
Recent posts

9 April 2025, 9:55 am
Wananchi Hai watakiwa kutumia mvua zinazoendelea kunyesha kupanda miti
Ikiwa ni wiki ya upandaji miti iliyoanza rasmi Aprili mosi mwaka huu,halmashauri ya wilaya ya Hai imeendelea kupanda miti sehemu mbali mbali kwa ajili ya kuendelea kutunza mazingira. Na oliver Joel Diwani wa kata ya Masama Kusini Cedrick Pangani amewataka…

8 April 2025, 11:27 am
Walioacha shule watakiwa kurudi kuendelea na masomo
Mkuu wa shule ya Sekondari Keni Renatus Lyimo( picha na Salma Sephu) Katika mahafali ya kwanza ya kidato cha sita ya shule ya sekondari Keni iliyopo wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wazazi na walezi wamekumbushwa kuwarejesha shule wanafunzi wote walioacha…

5 April 2025, 8:29 am
Katibu mpya CCM Hai akabidhiwa ofisi
Katibu mpya CCM Hai apokelewa kwa matarajio makubwa ya mageuzi ya kisiasa Na James Gasindi. Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Hai, tarehe 4 Aprili 2025, imeshuhudia tukio muhimu la makabidhiano rasmi ya ofisi ya Katibu…

1 April 2025, 11:09 am
Taasisi ya ya jami’iyatul akhlaaqul islam yasheherekea Eid-el-Fitr na wagonjwa
Taasisi ya jami’iyatul akhlaaqul islam yaadhimisha sikukuu ya idd kwa kutoa msaada kwa wagonjwa hospitali ya Hai. Na James Gasindi. Katika kuadhimisha Sikukuu ya Idd, Taasisi ya Jami’iyatul Akhlaaqul Islam imeonesha moyo wa upendo kwa jamii kwa kutoa chakula na…

31 March 2025, 1:44 pm
Sheikh Mlewa aongoza waislam Kilimanjaro sikukuu ya Eid-el-Fitir, ataka amani
Ikiwa ni sikukuu ya Eid-el-Fitir kote duniani, ambapo waumini wa dini hiyo mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Hai watakiwa kuendelea kuishi maisha ya kumpendeza mwenyenzi Mungu na kuendelea kulinda amani. Na Elizabeth Mafie Waumini wa Dini ya kiislamu mkoani Kilimanjaro…

30 March 2025, 8:40 am
Pad. Dkt. Aidan aadhimisha siku ya kuzaliwa kwa kugawa miche ya miti
Padre Dkt Aidan aliyevaa kofia akiwa na wadau mbali mbali wa mazingira katika shule ya sekondari Mawenzi katika siku yake ya Kuzaliwa(picha na Elizabeth Mafie) Wakati baadhi ya watu duniani wakisheherekea siku zao za kuzaliwa kwa kukata keki,imekuwa tofauti kwa…

27 March 2025, 8:36 pm
Bodaboda Hai wapatiwa elimu
Kutokana na kuwepo kwa ajali nyingi zinazotokana na waendesha bodaboda, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Jimbo la Hai wamekutana na kuzungumza na waendesha bodaboda hao kwa lengo la kuhakikisha wanabaki salama. Na Elizabeth Mafie Maafisa wasafirishaji…

26 March 2025, 12:55 pm
Wadau walia na upotoshaji wa taarifa wenye nia ovu
Kutokana na uvumi kuhusu shule ya msingi Nkwenshoo kuwa ina waalimu watatu pekee na wote wameomba uhamisho,radio Boma Hai Fm imefika ili kukuletea ukweli wa jambo hilo. Na Eliya Sabai Kufuatia taarifa potofu inayosambaa mitandaoni ya kwamba shule ya msingi…

11 September 2024, 11:43 am
TARI yawanoa wakulima, maafisa ugani Hai na Siha
Kutokana na zao la parachichi kuonekana zao lenye tija na la kibiashara Taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania (TARI) wameendesha mafunzo kwa maafisa kilimo pamoja na wakulima ili wajue namna bora ya kulima zao hilo. Na Elizabeth Mafie. Taasisi ya…

18 August 2024, 9:55 am
TYC yawanoa vijana Kilimanjaro kuhusu umiliki wa ardhi
Tyc wameendelea kuwajengea uwezo vijana mbalimbali nchini Tanzania katika mikoa minne ambayo mradi wa Boresha maisha kwa vijana unatekelezwa. Na Elizabeth Mafie Shirika la Tanzania Youth Coalition (TYC) limeendelea kuwajengea uwezo vijana mbalilmbali katika mkoa wa Kilimanjaro kupitia mradi wa…