Recent posts
5 August 2025, 8:36 am
Wananchi Wilaya ya mkoani wahimizwa kuwa na Ushirikiano wa kutosha
Wananchi wa kiwani wametakiwa kutoa mashirikiano katika kupunguza uhalifu katika eneo pia wananchi hao wameliomba jeshi la polisi kuwachukulia hatua wahalifu wanapopekwa kituoni KHATIB JUMA NAHODA WANANCHI wa Shehia ya Kiwani Wilaya ya Mkoani Pemba wamelitaka Jeshi la Polisi Wilayani…
27 July 2025, 10:56 am
Pemba kuhifadhi mikoko kwa vizazi vya baadaye
Shehia ya Shidi iliyopo wilaya ya Mkoani Pemba imefanikiwa kurejesha uoto asili wa fukwe za bahari kwa kupanda miti aina ya mikoko 2,500. NA AMINA MASSOUD JABIR Wanannchi wa shehia ya Shidi Wilaya ya Mkoani Pemba wametakiwa kujitathmini na kujilinda…
25 July 2025, 3:26 pm
Wanahabari Pemba watakiwa kufanya uchechemuzi wa sheria za habari
“Waandishi endeleeni kufanya uchehemuzi wa sheria za habari ili wenye mamlaka waweze kutunga sheria mpya za habari zitakazo toa uhuru kwa wanahabari kufanya kazi zao” Khadija Ali Yussuf Waandishi wa habari kisiwani Pemba wametakiwa kuendelea kufanya uchechemuzi wa sheria za…
22 July 2025, 2:58 pm
INEC yawapiga msasa wasimamizi wa uchaguzi Pemba
Tume huru ya taifa ya uchaguzi (INEC) imewataka wasimamizi na wasimamizi wa uchaguzi kufuata sheria katika kutimiza majukumu yao. Amina Massoud Jabir Waratibu, wasimamizi na wasaidizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo wametakiwa kufanya kazi zao kwa kufuata sheria, kanuni …
22 July 2025, 12:47 pm
Wanafunzi Pemba wahimizwa kujiunga na Abdulrahman-Alsumait
Wahitimu wa kidato cha nne na cha sita kisiwani Pemba wametakiwa kuchangamkia fursa ya kujiunga na chuo cha Abdurahman-Alsumait. Amina Massoud Jabir Wahitimu wa kidato cha nne na cha sita kisiwani Pemba wametakiwa kuchangamkia fursa ya kujiunga na chuo cha…
20 July 2025, 12:09 pm
DC Miza aibeba Kiwani Combine
Mkuu wa Wilaya ya Mkaoni Pemba amekabidhi mchango wa Serikali ya wilya ya Mkoani ikiwa ni kuiunga mkono timu ya Kiwani Combine inayoshiki mashindani ya Yamle Yamle. Na Khatib Juma Nahoda Wadau wa michezo kisiwani Pemba wametakiwa kuiunga mkono timu…
28 June 2025, 12:56 pm
Unafanya nini kuripoti matendo ya ukatili wa kijinsia kwa wanaume?
Makala hii inazungumzia wanaume wamekua wakifanyiwa matendo ya ukatili wa kijinsi na kushindwa kuripoti kwa kuona aibu.
28 June 2025, 10:08 am
Shairi: Waweza panda Jahazi ili kwangu unijie
25 June 2025, 12:52 pm
Wananchi tumieni mishati mbadala kuunga mkono juhudi za Serekali.
Jamii nchini imetakiwa kutumia nishati mbadala kwa ajili ya kutunza mazingira na kulinda afya za watumiaji. Hayo yameelezwa na kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Ismail Ali Ussi, wakati akitoa salamu za mwenge katika shehia ya Mkanyageni sambamba na kukabidhi…
3 June 2025, 10:18 pm
Rushwa ya ngono chanzo ushiriki mdogo wa wanawake katika uongozi, maamuzi
Kuwepo kwa vitendo vya rushwa ya ngono vinavyowakumba baadhi ya wanawake wakati uchanguzi ni moja ya sababu zinazopelekea kundi hilo kutofikia lengo la kuwa kiongozi na kufanya kuwa na ushiriki mdogo katika uongozi na ngazi za maamuzi. Wakizungumza na mwandishi…