Boma Hai FM
Boma Hai FM
27 January 2026, 4:43 pm
Machame Magharibi wameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupanda miti pembezoni mwa Barabara kata ya Machame Magharibi Na Vivian Kweka, Hai-Kilimanjaro Diwani wa kata ya Machame Magharibi Martin Munisi amewataka wananchi kuacha kukata…
26 January 2026, 2:36 pm
Madiwani wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wamehimizwa kusimamia kwa karibu shughuli za serikali za mitaa ili kuhakikisha uwajibikaji na matumizi sahihi ya rasilimali za umma ,Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, Edmund Rutaraka, wakati…
25 January 2026, 8:49 am
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai wamepewa mafunzo maalum ya siku mbili yaliyolenga kuwajengea uwezo katika utendaji kazi, hususan kuzingatia sheria, maadili ya uongozi na uwajibikaji. Mafunzo hayo yaliyofanyika Januari 23, 2026 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya…
22 January 2026, 6:26 pm
Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe wametumia fedha za mapato yao ya ndani ili kutatua changamoto ya maji kwa wananchi wa wilaya ya Hai, mkuu wa wilaya ya Hai na Viongozi wengine wamepongeza juhudi hizo za kutatua adha ya maji kwa…
22 January 2026, 5:56 pm
Diwani wa kata ya Masama Kusini akerwa na ubovu wa jiko la kupikia chakula cha wanafunzi katika shule ya Msingi Nkwamakuu, ameahidi kuvunja na kujenga jiko jingine. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa kitongoji cha Nkwamakuu kata ya masama kusini…
20 January 2026, 12:13 pm
DC Bomboko ametembelea miradi mbali mbali inayoendelea kutekelezwa Wilaya ya Hai akiwa na viongozi wa dini, makundi ya kijamii ikiwemo wamachinga, Baraza la Wazee, maofisa wasafirishaji pamoja na viongozi wa Halmashauri, kwa lengo la kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali ya…
19 January 2026, 1:25 pm
Baada ya wananchi wa kijiji cha Nronga kupitia changamoto ya muda mrefu ya ubovu wa miundombinu ya barabara kwa sasa hawana changamoto tena baada ya barabara ya Kalali – Nronga kujengwa kwa kiwango cha zege na kuzinduliwa rasmi na Diwani…
18 January 2026, 8:11 am
Pichani ni madarasa ya shule ya sekondari Mondo Memusi iliyopo wilayani Siha mkoani Kilimanjaro.(picha na Bahati Chume) Ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Mondo Memusi katika kijiji cha Donyomurwak wilayani Siha umeondoa changamoto ya umbali kwa wanafunzi wa jamii…
17 January 2026, 8:11 am
Malalamiko ya wananchi wilaya ya Hai yanaendelea kupungua, hali inayotajwa kuchangiwa na juhudi za uongozi wa wilaya hiyo kusikiliza na kutatua kero moja kwa moja kwa wananchi. Na Oliva Joel Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Hassan Omary Bomboko,…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha