Highlands FM

Dawa zakulevya zazima ndoto ya Daktari

26 June 2025, 12:23

Cuthbert Mwashala .Picha na Samwel Mpogole

Kwa mujibu wa ripoti hiyo idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya ulimwenguni imeongezeka na kufikia watu milioni 292 mwaka 2022 ikiwa ni ongezeko la asilimia 20 katika kipindi cha miaka 10.

Na Samwel Mpogole

Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Matumizi na Biashara Haramu ya Dawa za Kulevya kila tarehe 26 Juni, baadhi ya waathirika wa matumizi hayo wameanza kuvunja ukimya, wakieleza madhara waliyopitia na safari yao ya kupona.

Mwandishi wetu Mwanaisha Makumbuli anasimulia taarifa iliyo andaliwa na Samwel Mpogole, juu ya kijana mmoja aliyewahi kuwa mwanafunzi wa udaktari lakini akaacha masomo kutokana na dawa za kulevya.

Sauti Mwanaisha Makumbuli