Highlands FM
Highlands FM
1 July 2025, 13:11
Wananchi wametakiwa kutoa taarifa za wanyamapori wakali ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza Na Samwel Mpogole Jamii, hususani wakazi wa maeneo yanayopakana na hifadhi za taifa, wametakiwa kuhakikisha wanatunza mazingira na kutoa taarifa mapema mara tu wanapoona au kuhisi uwepo wa…
1 July 2025, 12:51
Baadhi ya wabunge katika maeneo mbalimbali nchini wakirejesha fomu ambapo zoezi hilo linatarajiwa kufungwa kwesho julai 2,2025. Na Lameck Charles Mtia nia wa ubunge wa Jimbo la Mbeya mjini (CCM) Patrick Mwalunenge amewakumbusha watia nia wenzake kuachana na uchonganishi ili…
1 July 2025, 12:41
Utalii unachangia asilimia 17.5 ya pato la taifa la Tanzania kwa mwaka 2016 ambapo sekta hii inakua kwa kasi, ikipanda kutoka dola bilioni 1.74 mwaka 2004 hadi dola bilioni 4.48 mwaka 2013. Na Samwel Mpogole Mkuu wa Wilaya ya Kyela,…
26 June 2025, 12:23
Kwa mujibu wa ripoti hiyo idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya ulimwenguni imeongezeka na kufikia watu milioni 292 mwaka 2022 ikiwa ni ongezeko la asilimia 20 katika kipindi cha miaka 10. Na Samwel Mpogole Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya…
24 June 2025, 12:09
Takwimu za jeshi la polisi zinaonyesha kuwa kwa mwaka 2023, matukio ya ajali za barabarani yalikuwa 1,733 katika kipindi cha Januari hadi Desemba, na kusababisha vifo 1,118. Na Samwel Mpogole Jamii imetakiwa kufuata na kuheshimu sheria za usalama barabarani ili…
24 June 2025, 11:30
Na Samwel Mpogole Wazazi na walezi wametakiwa kuwa karibu na watoto wao hasa katika kipindi hiki ambacho shule zimefungwa, ili kuwalinda dhidi ya vitendo vya ukatili vinavyoweza kuwakumba wakiwa majumbani au mitaani. Wito huo umetolewa na Afisa kutoka Ofisi ya…
20 June 2025, 12:16
Vijana waonywa Utoaji mimba na mapenzi ya jinsia moja ni kosa na ni hatari. Na Samwel Mpogole Jamii, hususan wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu, wametakiwa kuacha tabia ya kuhusika na vitendo vya utoaji mimba (abortion), kwani ni kosa…
19 June 2025, 12:18
Wazazi waonywa kuacha tabia ya kuwaachia watoto wao mikononi mwa wafanyakazi wa ndani bila uangalizi, hali inayochochea ukatili dhidi ya watoto Na Samwel Mpogole Jamii imetakiwa kuacha vitendo vya ukatili dhidi ya watoto ili kuwawezesha kutimiza ndoto na malengo yao…
19 June 2025, 10:25
Kumekuwa na changamoto ya wanyamapori wakali ambao wamekuwa wakisababisha madhara kwa jamii TAWA inatoa mbinu kukabiliana nao Na Samwel Mpogole Katika jitihada za kulinda maisha ya watu na mali zao, wananchi wametakiwa kuwa makini na kuchukua hatua za haraka kwa…
19 June 2025, 08:07
Wahitimu wa mafunzo ya ufundi stadi wakiwa gerezani wahimzwa tabia njema wakimaliza vifungo Na Samwel Mpogole Jeshi la Magereza nchini limeendelea kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa mafunzo ya stadi…
Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.
Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.
At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.
Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.
With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.
Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.