Highlands FM
Highlands FM
27 May 2024, 18:00
Na Lameck Charles Elimu hiyo inayotolewa kwenye maonesho ya Mbeya Expo 2024 yanayoendelea kufanyika jijini Mbeya imehusisha wafanya Biashara wadogo,wakati na wakubwa Kwa lengo la kunufaika na fursa mbalimbali za Biashara. Dickson Mbanga ni Mkuu wa Kanda ya Nyanda za…
20 May 2024, 17:09
Ufugaji wa nyuki unaweza kuwa chanzo kizuri cha kipato cha ziada kwa wakulima wadogowadogo. Uzalishaji wa asali nchini Tanzania umekuwa ukitegemea sana wafugaji wadogowadogo, wanaotumia njia za kiasili kama vile mizinga ya magogo au vyungu, kwa nyuki wa kiafrika ambao…
17 May 2024, 18:21
Watoto wanapitia changamoto nyingi miongoni mwa walezi wao na wanajamii. Kutokana na yale wanayoyapitia pamoja na mazingira duni wanamoishi, watoto wengi hukosa mwelekeo thabiti wa kimaadili hivyo basi kukosa mahitaji yao ya kuwawezesha kuwa na hulka zinazokubalika katika jamii kila…
27 April 2024, 16:39
Tadio imekuwa ikitoa mafunzo mara kwa mara kwa wafanyakazi wa redio wanachama wake na kwa sasa inatoa mafunzo ya utangazaji wa mtandaoni hususani matumizi ya mitandao ya kijamii na maadili ya uandishi wa habari. Na John Ilomo Mhariri wa Radio…
25 April 2024, 18:31
22 March 2024, 16:46
Na Samwel Ndoni,Mbeya Wakazi wa jiji la Mbeya wameshauriwa kupanda miti rafiki na maji ili kukabiliana na tishio la mabadiliko ya tabianchi ambayo yameendelea kuathiri mazingira na vyanzo vya maji nchini. Wito huo umetolewa na Meneja wa kiwanda cha kuzalisha…
21 March 2024, 14:57
Na Lameck Charles Highlands Fm Radio Mbeya Taasisi isiyo ya kiserikali ya Chilid Support Tanzania imezindua mradi wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2 mradi wa “Peleka Rafiki zangu Shule” mradi unaolenga kuendelea kutoa mafunzo ya elimu kwa walimu…
19 February 2024, 11:07
Na Mwanaisha Makumbuli, Mbeya Madereva bajaji wanawake katika halmashauri ya jiji la Mbeya wamelalamika kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia na baadhi ya wanaume ikiwemo kutolewa lugha za fedheha na matusi, kitendo kinachowakatisha tamaa na kujiona hawastahili kufanya shughuli hiyo.…
4 January 2024, 14:07
Tayari tumekwisha Jenga vyumba 8 vya madarasa, ofisi za walimu mbili, jengo la utawala, maktaba, jengo la kompyuta na maabara tatu ya kemia, fizikia na biolojia Na Samwel Mpogole Shule mpya ya Sekondari ya Kata Kambikatoto wilaya ya Chunya Jimbo…
2 January 2024, 17:20
Mwandishi wa Habari Highlands fm Radio Tume ya vyuo vikuu nchini (TCU) imekipa hadhi ya kuwa chuo Kikuu, Chuo cha kanisa Katoliki (Cucom), Kwa sasa kitatambuliwa kama Chuo Kikuu Katoliki Mbeya (CUCoM). Awali chuo hicho kilikuwa kishiriki na chuo cha…
Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.
Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.
At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.
Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.
With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.
Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.