Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
14 August 2023, 18:55
Jamii ya Kata ya Usangule Wilayani Malinyi wametakiwa kutohusisha Majukwaa ya wanawake na mambo ya kisiasa kwani majukwaa hayo yapo kwa ajili ya kuwawezesha wanawake kiuchumi Na Katalina Liombechi Wanawake wa Jukwaa la uwezeshwaji kiuchumi Kata ya Usangule Wilayani Malinyi…
7 July 2023, 17:09
Na Katalina Liombechi Mashindano ya Kilombero Tembo Cup yamemalizika kwa Msimu huu wa Mwaka 2023 baada ya Fainali iliyokutanisha Timu ya Msolwa Station kuibuka na Ushindi wa Mabao 5-4 dhidi ya Mang’ula B ushindi ambao umepatikana kwa Mikwaju ya Penati.…
29 June 2023, 22:45
Waganga wa tiba asili na tiba mbadala mji wa Ifakara – Picha na; Isidory Mtunda Waganga wa tiba asili na tiba mbadala halmashauri ya mji wa Ifakara, wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wameagizwa kufanya huduma ya kuponya wagonjwa na kuachana…
17 June 2023, 13:46
Mafunzo yaliyotolewa na Morogro Paralegal, juu ya sheria ya ndoa, talaka, mirathi na ardhi, yameibua mashauri mbalimbali kwa wananchi wa kata ya Minepa, wilaya ya Ulanga, ambao walihudhuria mkutano huo. Na; Isidory Mtunda Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Minepa,…
17 June 2023, 12:39
Wanancnchi wakimsikiliza msaidizi wa kisheria kutoka Morogoro Chediele Senzighe katika moja ya mikutano katika kata ya Mkula – Ifakara Kilombero – Picha Isidory Mtunda. Wanawake wengi wametengana kutokana na sheria za dini zao zinazoeleza kuwa hakuna kuachana mpaka kifo kitakapowatenganisha,…
7 June 2023, 10:09
“Nawaagiza wananchi wa kijiji cha Chiwachiwa pamoja na viongozi kutunza na kuhakikisha miti 500 iliyopandwa katika shule ya msingi Chiwachiwa inakua”. Mkuu wa wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya Na; Katalina Liombechi Imeelezwa kuwa katika kijiji cha Chiwachiwa halmashauri ya…
4 June 2023, 16:39
Mradi wa SUSTAIN –ECO utasaidia kuhamasisha shughuli za maendeleo ambazo ni rafiki kwa mazingira ikiwa ni pamoja na kilimo cha kakao, miwa, mpunga, kilimo cha miti na shughuli zingine zinazoendeleza uhifadhi Na Katalina Liombechi Mradi wa SUSTAIN-ECO unakwenda kutatua changamoto…
1 June 2023, 14:33
Na Elias Maganga Viongozi wa vyama vya ushirika na SACCOS katika halmashauri ya mji wa Ifakara wamemweleza mkuu wa wilaya ya Kilombero changamoto zanazowakabili ikiwa ni pamoja na wavuvi walioomba soko la Kivukoni, na kumiliki mabwawa ya asili bila mafanikio…
27 May 2023, 12:03
Kutokana na wananchi wa Kijiji cha Sole kata ya Mkula Halmashauri ya Mji wa Ifakara kutembea umbali mrefu kufuata huduma za Afya,STEP,imekabidhi hundi ya kiasi cha Shilingi Mil 10 ,kwa ajili ya Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji hicho hali itakayosaidia…
22 May 2023, 13:10
Na Katalina Liombechi Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na uhifadhi wa wanyamapori Afrika (AWF) kwa kushirikiana na ofisi ya Waziri Mkuu, IUCN na wadau wengine wameunda timu ya wataalam kutoka katika bonde la Kilombero kutekeleza mpango mkakati wa Ofisi ya…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.