Boma Hai FM
Boma Hai FM
23 November 2025, 9:32 am
Pichani ni Mwenyekiti wa Hai Teachers Saccos Baraka Owenya katika mkutano mkuu wa mwaka 2025 uliofanyika katika viwanja vya Saccos hiyo vilivyopo wilayani Hai mkoani Kilimanjaro( picha na Elizabeth Mafie) Hai Teachers Saccos yafanya mkutano mkuu wa mwaka 2025 ,yaweka…
13 November 2025, 9:16 am
Pichani ni mkuu wa wilaya ya Moshi Godfrey Mnzava(aliyevalia nguo ya dark blue )akiwa na viongozi mbalimbali wa shirika la Floresta Tanzania katika hotel ya African Flowers Himo mkoani Kilimanjaro(picha na Elizabeth Mafie) Shirika lisilo la Kiserikali Floresta Tanzania limehitimisha…
17 October 2025, 10:57 pm
waendesha Bajaji wilaya ya Hai wametakiwa Kuzingatia Sheria za Barabarani na taratibu za usafirishaji ili waweze kufanya shughuli zao kwa weledi ndani na nje ya wilaya ya Hai,pia wameaswa kuwa mabalozi wa amani na usalama katika wilaya ya Hai. Na…
28 September 2025, 9:01 am
Katika kutekeleza msingi wa tano wa vyama vya ushirika wa Elimu ,mafunzo na taarifa Hai Teacher’s Saccos wafanya mkutano na kukusanya dondoo zitakazotumika katika mkutano mkuu wa mwaka 2025. Na Elizabeth Noel Hai -Kilimanjaro Chama cha Akiba na Mikopo cha…
11 September 2025, 6:05 pm
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajiwa kuhutubia wananchi wa Hai, Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo Wilaya ya Hai Muhamed Msalu ameomba wananchi kujitokeza kwa wingi. Na Elizabeth Noel & Henry keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wameombwa kujitokeza kwa…
20 August 2025, 10:52 am
Na Henry Keto, Hai Kilimanjaro Wawekezaji wilaya ya Hai wametakiwa kulinda rasimali zilizopo katika maeneo wanayowekeza pamoja na kutunza mazingira kwa Kupanda miti yakutosha ili kuendelea kulinda uoto wa asili na hali ya hewa .Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wilaya…
6 August 2025, 7:01 pm
Na Salma Rahim-Arusha Wakulima na wafugaji kanda ya kaskazini kwenye mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wameaswa kutumia Kilimo cha kisasa chenye tija kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya na Kilimo ili kuongeza uzalishaji wa mazo na Mifugo. Hayo…
1 August 2025, 6:25 pm
Wananchi wa Kijiji cha Kware kilichopo kata ya Masama Kusini wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wameaswa kuachana na matendo kinyume na maadili na uvunjifu wa amani unaosababisha watu kukosa usalama wao na mali zao,pamoja na kuacha matumizi ya madawa ya…
29 July 2025, 2:11 pm
Watumishi wa umma katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai wameishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaongezea mishahara kutokana na ahadi aliyoitoa siku ya Mei mosi 2025 mkoani Singida. Na Henry Keto,…
24 July 2025, 3:46 pm
Wanawake wanne wajawazito wamepatiwa msaada wa matibabu pamoja na zawadi baada ya kujifungua kutokana na ahadi iliyotolewa na mkuu wa polisi jamii wilaya ya Hai ASP Elishafra S. K wakati wa sherehe za jeshi la polisi wilaya ya Hai Na…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha