Highlands FM

Recent posts

1 December 2023, 15:54

Wananchi Mbeya watakiwa kutowanyanyapaa watu wenye ulemavu

Watoto na watu wazima wenye ulemavu mara nyingi hukabiliwa na ubaguzi, unaosababisha kupungua kwa upatikanaji wa huduma za msingi za kijamii na kutotambuliwa kwa ujumla. Na Lameck Charles Jamii mkoani Mbeya imekumbushwa kuachana na tabia ya kuwanyanyapaa watu wenye ulemavu…

29 November 2023, 17:56

Wakulima 200 Mbeya wapewa mafunzo ya mboga na matunda

Na Samwel Mpogole Zaidi ya wafanyabiashara na wakulima 200 wa mboga na matunda katika mikoa ya Songwe na Mbeya wamefuzu mafunzo ya ulasama wa chakula ambapo yamelenga kuongeza mnyororo wa thamani kupitia shughuli za uzalishaji . Mafunzo hayo yametolewa na…

29 November 2023, 10:39

Vitambulisho vya taifa zaidi ya 360,000 vyafika mkoa wa Mbeya

Na Samwel Mpogole Mkuu wa mkoa wa mbeya Juma Zuberi  Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya Taifa (NIDA) huku akiwataka wakuu wa wilaya wote kufanya uzinduzi huo kwenye wilaya zao. Uzinduzi huo umefanyika Novemba 27/2023…

24 November 2023, 14:59

RC Mbeya: Msiwasahau watoto wa kiume, wanapitia ukatili wa kutisha

Na Samweli Ndoni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewakumbusha wadau wa sheria na vyombo vya utoaji haki nchini kuelekeza nguvu zao kwenye mapambano dhidi ya ukatili anaopitia mtoto wa kiume akieleza kuwa kampeni nyingi zimewaacha nyuma na badala…

17 November 2023, 16:56

Wanahabari Mbeya wapewa mbinu za kukabiliana na majanga ya moto

Na Mwanaisha Makumbuli Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Mbeya, (MBPC) wamepewa mafunzo ya kukabiliana na majanga ya moto ili kuwajengea uwezo wa kujikinga na kuchukua tahadhari dhidi ya majanga hayo. Pia mafunzo hayo ya siku moja…

10 November 2023, 14:14

CCM yawaita wananchi kumpokea Dk.Tulia

mwandishi lameck Charles Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimekamilisha maandalizi ya kumpokea Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini dokta Tulia Acksoni anayetarajia kuwasili kesho ikiwa ni siku chache tangu kiongozi huyo achaguliwe kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge…

10 November 2023, 14:03

Mbeya ‘Cement’ yarudisha fadhila kwa wananchi

Mwandishi Samweli mpogole Kampuni ya Saruji (Mbeya Cement Ltd) imetoa hekari 700 kwa wanakijiji wa Songwe Viwandani halmashauri ya wilaya ya Mbeya Kwa ajili ya kuendeleza shughuli za kilimo Hatua hiyo ni sehemu ya mchango wa uwekezaji Kwa wananchi wanaoishi…

9 November 2023, 12:39

Takukuru yashtukia upigaji fedha za kikundi Mbeya

Mwandishi Samweli Mpogole Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoani Mbeya imefanikiwa kuokoa kiasi cha shilingi milioni 50, fedha za kikundi cha Isongole Bambo, wilayani Rungwe ambazo ni mkopo uliotolewa na halmashauri kwa ajili ya kuyawezesha makundi ya…

7 November 2023, 19:05

Wazazi waonywa kuwaozesha watoto kwa wachimba madini Chunya

Na Samweli Mpogole Wazazi na walezi wilaya ya Chunya wametakiwa kuacha tabia ya kuwafanyisha kazi watoto katika shughuli za uchimbaji madini na kuwaozesha wakiwa bado masomoni badala yake wawasimamie katika masomo yao. Wito huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa halmashauri…

About us

Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.

Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.

At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.

Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.

With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.

Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.