Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
29 November 2024, 2:51 pm
Na Katalina Liombechi
Wenyeviti wa Serikali za Mitaa katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu na kufuata miongozo ya Serikali ili kuepuka kwenda kinyume na kiapo chao katika kuwahudumia Wananchi.
