Highlands FM

Recent posts

24 July 2025, 10:53

Ngasa: Wananchi Mbeya jihadhari, baridi kali ni hatari kiafya

Kutokana na baridi kali katika baadhi ya mikoa ya Nyanda za Juu Kusini hasa Njombe, Mbeya na Iringa, wananchi wametakiwa kuchukua hatua za kiafya ili kuepuka magonjwa yanayosababishwa na hali hiyo. Na Samwel Mpogole Wananchi wa Mkoa wa Mbeya, hususan…

10 July 2025, 12:48

Takukuru yajikita kulinda maadili dhidi ya rushwa

Vitendo vya rushwa katika uchaguzi ni kati ya vikwazo vya kuwa na uchaguzi unaozingatia misingi ya haki na usawa kwa kuwa vinavyoathiri haki na fursa ya wananchi kuchagua viongozi wanaowataka. Na Samwel Mpogole Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa…

10 July 2025, 12:41

Wananchi wahimizwa kujiunga na bima ya afya

Hakuna anayepanga kuugua au kuumia, lakini afya yako inaweza kubadilika kwa kufumba na kufumbua. Na Samwel Mpogole Wananchi wametakiwa kuhakikisha wanajiunga na huduma za bima ya afya ili kuepuka changamoto za gharama kubwa za matibabu pale wanapopatwa na madhila ya…

9 July 2025, 11:42

Bango la Amri Kumi za Mungu Mafyati lavuta hisia

Jamii imetakiwa kusoma na kuzielewa Amri Kumi za Mungu katika kufanya matendo mema. Na Samwel Mpogole Katika hali isiyo ya kawaida lakini yenye ujumbe mzito wa kiroho na maadili, kundi la watu limeweka bango lenye Amri Kumi za Mungu katika…

7 July 2025, 11:18

Waumini waaswa kusoma neno la Mungu nakufanyakazi kwa bidii

Waumini wa dini ya kikristo wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha wanasoma neno la Mungu ili wawe na uelewa zaidi kuhusu dini yao kwa ufasaha. Na Samwel Mpogole Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato wametakiwa kujenga utamaduni wa kusoma…

3 July 2025, 13:19

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mbeya, akanusha kuchukua fomu

MNEC aeleza sababu za kuto chukua fomu ya ubunge Mbeya Na Samwel Mpogole Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC) kutoka Mkoa wa Mbeya, Ndele Mwaselela, amefunguka kuwa hadi sasa hajachukua fomu ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuelekea…

3 July 2025, 11:51

Chemba ya wafanyabiashara Mbeya yaanzisha utaratibu wa ‘chai ya asubuhi…

Na Samwel Mpogole Chemba ya Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) mkoani Mbeya imeanzisha utaratibu mpya wa kijumuisha wafanyabiashara unaojulikana kama “chai ya asubuhi”, ikiwa ni njia ya kuwakutanisha wadau wa biashara kwa mazungumzo, ushauri na kujadiliana changamoto mbalimbali zinazowakabili. Mwenyekiti…

3 July 2025, 11:31

Wazazi wakumbushwa kuwa karibu na watoto Wakati wa likizo

Ni wito unaowataka wazazi na walezi kuwa makini dhidi ya vitendo vya ukatili na udhalilishaji kwa watoto. Na Samwel Mpogole Wazazi na walezi wametakiwa kuwa na mshikamano wa karibu na watoto wao hususan katika kipindi cha likizo, ili kuwakinga na…

2 July 2025, 13:26

Wafanyabiashara Mbeya waomba kasi iongezeke ujenzi wa barabara.

Wafanyabiashara na wadau mbalimbali mkoani mbeya wameiyomba serikali mkoani mbeya kuharakisha ujenzi wa barabara ili waendeleze shughuli zao. Na Samwel Mpogole Wito huo umetolewa katika mkutano uliohusisha wafanyabiashara na wadau mbalimbali kutoka sekta za umma, ambapo Rose Muliahela kutoka Chama…

About us

Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.

Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.

At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.

Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.

With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.

Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.