Boma Hai FM
Boma Hai FM
1 December 2025, 3:30 pm
Mkuu wa Wilaya ya Siha Dkt Christopher Timbuka, amewataka watumishi wa Halmashauri kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji mpya Hellen Mwembeta, ili kufanikisha jitihada za Serikali za kuwaletea maendeleo wananchi wa wilaya hiyo. Na Bahati Chume Siha-Kilimanjaro Mkuu wa Wilaya ya Siha,…
1 December 2025, 2:58 pm
Edmund Rutaraka amethibitisha nguvu zake wilayani Hai baada ya kushinda kwa kishindo uchaguzi wa ndani wa CCM, akipata kura 15 kati ya 23 na kurejeshwa rasmi kugombea nafasi ya Uenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai. Na Elizabeth Mafie na…
1 December 2025, 1:26 pm
Jamii yaaswa kuachana na mitazamo hasi dhidi ya watoto wenye mahitaji maalumu. Na Elizabeth Mafie Hai -Kilimanjaro Jamii imetakiwa kuondoa mitazamo hasi ya kuwaficha watoto wenye mahitaji maalumu, kwani watoto hao wana uwezo wa kujitegemea na kusimama wenyewe iwapo watapata…
30 November 2025, 12:11 pm
Wananchi wa Kijiji cha Rundugai wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, wamefurahia na kuishukuru Serikali baada ya kupokea shilingi milioni 85 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madrasa na kituo kidogo cha polisi, miradi inayotarajiwa kuboresha elimu na usalama katika eneo…
29 November 2025, 10:01 am
Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe imehitimisha ukaguzi wa kila mwaka wa vyanzo na miundombinu ya maji katika Wilaya ya Hai, lengo ikiwa ni kuhakikisha miradi ya maji inakuwa endelevu na maji yanayotolewa kwa wananchi ni salama, na huduma ya maji…
28 November 2025, 5:15 pm
Siku ya Lishe Kitaifa huadhimishwa kila mwaka nchini Tanzania ili kukumbusha dhana ya haki ya kupata chakula bora, kupambana na udumavu, na kuhimiza uwekezaji katika afya dhamira inayokwenda sambamba na mpango wa taifa wa kuboresha lishe ulioanzishwa miaka kadhaa iliyopita.…
26 November 2025, 3:12 pm
Halmashauri ya wilaya ya Hai imesaini mkataba wa ujenzi wa jengo jipya na lakisasa la ofisi za halmashauri lenye thamani ya Shilingi Bilioni 4.39 unaojengwa kwa muda wa miaka miwili mpaka Novemba 25,2027 unaotekelezwa na kampuni ya Paric limited. Na…
26 November 2025, 9:12 am
Pichani ni Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe(kulia)na kiongozi wa madereva bajaji wilaya ya Hai Baraka Ngoti(picha na Praygod Munisi) Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amekutana na madereva pikipiki na bajaji wa wilaya ya Hai kwa lengo…
25 November 2025, 11:59 am
Mkuu wa Wilaya ya Hai Hassan Bomboko akiwa kwenye ziara ya kukagua miradi ya maji na barabara wilayani Hai, amewataka wananchi kuilinda amani ili miradi hiyo ikamilike na kuleta maendeleo. Na Elizabeth Mafie Hai-Kilimanjaro. Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa…
23 November 2025, 9:32 am
Pichani ni Mwenyekiti wa Hai Teachers Saccos Baraka Owenya katika mkutano mkuu wa mwaka 2025 uliofanyika katika viwanja vya Saccos hiyo vilivyopo wilayani Hai mkoani Kilimanjaro( picha na Elizabeth Mafie) Hai Teachers Saccos yafanya mkutano mkuu wa mwaka 2025 ,yaweka…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha