Highlands FM

Recent posts

9 July 2025, 11:42

Bango la Amri Kumi za Mungu Mafyati lavuta hisia

Jamii imetakiwa kusoma na kuzielewa Amri Kumi za Mungu katika kufanya matendo mema. Na Samwel Mpogole Katika hali isiyo ya kawaida lakini yenye ujumbe mzito wa kiroho na maadili, kundi la watu limeweka bango lenye Amri Kumi za Mungu katika…

7 July 2025, 11:18

Waumini waaswa kusoma neno la Mungu nakufanyakazi kwa bidii

Waumini wa dini ya kikristo wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha wanasoma neno la Mungu ili wawe na uelewa zaidi kuhusu dini yao kwa ufasaha. Na Samwel Mpogole Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato wametakiwa kujenga utamaduni wa kusoma…

3 July 2025, 13:19

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mbeya, akanusha kuchukua fomu

MNEC aeleza sababu za kuto chukua fomu ya ubunge Mbeya Na Samwel Mpogole Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC) kutoka Mkoa wa Mbeya, Ndele Mwaselela, amefunguka kuwa hadi sasa hajachukua fomu ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi kuelekea…

3 July 2025, 11:51

Chemba ya wafanyabiashara Mbeya yaanzisha utaratibu wa ‘chai ya asubuhi…

Na Samwel Mpogole Chemba ya Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) mkoani Mbeya imeanzisha utaratibu mpya wa kijumuisha wafanyabiashara unaojulikana kama “chai ya asubuhi”, ikiwa ni njia ya kuwakutanisha wadau wa biashara kwa mazungumzo, ushauri na kujadiliana changamoto mbalimbali zinazowakabili. Mwenyekiti…

3 July 2025, 11:31

Wazazi wakumbushwa kuwa karibu na watoto Wakati wa likizo

Ni wito unaowataka wazazi na walezi kuwa makini dhidi ya vitendo vya ukatili na udhalilishaji kwa watoto. Na Samwel Mpogole Wazazi na walezi wametakiwa kuwa na mshikamano wa karibu na watoto wao hususan katika kipindi cha likizo, ili kuwakinga na…

2 July 2025, 13:26

Wafanyabiashara Mbeya waomba kasi iongezeke ujenzi wa barabara.

Wafanyabiashara na wadau mbalimbali mkoani mbeya wameiyomba serikali mkoani mbeya kuharakisha ujenzi wa barabara ili waendeleze shughuli zao. Na Samwel Mpogole Wito huo umetolewa katika mkutano uliohusisha wafanyabiashara na wadau mbalimbali kutoka sekta za umma, ambapo Rose Muliahela kutoka Chama…

1 July 2025, 13:11

Jamii yatakiwa kutoa taarifa za wanyamapori katika makazi yao

Wananchi wametakiwa kutoa taarifa za wanyamapori wakali ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza Na Samwel Mpogole Jamii, hususani wakazi wa maeneo yanayopakana na hifadhi za taifa, wametakiwa kuhakikisha wanatunza mazingira na kutoa taarifa mapema mara tu wanapoona au kuhisi uwepo wa…

1 July 2025, 12:51

Mwalunenge awakumbusha watia nia wajibu wao kwa wananchi

Baadhi ya wabunge katika maeneo mbalimbali nchini wakirejesha fomu ambapo zoezi hilo linatarajiwa kufungwa kwesho julai 2,2025. Na Lameck Charles Mtia nia wa ubunge wa Jimbo la Mbeya mjini (CCM) Patrick Mwalunenge amewakumbusha watia nia wenzake kuachana na uchonganishi ili…

1 July 2025, 12:41

Kyela kuinua sekta ya utalii

Utalii unachangia asilimia 17.5 ya pato la taifa la Tanzania kwa mwaka 2016 ambapo sekta hii inakua kwa kasi, ikipanda kutoka dola bilioni 1.74 mwaka 2004 hadi dola bilioni 4.48 mwaka 2013. Na Samwel Mpogole Mkuu wa Wilaya ya Kyela,…

26 June 2025, 12:23

Dawa zakulevya zazima ndoto ya Daktari

Kwa mujibu wa ripoti hiyo idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya ulimwenguni imeongezeka na kufikia watu milioni 292 mwaka 2022 ikiwa ni ongezeko la asilimia 20 katika kipindi cha miaka 10. Na Samwel Mpogole Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya…

About us

Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.

Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.

At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.

Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.

With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.

Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.