Mkoani FM

Recent posts

21 September 2022, 12:25 pm

Wahamasishaji Jamii pemba watakiwa kuitunza miradi

PEMBA. Wahamasishaji jamii kisiwani Pemba wametakiwa kuongeza juhudi za kutoa uwelewa kwa jamii ili kuienzi na kuitunza miradi wanayoanzishiwa kwa lengo la kuleta maendeleo endelevu kwa vizazi na vizazi. Kauli hiyo imetolewa na mratibu wa mradi wa swil kutoka taasisi…

21 September 2022, 11:47 am

Katibu Machigini: wakulima ongezeni bidii kuondoa uhaba wa chakula

  Wakulima  wa  kilimo cha umwagiliaji wa bonde la machigini, shehia ya mjimbini  Mkoani Pemba wameshauriwa   kuongeza bidii kwenye kilimo chao cha mpunga kwa lengo la kuongeza kasi ya uzalishaji . Ushauri huo umetolewa na katibu wa bonde hilo,Hamdu Hassan…

28 August 2022, 2:45 pm

Wananchi Pemba wanatakiwakuandika urithi ili kuepuka migogoro

  Wananchi kisiswani Pemba wameshauriwa kuzingatia suala la mirathi mara tu baada ya mzazi kufariki ilikuepusha migogoro isiyo ya lazima katika familiya. Kauli hizo zimetolewa na  zulekha suleimn sheha na Sharifa Shaban Hamad wakati akizungumza na mwandishi wa habari hizi…

22 August 2022, 4:52 pm

Kesi 39 za udhalilishaji zaibuliwa ndani ya robo mwaka Wete – Mkoani

JUMLA ya kesi 39 za udhalilishaji wa kijinsiazimeibuliwana wanamtandaowa kupinga udhalilishaji ndani ya wilaya mbili kisiwani pemba. Wakizungumza katika kikao cha kuwasilisharipoti hizo wanamtandao wa kupinga udhalilishaji wilaya ya wete na wilaya ya mkoani wamesema juhudi za pamoja kati ya…

21 August 2022, 2:43 pm

Mbunge viti maalumu Pemba aomba watu wenye ulemavu wahesabiwe

. Wananchi Kisiwani Pemba wametakiwa kutowaficha watu wenye ulemavu wakati wa zoenzi la sensa litakapoanza siku ya tarehe 23/08/2022 kwani nao wana haki kama binaadamu wengine. Kauli hiyo imetolewa na Mh Marya Azani mwinyi Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa…

20 August 2022, 10:44 am

IUCN kupitia ubalozi wa Ireland Tanzania yang’arisha vikundi vya wajasilia…

Wanavikundi cha Uvumbuzi Pujini Kibaridi,Mapape Cooperative Chambani na Yataka Moyo Chokocho wamelishukuru Shirika la IUCN kupitia mradi unaofadhiliwa na Ubalozi wa Ireland Tanzania kwa kuwasadia kwa hali na mali katika kuboresha vikundi vyao. Akizungumza wakati wa uwasilishaji wa ripoti fupi…

12 August 2022, 8:40 am

Watu wenye ulemavu pemba walia na kitengo cha elimu ya afya

PEMBA Ufikiwaji mdogo wa watu wenye ulemavu katika utoaji wa elimu ya chanjo ya uviko 19 ni changamoto moja wapo inayopelekea ushiriki mdogo kwa kundi hilo. wakizungumza  na mkoani fm mariam khamis hamadi na nasra hakim hassani wenye ulemavu wa…

Mkoani Fm

Kiswahili

      Radio Jamii Mkoani ni taasisi isio ya kiserekali na isilo na lengo la kugawana faida. Taasisi hii ilianzishwa kwa makubaliano ya pamoja ya wanajamii wa Wilaya ya Mkoani kua ni kituo cha Radio ambacho kitarusha matangazo yake kwa mustakbali wa maendeleo ya jamii.

Kituo hichi kilifungiliwa rasmi tarehe 03/01/2015 na kusajiliwa rasmi mnamo 13/06/2016 nakupewa lesi ya utangazaji na Tume ya Utangazaji Zanzibar (Zanzibar Broadcasting Commission) chini ya sheria ya mwaka 2003 kifungu 12 (1) cha huduma za utangazaji.

Lengo kuu la kunzishwa taasisi hii ni kuchangia katika kuleta maendeleo endelevu na kupunguza matatizo mbali mbali yanayorudisha nyuma maendeleo ya jamii katika Wilaya ya Mkoani na maeneo mengine ya karibu kupitia programu mbali mbali za Radio na mitandao ya kijamii.

Kituo hichi kina wataalamu mbali mbali waliobobea katika kuandaa na kurusha programu na vipindi mbali mbali vinavyotoa mwamko wa maendeleo na kupunguza matatizo yanayoikumba jamii zetu. Hadi kufikia sasa, Kituo hichi kimejijengea sifa za kutosha katika kipengele cha kuelimisha jamii kupitia program zilizoandaliwa kwa umakini mkubwa kikishirikiana na taasisi mbali mbali.

Radio jamii imefanikiwa kuendesha program za kupambana na ubaguzi wa kijinsia, ndoa za utotoni, kutumikishwa kwa watoto, migogoro ya kijamii, malezi mabovu, vitendo vya ukatili, ubakaji, wizi wakupindukia, tabia mbovu, madawa ya kulevya, miripuko ya maradhi mbali mbali, uharibifu wa mazingira nk. Pia, imehamasisha mambo mbali mbali mazururi ikiwemo ubunifu wa ajira kwa vijana, kutafuta elimu, uzalishaji mali, stadi za maisha, kutoa elimu ya uraiya na kuhamasisha wanawake kushiriki kwenye nafasi za uongozi.

DIRA

Kuwa chombo imara cha kuunganisha jamii kuwa moja iliyoelimika yenye afya na uchumi imara

DHAMIRA

Kukuza Maendeleo ya Wilaya ya Mkoani Kiuchumi, Kielimu, Kiafya na kuanzisha Jukwaa la mjadala wa kuleta Maendeleo ya Wilaya.

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

English

Mkoani Community Radio is not for profits, it is a non governmental Organization established by nationalists from Mkoani District in 2015  and was official registered  under the society Act No.6 of 1995 of Zanzibar Revolutionary Government for the purpose of contributing in national and global efforts of bring about sustainable  development and poverty reduction in the community by  providing community radio broadcasting services  at Mkoani areas and adjacent locales.

The Radio contributes to the social economic and political wealth of our local community in Mkoani areas and adjacent setting by providing access to a truly independent, community owned and run local radio station. It has professional and experienced personnel on local and National level Radio broadcasting program. It works through its already established structures led by Executive committee that  is responsible for day –to day management of the station which include planning ,implementation and monitoring of the activities.

VISSION

To be a strong institution this will build a united community, educated and economical wel being.

MISSION

To enhance the development of Mkoani district economically, educationally and good health condition. to develop a fourm to discuss and bring Mkoani district in a sustainable Development.