Mkoani FM

Recent posts

22 February 2023, 11:26 am

Tasisi ya TAMWA na TUJIPE wapania kumaliza suala la udhalilishaji

NA Amina Masoud WAZAZI na walezi kisiwani Pemba wamezishukuru taasisi za kiharakati zinazo ongozwa na wanawake kwa kuwapatia elimu ya kutoa ushahidi Mahakamani ili kuepuka kumaliza kesi za udhalilishaji katika ngazi za familia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya wazazi…

2 January 2023, 1:45 pm

CHANAGAMOTO YA HEDHI SALAMA KWA WANAFUNZI WAKIKE YAPATIWA SULUHISHO.

Ofisa Mdhamini Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba Mohamed Nassor Salim, anasema, wizara imekuwa ikichukuwa juhudi ya kupambana na hedhi salama kwa wanafunzi wakike , kwa kuwapa elimu ya stadi za maisha ‘ABC’ . Akizungumza na mwandishi wa…

2 January 2023, 1:32 pm

RAISI WA ZANZIBAR:URITHI WA MTOTO NI ELIMU.

RAISi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka wanachi kusimamia fursa za elimu kwa watoto wao kwani ndio urithi mzuri wa taifa kiujumla. Dk. Mwinyi ameyasema hayo Mwambe Wilaya ya Mkoani Pemba, wakati akizungumza…

3 December 2022, 12:47 pm

Wananchi washauriwa kuunga mkono bishaa za wajasiliamali wa ndani

Wananchi kisiwani pemba wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali wanawake ili kuunga mkono juhudi za kujikwamua na umasikini. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Habiba Khamis Mohd mjasiriamali na muuzaji wa unga wa lishe wa Hopeca amesema imefika wakati sasa…

28 November 2022, 7:50 am

Wahitimu kidato cha nne waaswa kujiendeleza kimasomo

WANAFUNZI waliomaliza mitihani ya kidato cha nne wametakiwa kujiwekea malengo ya kitaaluma maraa baada ya kumaliza elimu yoa ya lazima sambamba na kuwa na mashirikiano na wazazi wao ili kujanga jamii iliyo bora. Akizungmza na wazazi na wanafunzi katika ghafla…

26 November 2022, 8:38 am

Early Madrasa Childhood: Kuwapa elimu ya utetezi watu wenye ulemavu

  Watu Wenye Ulemavu Kisiwani Pemba wamesema elimu waliyopatiwa kutoka taasisi ya Early  Madrasa Childhood imeweza kuwasaidia kuwajengea uwelewa wa kiutetezi katika kupata haki zao kisheria. Akizungumza Maryam Juma Kombo kutoka Taasisi ya Usalama Barabarani  amesema  kupitia elimu hiyo ameweza…

Mkoani Fm

Kiswahili

      Radio Jamii Mkoani ni taasisi isio ya kiserekali na isilo na lengo la kugawana faida. Taasisi hii ilianzishwa kwa makubaliano ya pamoja ya wanajamii wa Wilaya ya Mkoani kua ni kituo cha Radio ambacho kitarusha matangazo yake kwa mustakbali wa maendeleo ya jamii.

Kituo hichi kilifungiliwa rasmi tarehe 03/01/2015 na kusajiliwa rasmi mnamo 13/06/2016 nakupewa lesi ya utangazaji na Tume ya Utangazaji Zanzibar (Zanzibar Broadcasting Commission) chini ya sheria ya mwaka 2003 kifungu 12 (1) cha huduma za utangazaji.

Lengo kuu la kunzishwa taasisi hii ni kuchangia katika kuleta maendeleo endelevu na kupunguza matatizo mbali mbali yanayorudisha nyuma maendeleo ya jamii katika Wilaya ya Mkoani na maeneo mengine ya karibu kupitia programu mbali mbali za Radio na mitandao ya kijamii.

Kituo hichi kina wataalamu mbali mbali waliobobea katika kuandaa na kurusha programu na vipindi mbali mbali vinavyotoa mwamko wa maendeleo na kupunguza matatizo yanayoikumba jamii zetu. Hadi kufikia sasa, Kituo hichi kimejijengea sifa za kutosha katika kipengele cha kuelimisha jamii kupitia program zilizoandaliwa kwa umakini mkubwa kikishirikiana na taasisi mbali mbali.

Radio jamii imefanikiwa kuendesha program za kupambana na ubaguzi wa kijinsia, ndoa za utotoni, kutumikishwa kwa watoto, migogoro ya kijamii, malezi mabovu, vitendo vya ukatili, ubakaji, wizi wakupindukia, tabia mbovu, madawa ya kulevya, miripuko ya maradhi mbali mbali, uharibifu wa mazingira nk. Pia, imehamasisha mambo mbali mbali mazururi ikiwemo ubunifu wa ajira kwa vijana, kutafuta elimu, uzalishaji mali, stadi za maisha, kutoa elimu ya uraiya na kuhamasisha wanawake kushiriki kwenye nafasi za uongozi.

DIRA

Kuwa chombo imara cha kuunganisha jamii kuwa moja iliyoelimika yenye afya na uchumi imara

DHAMIRA

Kukuza Maendeleo ya Wilaya ya Mkoani Kiuchumi, Kielimu, Kiafya na kuanzisha Jukwaa la mjadala wa kuleta Maendeleo ya Wilaya.

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

English

Mkoani Community Radio is not for profits, it is a non governmental Organization established by nationalists from Mkoani District in 2015  and was official registered  under the society Act No.6 of 1995 of Zanzibar Revolutionary Government for the purpose of contributing in national and global efforts of bring about sustainable  development and poverty reduction in the community by  providing community radio broadcasting services  at Mkoani areas and adjacent locales.

The Radio contributes to the social economic and political wealth of our local community in Mkoani areas and adjacent setting by providing access to a truly independent, community owned and run local radio station. It has professional and experienced personnel on local and National level Radio broadcasting program. It works through its already established structures led by Executive committee that  is responsible for day –to day management of the station which include planning ,implementation and monitoring of the activities.

VISSION

To be a strong institution this will build a united community, educated and economical wel being.

MISSION

To enhance the development of Mkoani district economically, educationally and good health condition. to develop a fourm to discuss and bring Mkoani district in a sustainable Development.