Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
13 July 2024, 10:17
Na Katalina Liombechi Wananchi wa kata ya Vidunda wilayani Kilosa wanatarajia kunufaika kupitia zao la parachichi ikiwa ni zao la kimkakati mkoani Morogoro. Mchumi Kilimo kutoka Mfuko wa Uhifadhi wa Wanyamapori Afrika AWF Alexander Mpwaga amezungumza hayo wakati akikabidhi vifaa…
11 July 2024, 14:52
Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya ameagiza wale wote wanaoingiza mifugo kwenye misitu ya asili ya Ibiki na Mbasa iliyopo kijiji cha Sululu kata ya Signal kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria. Wakili Kyoba ametoa…
10 July 2024, 13:22
Katalina Liombechi Jamii imetakiwa kuacha kuharibu maeneo yaArdhi Oevu katika Bonde la Kilombero ili kusaidia uendelevu wa Mifumo Ikolojia. Mtaalamu wa Maji kutoka Bodi ya Maji RufijiKidakio cha Kilombero Gerald Hamisiamesema uharibifu wa Maeneo ya Ardhi Oevu inapelekea Wanyama na…
9 July 2024, 13:15
MBUNGE WA jImbo la Kilombero Abubakary Asenga akiwa na maafisa wa jeshi la Polisi Kilombero jehi la Polisi Wilaya ya Kilombero huwa linapata wakati mgumu kuongoza misafara ya viongozi mbalimbali kutokana na gari yao kutokuwa na King’ola Na Elias Maganga…
3 June 2024, 21:06
Wakulima wa halmashauri ya mji wa Ifakara wengi wao wanalima mbali na makazi yao, ambapo baada ya mavuno hulazimika kurudisha mazao nyumbani, hapo ndipo hukumbana na kikwazo cha kulipia ushuru mazao hayo. Na Isidory Matandula Wakulima katika halmashauri ya mji…
28 May 2024, 11:09
Mhifadhi Shukurani Madinda akiwa na wanafunzi wa S/M Kiogosi Ifakara- Picha na Isidory Matandula Wakala wa misitu Tanzania,wamekuwa wakijishughulisha na shughuli mbali mbali ikiwemo upandaji wa miti kwenye shule, taasisi na kufanya doria katika maeneo ya hifadhi ili kudhibiti majangili…
25 May 2024, 10:27
24 May 2024, 13:15
Baadhi ya Wadau walioshiriki Warsha hiyo akiwemo Mebo Kanyabua Kutoka Kampuni ya Sukari Kilombero,Saleh Shebe Afisa Usimamizi wa Mazingira kutoka Wilaya ya Kilosa na Irene Mushi kutoka TCRS Mkoa wa Morogoro wameshukuru kwa Warsha hiyo ambayo imewajengea uwezo wa Kushirikiana…
19 May 2024, 16:47
Jamii imekuwa na Ufahamu Mdogo wa Mamlaka zinazosimamia Utunzaji wa Vyanzo vya Maji. Hayo yamebainika baada ya Pambazuko Fm kuwauliza Baadhi ya Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara namna wanavyozifahamu Mamlaka hizo. KIPINDI-KUHUSU MAANA,AINA ZA VYANZO VYA MAJI NA…
3 May 2024, 00:27
Bango la shirika la Posta katika maandamano ya Mei Mosi – Picha na Isidory Matandula Mishahara duni, miundo mbinu mibovu, mikataba mibovu ya ajira, kuchelewa posho za uhamisho na kikokotoo cha wastaafu ni msalaba unaowaelemea watumishi . Na: Isidory Matandula…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.