Boma Hai FM

Recent posts

23 November 2025, 9:32 am

Hai Teachers Saccos yafanya mkutano mkuu, Hisa zapanda

Pichani ni Mwenyekiti wa Hai Teachers Saccos Baraka Owenya katika mkutano mkuu wa mwaka 2025 uliofanyika katika viwanja vya Saccos hiyo vilivyopo wilayani Hai mkoani Kilimanjaro( picha na Elizabeth Mafie) Hai Teachers Saccos yafanya mkutano mkuu wa mwaka 2025 ,yaweka…

28 September 2025, 9:01 am

Hai Teacher’s Saccos yakusanya maoni kuelekea mkutano mkuu 2025

Katika kutekeleza msingi wa tano wa vyama vya ushirika wa Elimu ,mafunzo na taarifa Hai Teacher’s Saccos wafanya mkutano na kukusanya dondoo zitakazotumika katika mkutano mkuu wa mwaka 2025. Na Elizabeth Noel Hai -Kilimanjaro Chama cha Akiba na Mikopo cha…

11 September 2025, 6:05 pm

Hai waombwa kujitokeza kumpokea Dkt. Nchimbi

Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajiwa kuhutubia wananchi wa Hai, Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo Wilaya ya Hai Muhamed Msalu ameomba wananchi kujitokeza kwa wingi. Na Elizabeth Noel & Henry keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wameombwa kujitokeza kwa…

20 August 2025, 10:52 am

Ardhi tuliyopewa na Mungu isiwe chanzo cha kutuumiza-Magonera

Na Henry Keto, Hai Kilimanjaro Wawekezaji wilaya ya Hai wametakiwa kulinda rasimali zilizopo katika maeneo wanayowekeza pamoja na kutunza mazingira kwa Kupanda miti yakutosha ili kuendelea kulinda uoto wa asili na hali ya hewa .‎‎Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wilaya…

6 August 2025, 7:01 pm

Nanenane nguzo kwa wakulima na wafugaji

Na Salma Rahim-Arusha Wakulima na wafugaji kanda ya kaskazini kwenye mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wameaswa kutumia Kilimo cha kisasa chenye tija kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya na Kilimo ili kuongeza uzalishaji wa mazo na Mifugo. Hayo…

1 August 2025, 6:25 pm

Wananchi Kware wapewa onyo matumizi dawa za kulevya

Wananchi wa Kijiji cha Kware kilichopo kata ya Masama Kusini wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wameaswa kuachana na matendo kinyume na maadili na uvunjifu wa amani unaosababisha watu kukosa usalama wao na mali zao,pamoja na kuacha matumizi ya madawa ya…

29 July 2025, 2:11 pm

Watumishi Hai waishukuru serikali ongezeko la mishahara

Watumishi wa umma katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai wameishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaongezea mishahara kutokana na ahadi aliyoitoa siku ya Mei mosi 2025 mkoani Singida. Na Henry Keto,…

24 July 2025, 3:46 pm

Wajawazito wapatiwa msaada na polisi jamii

Wanawake wanne wajawazito wamepatiwa msaada wa matibabu pamoja na zawadi baada ya kujifungua kutokana na ahadi iliyotolewa na mkuu wa polisi jamii wilaya ya Hai ASP Elishafra S. K wakati wa sherehe za jeshi la polisi wilaya ya Hai Na…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha