Highlands FM

Recent posts

2 June 2025, 14:30

Mitandao yaweka maadili ya watoto rehani

Wazazi na walezi watakiwa kuwa makini na watoto wao katika matumizi ya mitandao ya kijamii ili kulinda maadili na afya ya akili za watoto hao dhidi ya athari zinazoweza kutokana na matumizi mabaya ya teknolojia. Na Samwel Mpogole Katika kipindi…

1 June 2025, 20:46

Watanzania wahimizwa kuombea taifa kabla ya Oktoba

Kadri Uchaguzi Mkuu wa Oktoba unavyokaribia, wito umetolewa kwa Watanzania kulitanguliza taifa katika maombi Na Samwel Mpogole Wakati Taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba mwaka huu, wananchi wamekumbushwa umuhimu wa kulitanguliza taifa katika maombi, huku viongozi wanaotarajiwa kuwania nafasi…

30 May 2025, 12:45

Wanaosambaza bidhaa bandia kukiona

Wanaojihusisha na uuzaji pamoja na usambazaji wa bidhaa bandia kuchukuliwa hatuakali ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani Na Samwel Mpogole Serikali imesema haitosita kumchukulia hatua  mzalishaji au msambazaji wa bidhaa yeyote atakayezalisha u kusambaza bidhaa  feki ikiwemo kuingiza nchini kwani…

27 May 2025, 20:11

Waandishi Watakiwa Kutumia kwa Uangalifu Akili Mnemba.

Kufuatia kuibuka kwa matumizi ya teknolojia ya akili mnemba (Artificial Intelligence – AI), waandishi wa habari wametakiwa kuwa waangalifu katika kutumia teknolojia hiyo, ili kuepuka kusambaza taarifa zisizo sahihi Na Samwel Mpogole Waandishi wa Habari wa Radio za kijamii wametakiwa…

27 May 2025, 19:10

NEMC Yaonya Kelele na Matumizi Haramu ya Plastiki

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa onyo kali kwa wote wanaokiuka taratibu za utunzaji wa mazingira, hususan kwa kuzalisha kelele kupita kiasi na kutumia mifuko ya plastiki isiyo sahihi Na Samwel Mpogole BARAZA la Taifa…

26 May 2025, 15:33

Vikumbo CCM Mbeya Mjini Dkt. Tulia akihamia Uyole

Baadaya ya mbunge wa Mbeya mjini kutangaza nia kuelekea kugombea uyole makada wa CCM wameanza kutangaza nia kuchukua kijiti chake. Na Samwel Mpogole Siku chache baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson, kutangaza nia ya kugombea ubunge katika…

26 May 2025, 12:43

Maonesho ya biashara, viwanda na kilimo yafana Mbeya

Dkt Juma Homera. Picha na Samwel Mpogole Mkuu wa Mkoa amewataka wananchi kushiriki maonesho ili waweze kunufaika na fursa lukuki. Na Samwel Mpogole. Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Mbeya imeandaa maonesho makubwa ya kibiashara yaliyoanza Mei…

23 May 2025, 17:43

Dk.Tulia atoboa siri ya kwenda kugombea Uyole

Mbunge wa Mbeya Mjini, ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson ametangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo jipya la Uyole mkoani Mbeya katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu Na Thobias…

22 May 2025, 13:50

RC Mbeya aingilia kati sakata la ‘upigaji’ vyama vya ushirika

Serikali mkoani Mbeya imeagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU, ishirikiane na Mrajisi Msaidizi wa vyama vya ushirika kuwachukulia hatua viongozi wa vyama vya ushirika wa akiba na mikopo, saccos, ambao wamefuja fedha kwenye vyama vyao na kuhakikisha…

About us

Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.

Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.

At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.

Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.

With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.

Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.