Mkoani FM

Recent posts

28 September 2021, 11:18 am

Wananchi Pemba waomba Elimu ya Uviko-19

Na Fatma Suleiman Wananchi kisiwani pemba wameiomba serikali kutoa elimu kuhusu korona wimbi la tatu, ili kuongeza uelewa  na kuzidisha tahadhari  ya kujikinga na maambukizi hayo kwa wanajamii Wakizungumza na habari hizi baadi ya wananchi hao, wameeleza kuwa awali ilipoingia korona…