Mkoani FM

Recent posts

25 July 2022, 9:31 am

UKOSEFU WA  HUDUMA ZA KIJAMII KIKWAZO KWA WANAWAKE KUWA VIONGOZI.

  Ukosefu wa Huduma muhimu za Kijamii ni changamoto inayorejesha nyuma wanawake kufikia fursa katika demokrasia na  kujihusisha na harakai za uongozi. Ameyasema hayo Mratibu wa Chama Cha Waandishi Wa habari wanawake Tanzania (Tamwa) afisi ya ya  Pemba Fathiya Mussa…

3 February 2022, 10:52 am

Walimu watakiwa kuwa wabunifu kuongeza ufaulu.

Walimu wa skuli za msingi na sekondari wilaya ya Mkoani wametakiwa kuwa na ubunifu katika ufundishaji ili kuongeza ufaulu kawenye mitihani yao. Akizungumza mkuu wa wilaya ya mkoani Khatib Juma Mjaja katika kikao cha mikakati ya kujadili tathmini ya matokeo…

23 October 2021, 2:02 pm

Watahaniwa kidato cha 4 Mkanyageni Pemba watakiwa wasiwe wadanganyifu.

Na Khadija Ali Yussuf Watahiniwa kidato cha nne Skuli ya Mkanyageni Sekondari wametakiwa kuwa makini na kuacha udanganyifu wakati wa ufanyaji wa mitihani yao ya taifa. Ushauri huo umetolewa na Mwalimu Mkuu wa skuli hiyo Mbarouk Suleiman Abdallah wakati wa…

23 October 2021, 1:08 pm

Wananchi Kisiwa Panza walia na Maji safi na salama.

Na Said Omar Said Wananchi wa shehia ya kisiwa panza wilaya ya Mkoani Pemba wamelalamika ukosefu wa maji safi na salama katika shehia hiyo.  Wakizungumza katika mkutano wa kueleza changamoto zao mbele ya mkuu wa Wilaya ya Mkoani katika kisiwa…

9 October 2021, 8:14 am

Wizara ya afya watakiwa kutoa elimu ya chanjo vijijini

Kutokuwepo kwa elimu ya kutosha kwa baadhi ya vijiji ni changamoto inayopelekea kushindwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa korona. Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa nyakati tofauti wananchi  wa wilaya ya mkoani wamesema ni  vyema  wizara  ya  afya…

28 September 2021, 11:18 am

Wananchi Pemba waomba Elimu ya Uviko-19

Na Fatma Suleiman Wananchi kisiwani pemba wameiomba serikali kutoa elimu kuhusu korona wimbi la tatu, ili kuongeza uelewa  na kuzidisha tahadhari  ya kujikinga na maambukizi hayo kwa wanajamii Wakizungumza na habari hizi baadi ya wananchi hao, wameeleza kuwa awali ilipoingia korona…

Mkoani Fm

Kiswahili

      Radio Jamii Mkoani ni taasisi isio ya kiserekali na isilo na lengo la kugawana faida. Taasisi hii ilianzishwa kwa makubaliano ya pamoja ya wanajamii wa Wilaya ya Mkoani kua ni kituo cha Radio ambacho kitarusha matangazo yake kwa mustakbali wa maendeleo ya jamii.

Kituo hichi kilifungiliwa rasmi tarehe 03/01/2015 na kusajiliwa rasmi mnamo 13/06/2016 nakupewa lesi ya utangazaji na Tume ya Utangazaji Zanzibar (Zanzibar Broadcasting Commission) chini ya sheria ya mwaka 2003 kifungu 12 (1) cha huduma za utangazaji.

Lengo kuu la kunzishwa taasisi hii ni kuchangia katika kuleta maendeleo endelevu na kupunguza matatizo mbali mbali yanayorudisha nyuma maendeleo ya jamii katika Wilaya ya Mkoani na maeneo mengine ya karibu kupitia programu mbali mbali za Radio na mitandao ya kijamii.

Kituo hichi kina wataalamu mbali mbali waliobobea katika kuandaa na kurusha programu na vipindi mbali mbali vinavyotoa mwamko wa maendeleo na kupunguza matatizo yanayoikumba jamii zetu. Hadi kufikia sasa, Kituo hichi kimejijengea sifa za kutosha katika kipengele cha kuelimisha jamii kupitia program zilizoandaliwa kwa umakini mkubwa kikishirikiana na taasisi mbali mbali.

Radio jamii imefanikiwa kuendesha program za kupambana na ubaguzi wa kijinsia, ndoa za utotoni, kutumikishwa kwa watoto, migogoro ya kijamii, malezi mabovu, vitendo vya ukatili, ubakaji, wizi wakupindukia, tabia mbovu, madawa ya kulevya, miripuko ya maradhi mbali mbali, uharibifu wa mazingira nk. Pia, imehamasisha mambo mbali mbali mazururi ikiwemo ubunifu wa ajira kwa vijana, kutafuta elimu, uzalishaji mali, stadi za maisha, kutoa elimu ya uraiya na kuhamasisha wanawake kushiriki kwenye nafasi za uongozi.

DIRA

Kuwa chombo imara cha kuunganisha jamii kuwa moja iliyoelimika yenye afya na uchumi imara

DHAMIRA

Kukuza Maendeleo ya Wilaya ya Mkoani Kiuchumi, Kielimu, Kiafya na kuanzisha Jukwaa la mjadala wa kuleta Maendeleo ya Wilaya.

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

English

Mkoani Community Radio is not for profits, it is a non governmental Organization established by nationalists from Mkoani District in 2015  and was official registered  under the society Act No.6 of 1995 of Zanzibar Revolutionary Government for the purpose of contributing in national and global efforts of bring about sustainable  development and poverty reduction in the community by  providing community radio broadcasting services  at Mkoani areas and adjacent locales.

The Radio contributes to the social economic and political wealth of our local community in Mkoani areas and adjacent setting by providing access to a truly independent, community owned and run local radio station. It has professional and experienced personnel on local and National level Radio broadcasting program. It works through its already established structures led by Executive committee that  is responsible for day –to day management of the station which include planning ,implementation and monitoring of the activities.

VISSION

To be a strong institution this will build a united community, educated and economical wel being.

MISSION

To enhance the development of Mkoani district economically, educationally and good health condition. to develop a fourm to discuss and bring Mkoani district in a sustainable Development.