23 March 2026, 15:40

Maafisa afya, walimu Mbeya kuwa mabalozi wa hedhi salama

Wizara ya Afya kwa kushirikiana na UNICEF imetoa mafunzo kuhusu mwongozo wa hedhi salama kwa maafisa afya pamoja na waratibu wa afya shuleni, yakilenga kuongeza uelewa wa jamii juu ya umuhimu wa hedhi salama kwa wasichana na wanawake. Na Anitha…

Offline
Play internet radio

Recent posts

26 March 2026, 11:33

Wataalam: Usafi wa masikio ufanywe kwa uangalifu

Usafi wa masikio ni jambo muhimu katika kulinda afya ya binadamu, ingawa unapaswa kufanywa kwa uangalifu ili kuepuka madhara. Na Mwanaisha Makumbuli. Usafi wa masikio ni muhimu kwa afya ya binadamu, lakini unapaswa kufanyika kwa uangalifu mkubwa. Kitaalamu, masikio yana…

23 March 2026, 15:40

Maafisa afya, walimu Mbeya kuwa mabalozi wa hedhi salama

Wizara ya Afya kwa kushirikiana na UNICEF imetoa mafunzo kuhusu mwongozo wa hedhi salama kwa maafisa afya pamoja na waratibu wa afya shuleni, yakilenga kuongeza uelewa wa jamii juu ya umuhimu wa hedhi salama kwa wasichana na wanawake. Na Anitha…

18 March 2026, 09:24

Taweru watoa msaada kwa wanawake gereza kuu Ruanda Mbeya

Chama cha Wafanyakazi waKusanya Mapato Tanzania, TAWERU, kimetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wanawake walioko katika Gereza Kuu la ruanda mkoani Mbeya, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, huku kikitoa wito kwa jamii kuwajali na kuwasaidia…

10 March 2026, 14:56

Wataalamu wa afya Watahadharisha Matumizi ya Mswaki kwa muda mrefu.

Mfano wa miswaki iliyotumika muda mrefu Wataalamu wa afya wanatoa tahadhari kwa wananchi kuacha tabia ya kutumia mswaki kwa muda mrefu kupita kiasi, wakieleza kuwa kubadilisha mswaki mara kwa mara ni muhimu katika kulinda afya ya meno na kinywa pamoja…

9 March 2026, 10:24

Wananchi Wahimizwa Kushirikiana na Dawati la Jinsia Kupinga Ukatili

Jamii imetakiwa kuendelea kushirikiana na vyombo vya dola kwa kutoa taarifa mapema kuhusu vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Na Mwanaisha Makumbuli Afisa Polisi Kitengo cha Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa wa Iringa Loveness Maingu amesema bado…

6 March 2026, 12:26

Watumishi watakiwa kuzingatia maadili ya kazi

Watumishi wa umma wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi na kujiepusha na vitendo vya ulevi vinavyoweza kusababisha uvujaji wa siri za ofisi pamoja na kudhoofisha taswira ya taasisi na serikali kwa ujumla. Na Isack Mwashiuya Watumishi wa umma wametakiwa kuzingatia maadili…

25 February 2026, 15:35

Funga si ibada pekee, ni tiba kwa mwili

Wataalamu wa afya na lishe wamesema kuwa kufunga na kujinyima kula kwa kipindi maalum si ibada ya kiroho pekee, bali pia kuna mchango mkubwa katika kuboresha afya ya mwili wa binadamu. Wanasema kitendo hicho husaidia kuupumzisha mfumo wa mmeng’enyo wa…

3 October 2025, 12:30

HESLB mguu sawa mwaka wa masomo Novemba 2025

Serikali imetenga zaidi ya shilingi bilioni 900 kwa ajili ya mikopo ya elimu ya juu, vyuo vya kati na Samia Scholarship kwa mwaka wa masomo 2025/2026, ili kuhakikisha wanafunzi wahitaji kutoka familia za kipato cha chini. Na Lameck Charles. Serikali…

10 September 2025, 14:10

Child Support yaja na mpango wa elimu jumuishi

CHILD SUPPORT TANZANIA kwa kushirikiana na Hakielimu wamekuja na mpango wa elimu jumuishi wenye lengo la kuyatambua makundi mbalimbali wakiwamo watoto wenye ulemavu Mkoani Mbeya. Na. Isack Mwashiuya Katika kusaidia kutimiza mpango wa serikali wa kuhakikisha kila Mtanzania anapata elimu…

4 September 2025, 12:37

Kudungwa na nyuki kivutio kipya cha utalii tiba asilia Mbeya

Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS limeendelea kuwa kivutio baada ya kuongezwa zao jipya la utalii. Na Samwel Mpogole Katika hali isiyozoeleka lakini yenye mvuto wa kipekee, wananchi na wageni wamefurahishwa na…

About us

Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.

Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.

At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.

Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.

With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.

Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.