Highlands FM

Recent posts

13 June 2025, 12:05

Mbeya jiji yazindua mpango mkakati wa maendeleo 2025–2030

Mbeya yazindua Mpango Mkakati wa Maendeleo 2025–2030 kufungua ukurasa mpya wa maendeleo jumuishi Na Samwel Mpogole Halmashauri ya Jiji la Mbeya imezindua rasmi Mpango Mkakati wa Maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo, 2025 hadi 2030, katika hafla iliyofanyika jijini…

11 June 2025, 16:33

Wanahabari Mbeya wakumbushwa kujiandaa maisha ya uzeeni

Waandishi wa habari Mbeya waaswa kujiandaa kwa maisha baada ya utumishi Na Samwel Mpogole Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari mkoani Mbeya wamepewa mafunzo na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), yenye lengo la…

10 June 2025, 18:14

Polisi Mbeya latoa onyo kwa madereva wazembe

Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya limetoa onyo kali kwa madereva wazembe kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuzuia ajali na kulinda maisha ya watumiaji wote wa barabara Na Samwel Mpogole Siku moja tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

10 June 2025, 11:02

TACOGA 1984 yaongeza ujuzi kwa washauri wa wanafunzi

TACOGA 1984 yaweka mkazo kwa ushauri rafiki na wa kisasa kwa wanafunzi wa vyuo Na Samwel Mpogole Chama cha Ushauri na Uelekezi kwa Washauri wa Wanafunzi Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania (TACOGA 1984) kimetoa mafunzo kwa washauri wa wanafunzi…

9 June 2025, 17:46

Waumini wahimizwa kusoma neno la Mungu na kufanya maombi

Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato washauriwa kujikita katika Maandiko na maombi ili kuimarika kiroho. Na Samwel Mpogole Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato wametakiwa kujikita katika kusoma Neno la Mungu na kufanya maombi kwa bidii ili kuimarika kiroho na…

6 June 2025, 16:29

Makanisa ya ufufuo na uzima yafungwa Mbeya

Makanisa sita ya Ufufuo na Uzima yafungwa Mbeya kufuatia agizo la serikali Na Samwel Mpogole Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limefunga makanisa sita ya huduma ya Ufufuo na Uzima yaliyokuwa yakiendelea na shughuli zake kinyume na tamko la serikali lililotolewa…

6 June 2025, 10:00

Mvua zikielekea mwishoni TFS yaonya uchomaji misitu

Jamii imeonywa kuacha uchomaji moto wa misitu kwa uzembe, kutokana na athari zake kwa uoto wa asili, makazi ya viumbe, na usalama wa binadamu Na Samwel Mpogole Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania TFS Kanda ya Nyanda za Juu Kusini…

4 June 2025, 18:57

TAKUKURU yahimiza waandishi kupambana na Rushwa wakati wa uchaguzi

Waandishi wa habari wamehimizwa kushiriki katika mapambano dhidi ya Rushwa hasa Taifa linapoelekea katika uchaguzi mkuu Na Samwel Mpogole Taaisisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa mbeya imewataka waandishi wa habari kushirikiana nao bega kwa bega, hasa…

3 June 2025, 19:14

Wananchi waomba vivuko ujenzi wa barabara Mbeya

Wananchi wa Mbeya walia na ukosefu wa vivuko salama wakati ujenzi wa barabara ya njia nne ukiendelea Na Samwel Mpogole Wakati ujenzi Barabara ya njia nne ukiendelea jijini Mbeya, Baadhi ya wananchi wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya  njia mbadala ikiwemo…

About us

Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.

Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.

At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.

Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.

With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.

Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.