Highlands FM
Highlands FM
22 May 2025, 13:33
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia wanawake wawili, Seva Simwinga (29) na Sara Simwinga (35), wafanyabiashara na wakazi wa Mtaa wa Mponja, Uyole jijini Mbeya, kwa tuhuma za kupatikana na shehena ya dawa za kulevya aina ya bhangi yenye…
19 May 2025, 21:05
Na Samweli Mpogole Wakulima wa zao la kakao wilayani Kyela, mkoani Mbeya, wamehimizwa kuongeza thamani katika zao hilo ili kujiongezea kipato na kukuza uchumi wa kaya zao. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kyela, Mhe. Josephine Manase, wakati…
19 May 2025, 19:15
Mwandishi Samweli Mpogole Mahakama ya Wilaya ya Chunya imemhukumu Lutenga Wilson Majora (32), mkazi wa Kitongoji cha Itumbi, Kata ya Matundasi, kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wa kike mwenye umri wa miaka…
9 July 2024, 17:17
Na Lameck Charles Highlands Fm Mbeya Wananchi wilayani kyela mkoani mbeya wameipongeza tume ya ushindani (FCC) Kanda ya nyanda za juu kusini kwa kuendelea kuwapa elimu kuhusu haki za mlaji na viashiria vya bidhaa bandia. Wameyasema hayo kwenye maonesho ya…
10 June 2024, 16:33
Na Isack Mwashiuya Highlands Fm Radio Watanzania wametakiwa kuachana na dhana kwamba hitaji la katiba mpya ni kwa maslahi ya chama au kikundi Fulani cha watu wachache sababu inayopelekea kukwama na kuchelewa kwa mchakato huo wa upatikanaji wa katiba itakayoendana…
7 June 2024, 17:03
Na Lameck Charles Highlands Fm Radio Kampuni ya Pareto Tanzania (PCT) imewapa mafunzo mawakala wa kampuni hiyo ikiwa ni maandalizi kabla ya kuanza Rasmi Kwa mavuno Mafunzo hayo yaliyofanyika eneo la Ilembo umalila yamewakutanisha mawakala,wakulima waweze kupata elimu ni maua…
31 May 2024, 17:19
Pareto ni moja kati ya zao la kibiashara ambalo hulimwa mikoa sita tu nchini tanzania, zao hilo ni jamii ya maua hutumika kutengenezea dawa za kuuwa wadudu. Na Lameck Charles Highlands Fm Radio Serikali ya Wilaya ya Mbeya imesema itaendelea…
30 May 2024, 17:27
Na Lameck Charles Highlands Fm Radio Kuelekea siku ya Mazingira Duniani jamii imeaswa kuendelea kutunza Mazingira ili kuepukana na mabadiliko ya tabia nchi yanayoweza kutokea kutokana na Uharibifu wa Mazingira. Rai hiyo imetolewa na Afisa Mazingira Baraza la Taifa la…
30 May 2024, 17:13
Na Lameck Charles Wananchi wa nyanda za juu kusini wametakiwa kuendelea kutoa malalamiko yao wanayokabailiana nayo pale wanapopata huduma zinazohusishwa huduma za nishati na maji. Kauli hiyo imetolewa na Francis Mhina Afisa Huduma kwa wateja (Ewura) nyanda za juu kusini…
30 May 2024, 16:37
Na Pascal Ndambo Wananchi wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wameiomba serikali kutatua changamoto ya maji ambayo wamedai kuwa imedumu kwa muda mrefu na kusababisha adha ya kufuata maji ya visima umbali mrefu ambayo sio safi na salama. Wakizungumza kwa nyakati…
Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.
Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.
At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.
Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.
With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.
Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.