Highlands FM

Recent posts

24 June 2025, 12:09

Jamii yatakiwa kuheshimu sheria za barabarani

Takwimu za jeshi la polisi zinaonyesha kuwa kwa mwaka 2023, matukio ya ajali za barabarani yalikuwa 1,733 katika kipindi cha Januari hadi Desemba, na kusababisha vifo 1,118. Na Samwel Mpogole Jamii imetakiwa kufuata na kuheshimu sheria za usalama barabarani ili…

24 June 2025, 11:30

Wazazi watakiwa kuwa karibu na watoto dhidi ya ukatili

Na Samwel Mpogole Wazazi na walezi wametakiwa kuwa karibu na watoto wao hasa katika kipindi hiki ambacho shule zimefungwa, ili kuwalinda dhidi ya vitendo vya ukatili vinavyoweza kuwakumba wakiwa majumbani au mitaani. Wito huo umetolewa na Afisa kutoka Ofisi ya…

20 June 2025, 12:16

Utoaji wa mimba ni kosa, vijana waonywa

Vijana waonywa Utoaji mimba na mapenzi ya jinsia moja ni kosa na ni hatari. Na Samwel Mpogole Jamii, hususan wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu, wametakiwa kuacha tabia ya kuhusika na vitendo vya utoaji mimba (abortion), kwani ni kosa…

19 June 2025, 12:18

Jamii Mbeya yatakiwa kuacha ukatili dhidi ya watoto

Wazazi waonywa kuacha tabia ya kuwaachia watoto wao mikononi mwa wafanyakazi wa ndani bila uangalizi, hali inayochochea ukatili dhidi ya watoto Na Samwel Mpogole Jamii imetakiwa kuacha vitendo vya ukatili dhidi ya watoto ili kuwawezesha kutimiza ndoto na malengo yao…

19 June 2025, 10:25

TAWA yaeleza mbinu za kukabiliana na wanyama wakali

Kumekuwa na changamoto ya wanyamapori wakali ambao wamekuwa wakisababisha madhara kwa jamii TAWA inatoa mbinu kukabiliana nao Na Samwel Mpogole Katika jitihada za kulinda maisha ya watu na mali zao, wananchi wametakiwa kuwa makini na kuchukua hatua za haraka kwa…

19 June 2025, 08:07

Mafunzo ya urekebishaji gerezani  yatoa tumaini kwa wafungwa

Wahitimu wa mafunzo ya ufundi stadi wakiwa gerezani  wahimzwa tabia njema wakimaliza vifungo Na Samwel Mpogole Jeshi la Magereza nchini limeendelea kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa mafunzo ya stadi…

18 June 2025, 18:06

Dawa za kulevya zinavyoua ndoto za vijana Mbeya

Vita dhidi ya dawa za kulevya, Ni sauti za waliopitia giza la uraibu, zikiifumbua  macho jamii kuhusu mateso, upweke, na matumaini mapya Na Samwel Mpogole Baadhi ya waraibu wa dawa za kulevya jijini Mbeya wameiomba serikali kuongeza nguvu katika kudhibiti…

17 June 2025, 16:31

Mwanafaunzi wa MUST ashikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Uhasama wa usiku mmoja umegeuka kuwa msiba wa maisha kwa familia ya mwanafunzi aliyeuawa kwa kuchomwa na mwenzake katika kumbi ya burudani Mbeya Na Samwel Mpogole Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwanafunzi wa mwaka wa kwanza kutoka Chuo…

13 June 2025, 16:17

Wananchi Mbeya na matarajio ya bajeti ya taifa 2025/2026

Wananchi mkoani Mbeya wameleza matarajio waliyonayo sambamba na changamoto walizoziona katika Bajeti kuu ya Taifa 2025/26 Na Samwel Mpogole Baadhi ya wananchi mkoani Mbeya wamesema wanatarajia Bajeti ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2025/2026 iwe na tija katika maeneo muhimu…

13 June 2025, 12:31

CCM Mbeya yatoa maelekezo mchakato wa uchaguzi

Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya kimetoa utaratibu wa kuchukua fomu kwa ngazi za ubunge na udiwani. Na Mwanaisha Makumbuli Katibu wa siasa na uenezi na Mafunzo  wa CCM  Mkoa Mbeya Christopher Uhagile ametoa utaratibu wa kuelekea  mchakato wa uchaguzi…

About us

Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.

Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.

At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.

Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.

With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.

Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.