Highlands FM

CCM Mbeya yatoa maelekezo mchakato wa uchaguzi

13 June 2025, 12:31

Christopher Uhagile. Picha na Samwel Mpogole

Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya kimetoa utaratibu wa kuchukua fomu kwa ngazi za ubunge na udiwani.

Na Mwanaisha Makumbuli

Katibu wa siasa na uenezi na Mafunzo  wa CCM  Mkoa Mbeya Christopher Uhagile ametoa utaratibu wa kuelekea  mchakato wa uchaguzi wa Madiwani na Wabunge.

Uhagile amesema hayo mbele ya waandishi wa habari katika ofisi za ccm zilizopo sokomatola jijini mbeya ambapo ametaja mwelekeo na nafasi za wajumbe wanne ambao wameonesha nia ya kugombea nafasi mbalimbali.

Sauti ya Christopher uhagile 1

Aidha uhagile amesema kuwa mchakato wa utoaji fomu kwa nafasi za udiwani na ubunge utaanza Juni 28,2025 na kuwataka wanachama  kuhakikisha wanazingatia  sheria na taratibu za chama hicho.

Sauti Christopher Uhagile 2