Highlands FM

Recent posts

18 June 2025, 18:06

Dawa za kulevya zinavyoua ndoto za vijana Mbeya

Vita dhidi ya dawa za kulevya, Ni sauti za waliopitia giza la uraibu, zikiifumbua  macho jamii kuhusu mateso, upweke, na matumaini mapya Na Samwel Mpogole Baadhi ya waraibu wa dawa za kulevya jijini Mbeya wameiomba serikali kuongeza nguvu katika kudhibiti…

17 June 2025, 16:31

Mwanafaunzi wa MUST ashikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Uhasama wa usiku mmoja umegeuka kuwa msiba wa maisha kwa familia ya mwanafunzi aliyeuawa kwa kuchomwa na mwenzake katika kumbi ya burudani Mbeya Na Samwel Mpogole Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwanafunzi wa mwaka wa kwanza kutoka Chuo…

13 June 2025, 16:17

Wananchi Mbeya na matarajio ya bajeti ya taifa 2025/2026

Wananchi mkoani Mbeya wameleza matarajio waliyonayo sambamba na changamoto walizoziona katika Bajeti kuu ya Taifa 2025/26 Na Samwel Mpogole Baadhi ya wananchi mkoani Mbeya wamesema wanatarajia Bajeti ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2025/2026 iwe na tija katika maeneo muhimu…

13 June 2025, 12:31

CCM Mbeya yatoa maelekezo mchakato wa uchaguzi

Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya kimetoa utaratibu wa kuchukua fomu kwa ngazi za ubunge na udiwani. Na Mwanaisha Makumbuli Katibu wa siasa na uenezi na Mafunzo  wa CCM  Mkoa Mbeya Christopher Uhagile ametoa utaratibu wa kuelekea  mchakato wa uchaguzi…

13 June 2025, 12:05

Mbeya jiji yazindua mpango mkakati wa maendeleo 2025–2030

Mbeya yazindua Mpango Mkakati wa Maendeleo 2025–2030 kufungua ukurasa mpya wa maendeleo jumuishi Na Samwel Mpogole Halmashauri ya Jiji la Mbeya imezindua rasmi Mpango Mkakati wa Maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo, 2025 hadi 2030, katika hafla iliyofanyika jijini…

11 June 2025, 16:33

Wanahabari Mbeya wakumbushwa kujiandaa maisha ya uzeeni

Waandishi wa habari Mbeya waaswa kujiandaa kwa maisha baada ya utumishi Na Samwel Mpogole Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari mkoani Mbeya wamepewa mafunzo na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), yenye lengo la…

10 June 2025, 18:14

Polisi Mbeya latoa onyo kwa madereva wazembe

Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya limetoa onyo kali kwa madereva wazembe kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuzuia ajali na kulinda maisha ya watumiaji wote wa barabara Na Samwel Mpogole Siku moja tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

10 June 2025, 11:02

TACOGA 1984 yaongeza ujuzi kwa washauri wa wanafunzi

TACOGA 1984 yaweka mkazo kwa ushauri rafiki na wa kisasa kwa wanafunzi wa vyuo Na Samwel Mpogole Chama cha Ushauri na Uelekezi kwa Washauri wa Wanafunzi Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania (TACOGA 1984) kimetoa mafunzo kwa washauri wa wanafunzi…

9 June 2025, 17:46

Waumini wahimizwa kusoma neno la Mungu na kufanya maombi

Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato washauriwa kujikita katika Maandiko na maombi ili kuimarika kiroho. Na Samwel Mpogole Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato wametakiwa kujikita katika kusoma Neno la Mungu na kufanya maombi kwa bidii ili kuimarika kiroho na…

About us

Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.

Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.

At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.

Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.

With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.

Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.