

14 December 2023, 6:04 pm
Vituo vya afya viingi kisiwani Pemba havina maeneo maalumu ya kuchomea taka ambazp zinatokana baada ya m,abaki wanayotumia baada ya kutoa huduma kwa wagonjwa na wananchi kuwa na ghofu kupata maradhi wanaishi karibu na vituo hivyo. Na Khadija Ali SERA…
10 December 2023, 5:28 pm
kijiji cha Andikoni ni moja ya kijiji ambacho kinapatikana katika wilaya ya mkoani, kijiji hicho ni miongoni mwa kijiji kilichokosa miundombini ya barabara kwa muda mrefu sasa na wakaazi wake kulilia changamoto hiyo na kuiomba serikalia kuwaonea huruma na kuwatengenezea…
28 November 2023, 5:32 pm
Na Muandishi wetu. Kuwepo kwa mapungufu katika Sheria ya Adhabu namba 6 Sheria ya Zanzibar ya mwaka 2006 pamoja na marekebisho yake namba 6 ya mwaka 2018 (Penal Act no.6 of 2006 as replaced by Penal Act no. 6 of…
14 November 2023, 12:44 pm
Kipindi hiki kinaeleza madhara ya kiafya kwa mama na mtoto amabae hazingatii vyakula vyenye lishe bora kipindi cha ujauzito, na namna ya vyakula sahihi vyenye lishe anavyotakiwa kutumia.
14 November 2023, 12:12 pm
Kipindi hiki ni maalum kwa wazazi kuwa na utaratibu wakuwapa elimu ya hedhi watoto wao wakati wanapokuwa kwenye hedhi ili kuwalinda na madhara yatokanayo na Afya ya uzazi.
27 October 2023, 7:29 pm
Huduma za mama na mtoto bado ni changamoto kwa baaddi ya vijiji kisiwani Pemba kwa kukosa usafiri wa haraka wanapohitaji kuelekea kituo cha afya kwa ajili ya kupata huduma za afya. Na Khadija Ali WAUGUZI wanaotoa huduma za Mama na…
27 October 2023, 6:14 pm
Kufuatia kufanyika mitihani ya taifa ya hivi karibuni Zanzibar, kamati maalum za usimamizi zimetakiwa kuwa waaminifu kwenye usimamizi wao na kuhakikisha wanafanya kazi inavyotakiwa kwa kufuatia miongozo yao. Na Amina Masoud. Kamati za za mitihani za mikoa na wilaya zimetakiwa…
26 October 2023, 10:21 am
Wizara ya elimu na mafunzo ya amali Zanzibar kwa kushirikiana na wizara ya afya watatoa virutubisho vya lishe kwa wanafunzi kwa lengo la kuimarisha afya zao. Na Amina Masoud Masheha kisiwani Pemba wametakiwa kutoa mashirikiano katika kampeni ya utoaji wa…
26 October 2023, 9:36 am
Bado baadhi ya familia kisiwani Pemba wanawakosesha haki yao ya msingi ya kupata elimu watoto wao wenye ulemavu. Na Khadija Ali Wazazi na walezi kisiwani Pemba wametakiwa kuwaandikisha watoto wenye ulemavu skuli ili kupata haki yao ya msingi ya elimu…
24 October 2023, 8:47 am
Kuwepo kwa upungufu wa virutubisho lishe kwa jamii wizara ya elimu na mafunz, ya amali kwa kushirikiana na wizara ya afya Zanzibar kuwasaidia wanafunzi kuwapatia virutubisho hivyo kwa lengo la kuijenga jamii yenye afya njema. Na Amina Masoud Viongozi wa…
Kiswahili
Radio Jamii Mkoani ni taasisi isio ya kiserekali na isilo na lengo la kugawana faida. Taasisi hii ilianzishwa kwa makubaliano ya pamoja ya wanajamii wa Wilaya ya Mkoani kua ni kituo cha Radio ambacho kitarusha matangazo yake kwa mustakbali wa maendeleo ya jamii.
Kituo hichi kilifungiliwa rasmi tarehe 03/01/2015 na kusajiliwa rasmi mnamo 13/06/2016 nakupewa lesi ya utangazaji na Tume ya Utangazaji Zanzibar (Zanzibar Broadcasting Commission) chini ya sheria ya mwaka 2003 kifungu 12 (1) cha huduma za utangazaji.
Lengo kuu la kunzishwa taasisi hii ni kuchangia katika kuleta maendeleo endelevu na kupunguza matatizo mbali mbali yanayorudisha nyuma maendeleo ya jamii katika Wilaya ya Mkoani na maeneo mengine ya karibu kupitia programu mbali mbali za Radio na mitandao ya kijamii.
Kituo hichi kina wataalamu mbali mbali waliobobea katika kuandaa na kurusha programu na vipindi mbali mbali vinavyotoa mwamko wa maendeleo na kupunguza matatizo yanayoikumba jamii zetu. Hadi kufikia sasa, Kituo hichi kimejijengea sifa za kutosha katika kipengele cha kuelimisha jamii kupitia program zilizoandaliwa kwa umakini mkubwa kikishirikiana na taasisi mbali mbali.
Radio jamii imefanikiwa kuendesha program za kupambana na ubaguzi wa kijinsia, ndoa za utotoni, kutumikishwa kwa watoto, migogoro ya kijamii, malezi mabovu, vitendo vya ukatili, ubakaji, wizi wakupindukia, tabia mbovu, madawa ya kulevya, miripuko ya maradhi mbali mbali, uharibifu wa mazingira nk. Pia, imehamasisha mambo mbali mbali mazururi ikiwemo ubunifu wa ajira kwa vijana, kutafuta elimu, uzalishaji mali, stadi za maisha, kutoa elimu ya uraiya na kuhamasisha wanawake kushiriki kwenye nafasi za uongozi.
DIRA
Kuwa chombo imara cha kuunganisha jamii kuwa moja iliyoelimika yenye afya na uchumi imara
DHAMIRA
Kukuza Maendeleo ya Wilaya ya Mkoani Kiuchumi, Kielimu, Kiafya na kuanzisha Jukwaa la mjadala wa kuleta Maendeleo ya Wilaya.
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
English
Mkoani Community Radio is not for profits, it is a non governmental Organization established by nationalists from Mkoani District in 2015 and was official registered under the society Act No.6 of 1995 of Zanzibar Revolutionary Government for the purpose of contributing in national and global efforts of bring about sustainable development and poverty reduction in the community by providing community radio broadcasting services at Mkoani areas and adjacent locales.
The Radio contributes to the social economic and political wealth of our local community in Mkoani areas and adjacent setting by providing access to a truly independent, community owned and run local radio station. It has professional and experienced personnel on local and National level Radio broadcasting program. It works through its already established structures led by Executive committee that is responsible for day –to day management of the station which include planning ,implementation and monitoring of the activities.
VISSION
To be a strong institution this will build a united community, educated and economical wel being.
MISSION
To enhance the development of Mkoani district economically, educationally and good health condition. to develop a fourm to discuss and bring Mkoani district in a sustainable Development.