

17 August 2023, 8:17 am
15 August 2023, 4:38 pm
Mkuu wa wilaya ya Mkoani anawataka wazazi na walezi wasiwaruhusu watoto wao kuokota karafuu(mpeta) kwa kuhofia vitendo vya udhalilisha kwai matendo hayo yanaendezeka sana wakati wa msimu wa zao hili linapokuja kila mwaka. Na Amina Masoud Wazazi na walezi kisiwani…
14 August 2023, 1:48 pm
9 August 2023, 8:32 am
Radio za kijamii Zanzibar wamepatiwa mafunzo maalum ya kuweka habari na vipindi kwenye mtandao (Radio Portal) ili kusomwa na kusikika duniani kote. Waandishi wa habari redio za kijamii wametakiwa kutumia mtandao ili kukuza taaluma na kuongeza wasomaji na wasikilizaji. Wito…
8 August 2023, 9:27 am
Wakulima wa kilimo cha mwani shehia ya Michenzani wakikagua zao hilo baada ya kukauka(picha na Amina Masoud)
7 August 2023, 11:14 am
Baada ya wajumbe wa Jumuiya ya Kupinga Rushwa na Uhujumu Uchumi JUKURUZA kufika ofisi Mkoa Kusini Pemba kujitambulisha, Mkuu wa Mkoa huo Mattar Zahor Masoud ameiomba jumuiya hiyo kutoa elimu kwa wananchi ili kuondoa rushwa nchini. Na Amina Masoud. Mkuu…
17 March 2023, 2:59 pm
NA KHADIJA RASHID, PEMBA. “KISWAHILI kimenifanya niwe maarufu ndani na nje ya nchi yangu. Lugha hii niliipenda tangu nikizoma shule. Licha ya umaarufu nilioupata kupitia Kiswahili, lugha hii imechangia maendeleo yangu binafsi na taifa kwa ujumla.” Ni kauli ya Consalata…
17 March 2023, 2:44 pm
Na Amina Massoud Jabir Wakulima wa mpunga wa umwagiliaji bonde la Kindani na Machigini wilaya ya mkoani pemba wamepongeza juhudi zinazichokuliwa na kiongozi mwanamke katika kuwasimamia namna bora ya uzalisahji wa mazo yao. Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi wakulima…
17 March 2023, 2:41 pm
Na Amina Massoud Jabir. WANAKIKUNDI cha ZAWADIA kilichpo changaweni Wilaya ya Mkoani wamepongeza jitihada zinazochukuliwa na kiongozi Amina Abdallah Said kwa kuwashaiwshi kuanzisha ushrika lengo kujikomboa na umasikini. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi katibu wa mwenyekit hicho Khadija Said…
17 March 2023, 2:32 pm
Na Amina Massoud Jabir WANAWAKE wajasiriamali kisiwani Pemba wamewataka wanawake wenzao kutumia fursa zilizopo kwenye vikundi vya ujasiriamali kwani ni chanzo cha kushiriki kwenye harakati za demokrasia na uongozi. Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa kikundi cha KIHOGONI Hadia Ali…
Kiswahili
Radio Jamii Mkoani ni taasisi isio ya kiserekali na isilo na lengo la kugawana faida. Taasisi hii ilianzishwa kwa makubaliano ya pamoja ya wanajamii wa Wilaya ya Mkoani kua ni kituo cha Radio ambacho kitarusha matangazo yake kwa mustakbali wa maendeleo ya jamii.
Kituo hichi kilifungiliwa rasmi tarehe 03/01/2015 na kusajiliwa rasmi mnamo 13/06/2016 nakupewa lesi ya utangazaji na Tume ya Utangazaji Zanzibar (Zanzibar Broadcasting Commission) chini ya sheria ya mwaka 2003 kifungu 12 (1) cha huduma za utangazaji.
Lengo kuu la kunzishwa taasisi hii ni kuchangia katika kuleta maendeleo endelevu na kupunguza matatizo mbali mbali yanayorudisha nyuma maendeleo ya jamii katika Wilaya ya Mkoani na maeneo mengine ya karibu kupitia programu mbali mbali za Radio na mitandao ya kijamii.
Kituo hichi kina wataalamu mbali mbali waliobobea katika kuandaa na kurusha programu na vipindi mbali mbali vinavyotoa mwamko wa maendeleo na kupunguza matatizo yanayoikumba jamii zetu. Hadi kufikia sasa, Kituo hichi kimejijengea sifa za kutosha katika kipengele cha kuelimisha jamii kupitia program zilizoandaliwa kwa umakini mkubwa kikishirikiana na taasisi mbali mbali.
Radio jamii imefanikiwa kuendesha program za kupambana na ubaguzi wa kijinsia, ndoa za utotoni, kutumikishwa kwa watoto, migogoro ya kijamii, malezi mabovu, vitendo vya ukatili, ubakaji, wizi wakupindukia, tabia mbovu, madawa ya kulevya, miripuko ya maradhi mbali mbali, uharibifu wa mazingira nk. Pia, imehamasisha mambo mbali mbali mazururi ikiwemo ubunifu wa ajira kwa vijana, kutafuta elimu, uzalishaji mali, stadi za maisha, kutoa elimu ya uraiya na kuhamasisha wanawake kushiriki kwenye nafasi za uongozi.
DIRA
Kuwa chombo imara cha kuunganisha jamii kuwa moja iliyoelimika yenye afya na uchumi imara
DHAMIRA
Kukuza Maendeleo ya Wilaya ya Mkoani Kiuchumi, Kielimu, Kiafya na kuanzisha Jukwaa la mjadala wa kuleta Maendeleo ya Wilaya.
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
English
Mkoani Community Radio is not for profits, it is a non governmental Organization established by nationalists from Mkoani District in 2015 and was official registered under the society Act No.6 of 1995 of Zanzibar Revolutionary Government for the purpose of contributing in national and global efforts of bring about sustainable development and poverty reduction in the community by providing community radio broadcasting services at Mkoani areas and adjacent locales.
The Radio contributes to the social economic and political wealth of our local community in Mkoani areas and adjacent setting by providing access to a truly independent, community owned and run local radio station. It has professional and experienced personnel on local and National level Radio broadcasting program. It works through its already established structures led by Executive committee that is responsible for day –to day management of the station which include planning ,implementation and monitoring of the activities.
VISSION
To be a strong institution this will build a united community, educated and economical wel being.
MISSION
To enhance the development of Mkoani district economically, educationally and good health condition. to develop a fourm to discuss and bring Mkoani district in a sustainable Development.