ni madarasa ya shule ya sekondari Mondo Memusi iliyopo wilayani Siha mkoani Kilimanjaro.(picha na Bahati Chume) Ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Mondo Memusi katika kijiji cha Donyomurwak wilayani Siha umeondoa changamoto ya umbali kwa wanafunzi wa jamii…

17 January 2026, 8:11 am

Dc Bomboko ahimiza utatuzi wa kero za wananchi kwa vitendo

Malalamiko ya wananchi wilaya ya Hai yanaendelea kupungua, hali inayotajwa kuchangiwa na juhudi za uongozi wa wilaya hiyo kusikiliza na kutatua kero moja kwa moja kwa wananchi. Na Oliva Joel Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Hassan Omary Bomboko,…

3 December 2025, 12:33 pm

“Mikopo mnayopewa wekezeni kwenye shughuli za uzalishaji” Dc Bomboko Halmashauri ya wilaya ya Hai imetoa mikopo ya asilimia kumi ya mapato ya ndani yasiyo na riba yenye jumla ya shilingi millioni 247.1 kwa vikundi 29 vilivyokidhi vigezo vyakupata mikopo hiyo…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha