Mkoani FM
Mkoani FM
2 June 2025, 4:10 pm
WANANCHI wa Kijiji cha Andikoni Shehia ya Chumbageni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba wameiomba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuwatengenezea barabara ili kuepukana na changamoto zinazo wakabili. Wakizungumza mbele ya Afisa Mdhamini wananchi hao wamesema wanakabiliwa na changomoto…
30 May 2025, 1:06 am
Picha ya wanawake wakiwa katika shughili ya upandaji Miti aina ya Mikoko Wanawake kisiwani Pemba wamewataka wanawake wenzao kujiingiza katika harakati za kujikwamua kiuchumi ili kuepuka kuwa tegemezi kwa familia zao. Wakizungumza na mwandishi wa Habari hizi wanawake wa kikundi…
16 December 2024, 2:16 pm
Licha ya uwepo wa uhuru wa habari duniani lakini bado sheria za habari zinazotumika Zanzibar zinaonekana kubana wanahabari katika kutekeleza majukumu yao. Na Khadija Ali. Waandishi wa habari kisiwani Pemba wametakiwa kuzisoma na kuzifahamu Sheria za habari lengo kujua mapungufu…
2 December 2024, 10:00 am
kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya wazazi kuwanyima fursa watoto wa kike kusoma fani ya habari kwa kisingizio haina maadili kwa kundi hilo, jambo ambalo si sahihi na kukmkosesha uhuru wake kielimu.
30 November 2024, 12:23 pm
Kuwepo kwa madawati ya jinsi kwenye vyombo vya habari vinasaidia kuondoa changamoto nyingi za kijinsia ambazo zinaweza kujitokeza. Mwandishi wetu analiangalia hilo kwa kufanya mazungumzo na wadau mbalimbali, na hiii hapa taaarifa yake.
30 November 2024, 11:54 am
Wakulima kisiwani Pemba wameshauriwa kujikita kwenye kilimo hai kwani ni rahisi na kinasaidia kuondokana na umasikini na kuleta mafanikio kiuchumi Wakizunguma na Mkoani FM, wakulima Bi Salama Omar na Zainab Rajab wamesema kilimo hicho mali ghafi zake ni rahisi ukilinganisha…
30 November 2024, 9:04 am
Makala fupi kuhusu umuhimu wa mwandishi wa habari kupata uhuru wa kutekeleza majukumu yake.
30 November 2024, 8:29 am
Ukosefu wa maji safi na salama katika kisiwa cha Makoongwe hasa vijiji vya Kinyasini na Kizambarauni ni changamoto inayozorotesha shughuli zao za kiuchumi Wakizungumza na Mkoani FM Saumu Abas Mohd Ali na Rukia Omar wamesema ni mwaka wa nne sasa…
29 November 2024, 3:31 pm
Simulizi hii inaelezea mambo mazito wanayokumbana nayo waandishi wa habari wanawake wakati wa kutekeleza majukumu yao kutoka kwa watu mashuhuri mfano maneno machafu na dharau hali inayopelekea baadhi yao kuona uandishi wa habari si kazi rafiki kwa wanawake.
26 May 2024, 9:42 pm
Iwapo wanawake watapewa nafasi katika uhifadhi wa mazingira ya bahari wanaweza kua mabalozi wazuri kwa kuwalea vijana na kuwapa elimu ya uhifadhi wa mazingira hayo. Na Khatib Nahoda Jamii nchini imetakiwa kuwashirikisha wanawake katika shughuli za uchumi wa buluu Ili…
Kiswahili
Radio Jamii Mkoani ni taasisi isio ya kiserekali na isilo na lengo la kugawana faida. Taasisi hii ilianzishwa kwa makubaliano ya pamoja ya wanajamii wa Wilaya ya Mkoani kua ni kituo cha Radio ambacho kitarusha matangazo yake kwa mustakbali wa maendeleo ya jamii.
Kituo hichi kilifungiliwa rasmi tarehe 03/01/2015 na kusajiliwa rasmi mnamo 13/06/2016 nakupewa lesi ya utangazaji na Tume ya Utangazaji Zanzibar (Zanzibar Broadcasting Commission) chini ya sheria ya mwaka 2003 kifungu 12 (1) cha huduma za utangazaji.
Lengo kuu la kunzishwa taasisi hii ni kuchangia katika kuleta maendeleo endelevu na kupunguza matatizo mbali mbali yanayorudisha nyuma maendeleo ya jamii katika Wilaya ya Mkoani na maeneo mengine ya karibu kupitia programu mbali mbali za Radio na mitandao ya kijamii.
Kituo hichi kina wataalamu mbali mbali waliobobea katika kuandaa na kurusha programu na vipindi mbali mbali vinavyotoa mwamko wa maendeleo na kupunguza matatizo yanayoikumba jamii zetu. Hadi kufikia sasa, Kituo hichi kimejijengea sifa za kutosha katika kipengele cha kuelimisha jamii kupitia program zilizoandaliwa kwa umakini mkubwa kikishirikiana na taasisi mbali mbali.
Radio jamii imefanikiwa kuendesha program za kupambana na ubaguzi wa kijinsia, ndoa za utotoni, kutumikishwa kwa watoto, migogoro ya kijamii, malezi mabovu, vitendo vya ukatili, ubakaji, wizi wakupindukia, tabia mbovu, madawa ya kulevya, miripuko ya maradhi mbali mbali, uharibifu wa mazingira nk. Pia, imehamasisha mambo mbali mbali mazururi ikiwemo ubunifu wa ajira kwa vijana, kutafuta elimu, uzalishaji mali, stadi za maisha, kutoa elimu ya uraiya na kuhamasisha wanawake kushiriki kwenye nafasi za uongozi.
DIRA
Kuwa chombo imara cha kuunganisha jamii kuwa moja iliyoelimika yenye afya na uchumi imara
DHAMIRA
Kukuza Maendeleo ya Wilaya ya Mkoani Kiuchumi, Kielimu, Kiafya na kuanzisha Jukwaa la mjadala wa kuleta Maendeleo ya Wilaya.
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
English
Mkoani Community Radio is not for profits, it is a non governmental Organization established by nationalists from Mkoani District in 2015 and was official registered under the society Act No.6 of 1995 of Zanzibar Revolutionary Government for the purpose of contributing in national and global efforts of bring about sustainable development and poverty reduction in the community by providing community radio broadcasting services at Mkoani areas and adjacent locales.
The Radio contributes to the social economic and political wealth of our local community in Mkoani areas and adjacent setting by providing access to a truly independent, community owned and run local radio station. It has professional and experienced personnel on local and National level Radio broadcasting program. It works through its already established structures led by Executive committee that is responsible for day –to day management of the station which include planning ,implementation and monitoring of the activities.
VISSION
To be a strong institution this will build a united community, educated and economical wel being.
MISSION
To enhance the development of Mkoani district economically, educationally and good health condition. to develop a fourm to discuss and bring Mkoani district in a sustainable Development.